Isolated
JF-Expert Member
- Jul 12, 2022
- 212
- 363
Ok mkuu,ko iko pw hiyo course?Nenda chuo udufue hiyo couse yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok mkuu,ko iko pw hiyo course?Nenda chuo udufue hiyo couse yako
Yes MkuuOk mkuu,ko iko pw hiyo course?
Ok okYes Mkuu
ni ya kijana wangu. na ameshaanza masomo leo kwa sababu nililipa ada kiasi kwa ajili ya registration, lakini ameniambia jambo la kusikitisha. over 90% ya wanafunzi wa kozi yake chuo alipo hawajaripoti kwa sababu ya loan. Watu walisubiri tar 27 October wakabadilishiwa na kuwa 4 november. Si ajabu itakuwa 15 November.Umeangalia SIPA yako?
Continuous students vs continuing students. Wewe ni wa MU nini?Kuna sakata linaendelea chinichini juu ya baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu wanaoendelea na masomo (continuous) kuongezewa Ada,ama kupunguziwa MA(Boom) ,Sasa bodi ya mikopo iweke wazi kuondoa mianya ya rushwa na upigaji wa Ela za wanafunzi!!
Chuo gani boss? Maana pesa zote tulishawawekea wanafunzi kwenye akaunti zaoni ya kijana wangu. na ameshaanza masomo leo kwa sababu nililipa ada kiasi kwa ajili ya registration, lakini ameniambia jambo la kusikitisha. over 90% ya wanafunzi wa kozi yake chuo alipo hawajaripoti kwa sababu ya loan. Watu walisubiri tar 27 October wakabadilishiwa na kuwa 4 november. Si ajabu itakuwa 15 November.
Ninajiuliza hakuna mawasiliano kati ya TCU-Vyuo na Bodi ya Mikopo kuhusu tarehe za vyuo kufunguliwa?
hakuna kitu kama hicho. kadanganye wasio na watoto vyuoni. SIPA inadai mpaka tarehe 4Chuo gani boss? Maana pesa zote tulishawawekea wanafunzi kwenye akaunti zao
nenda vyuoni utakuta over 40yrs wanasotea Bachelor degree. Miaka 23 unajiona mzee wakati bado mtoto mdogo. acha kujidanganyaAta ivo umri wangu umeenda 23 nianze first year? Kweli
Asante kwa correction ,ila tunaomb mtufikirie aisee Allocation hamna vyuo hakuna update ,class lecture hakuna wanafunzi hatuna ElaContinuous students vs continuing students. Wewe ni wa MU nini?
Ni HUZUNI sana ila tuwe wavumilivu mpka tar 4 Zaid ya two weeks Sasa,nataman nipate ata connection tu nchi hiini ya kijana wangu. na ameshaanza masomo leo kwa sababu nililipa ada kiasi kwa ajili ya registration, lakini ameniambia jambo la kusikitisha. over 90% ya wanafunzi wa kozi yake chuo alipo hawajaripoti kwa sababu ya loan. Watu walisubiri tar 27 October wakabadilishiwa na kuwa 4 november. Si ajabu itakuwa 15 November.
Ninajiuliza hakuna mawasiliano kati ya TCU-Vyuo na Bodi ya Mikopo kuhusu tarehe za vyuo kufunguliwa?
Alhamisi 4/11 watawekewa pesa zaoAsante kwa correction ,ila tunaomb mtufikirie aisee Allocation hamna vyuo hakuna update ,class lecture hakuna wanafunzi hatuna Ela
Saw saw tunashukur kwakuw mpo mna response na kutatua tatizo ,tunawaaminiAlhamisi 4/11 watawekewa pesa zao
Fanyeni Kazi kwa ufanisi au hamlipwi mshahara ?Hatuna intention ya kuichafua bodi ama serikali,tupo kupeana moyo na kufarijiana tu😅😅💝
Alhamisi 4/11 watawekewa pesa zao
Ebu fikiria ungekua wew week ya pili hii hujui kama Ada utapata au boom😓😓😓
Inabidi bodi ya mkopo iunde mfumo ambao utakuwa na mawasiliano na vyuo vyote nchini kwamba kabla ya masomo kuanza katika chuo chochote wanafunzi wawe tayari wamewezeshwa na ada na boom ili kuondoa usumbufu kati ya mwanafunzi na vyuo kwenye malipo ya ada pamoja na wanafunzi hawa waweze kujikimu wakati wa masomo yao vyuoni.Kuna sakata linaendelea chinichini juu ya baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu wanaoendelea na masomo (continuous) kuongezewa Ada,ama kupunguziwa MA(Boom) ,Sasa bodi ya mikopo iweke wazi kuondoa mianya ya rushwa na upigaji wa Ela za wanafunzi!!
Ela ndo Nini we msomi ?Asante kwa correction ,ila tunaomb mtufikirie aisee Allocation hamna vyuo hakuna update ,class lecture hakuna wanafunzi hatuna Ela
Pesa mkuu ,acha kukosoa kosoaEla ndo Nini we msomi ?
Pesa mkuu ,acha kukosoa kosoa