Kubagua Mwanza na Mbeya AFCON haikubaliki

Wanasiasa wa bongo kwenye michezo kazi yao ni kutafuta political mileage tu kwa asilimia kubwa.
Mkuu uko logical hata mimi nashangaa sana katika hili jambo.
 
Mbona kama unakua mnafiki mnafiki,hujui unasimamia nini?

Kwa hio Mwanza wanapojengewa Daraja na Magufuli huo nao tuuite ubinafsi?

Serikali haifanyi jambo kwa kufuata hisia
Acha kua kigeu geu wewe kada wa ccm
 
Tuache siasa. Huko hakuna miundombinu km hotels nk
 
Mwanza kuna hoteli ngapi za kitalii?Mmoja juzi alikuwa analalamika Bureau De Change ipo moja Jiji zima.
Mkuu kwa case ya mtu mmoja unatoa conclusion ya jambo kwenye watu milioni na ushee😯
 
Mbona kama unakua mnafiki mnafiki,hujui unasimamia nini?

Kwa hio Mwanza wanapojengewa Daraja na Magufuli huo nao tuuite ubinafsi?

Serikali haifanyi jambo kwa kufuata hisia
Acha kua kigeu geu wewe kada wa ccm
🗑️🗑️🗑️
 
Wanakuja kufanya Utalii au kucheza mpira? Mashabiki hawana mda na manyani
 
Umenena mkuu, katika vigezo vya kuzingatiwa ili uwanja uwe umekidhi vigezo vya michezo ya kimataifa ni pamoja na kuwa na hoteli za kutosha za kitalii karibu na uwanja huo, hili ndio limesababisha Arusha kupewa nafasi
Hotel za huko Arusha zilishuka kama mvua au serikali ndio iliweka mazingira zikajengwa?

Tunataka mazingira hayo hayo yawekwe Mbeya na Mwanza,sisi sio Manamba.
 
Arusha tumekuwa na Tanzanite miaka yote imeendeleza mikoa mingine hatujawahi lalamika,

Mpaka mmeipeleka merarani mkoa wa Manyara tumekaa kimya na bado tunafanya vyema.

Once blessed always blessed.
Mikoa ipi iliyoendekezwa na Tanzanite? Mbeya na Mwanza tunataka stahiki zetu sio hisani,sisi sio Manamba wa kufanyia kazi Arusha,Dar na Dodoma.
 
Arusha ni part ya blue print iliyoipa ushindi bid ya pamoja.

So sahau kama itaachwa at this stage.

Wahusika wameona panafaa.

Wewe kwa hisia tu huwezi badili uhalisia.
Kila Mkoa hapa Tanzania ni blue print kama ukitendewa haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…