Dongmei
Member
- Oct 10, 2020
- 92
- 86
Dah, hongera yako....kama mm SIPA inafunguka lakn niki click kutaka kuangalia Allocation, hainyoshi response yoyote...cjui shida nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, hongera yako....kama mm SIPA inafunguka lakn niki click kutaka kuangalia Allocation, hainyoshi response yoyote...cjui shida nn
Mbona research na SFR hawajaandika? Kwamba wataziweka wakati wa kufanya research ukifika au? Mwaka wa ngapi wewe? Ni last year?
Sisi ambao hatukuwa na ada kbs...cjui kama watatupa hyo Ada[emoji16]
2nd year mkuu.Mbona research na SFR hawajaandika? Kwamba wataziweka wakati wa kufanya research ukifika au? Mwaka wa ngapi wewe? Ni last year?
Relax tu mkuu. Tatizo laweza kuwa mtandao na kingine ni kuwa allocation ya 2022/2023 bado kwa watu wengi(continuous) hawajawawekea.Dah, hongera yako....kama mm SIPA inafunguka lakn niki click kutaka kuangalia Allocation, hainyoshi response yoyote...cjui shida nn
Inamaanisha Kuna upigaji bodi ya mikopoPengine wanajiweza sawa ili ripoti yao ikae vizuriView attachment 2402170
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Na mwak wa kwanz ulipew laki 4 badala ya 1.3milion nn tatizo ,wamepeleka wap Ela zile?2nd year mkuu.
Hizo vitu kama research ,SFR na Books and Stationery sijapewa.
Ni Ada Na Boom tu!
Sijajua mkuu but wakati naanza masomo(kwa mwaka wa kwanza) hizo laki 9 nilijilipia.Na mwak wa kwanz ulipew laki 4 badala ya 1.3milion nn tatizo ,wamepeleka wap Ela zile?
Kwahy wadau wakae watulie ,tunadeal na maeneo nyeti kwanza😅😅kesho kuna uzinduzi wa sensa mjini dodoma
kuna unaowafahamu wengine wameongezewa au ni ww tu[emoji848]Sijajua mkuu but wakati naanza masomo(kwa mwaka wa kwanza) hizo laki 9 nilijilipia.
Kila mwaka unakuwa na allocation yake so nadhani haina shida.
Wapo wengi tu mkuu.kuna unaowafahamu wengine wameongezewa au ni ww tu[emoji848]
Dah, kwa kwel na sisi tunaongia 3rd Year watuone[emoji16]Wapo wengi tu mkuu.
Wengi sana mbona ,Waziri kacharuka😅kuna unaowafahamu wengine wameongezewa au ni ww tu[emoji848]
Itakua ngumu coz ,second year wasaiv walipewa mikopo dhaifu mnoDah, kwa kwel na sisi tunaongia 3rd Year watuone[emoji16]
Kwan mwaka huu pesa ni nying sana au waombaji walikuwa wachache??Wengi sana mbona ,Waziri kacharuka[emoji28]
hata sisi enzi zetu mkuu, mkopo haukuw unaridhisha,, bora hta hao wa mwaka jana.Itakua ngumu coz ,second year wasaiv walipewa mikopo dhaifu mno
wawe wapole 😀,na nyie mlio ongezewa pesa za ada tutawapa utaratibu wenda mkatumia allocation ya nyuma😂Kwahy wadau wakae watulie ,tunadeal na maeneo nyeti kwanza😅😅
Mkuu uko bodi wahurumieni madogo,msibadili system😅😅wawe wapole 😀,na nyie mlio ongezewa pesa za ada tutawapa utaratibu wenda mkatumia allocation ya nyuma😂