Kubagua Mwanza na Mbeya AFCON haikubaliki

Huwezi fananisha Mwanza na Geneva of Africa.

Dar penyewe panaizidi Arusha kwa bahari tu.

Arusha pale ni mahali sahihi tunaua ndege wawili,

Mpira na utalii.

Mbuga za wanyama zitafurika wageni.
 
Kwa nini Serikali iendelee ubaguzi wa kikoloni? Humu Kuna watu wa Serikali wanaweza kubadilisha mambo.

Sijasema wahamishe Afcon Arusha Bali watoe uzito stahiki kwenye Mikoa yetu na wakome kufanya upendeleo.
 
Lakini Arusha hapafai kujenga sio?
Kwa Sasa Kwa.kuwa mda ni finyu na Afcon sio viwanja tuu panafaa ila Kwa maslahi mapana ya Nchi hii Serikali ianze kujenga miundombinu yenye hadhi ikiwa ni pamoja na viwanja Mbeya na Mwanza.

TFF imepeleka mradi wa fifa Arusha na Tanga tunajua sio kwamba hatujui.
 
Wewe ni chawa.

Mimi nakukumbusha wajibu wako.

Kumbuka kazi yako ni kusifia mabwana zako na kubishana na Chadema.

Usipofanya kazi yako vizuri utaishia kushinda njaa.

Onyesha wapi nasema uongo?
 
Huwezi fananisha Mwanza na Geneva of Africa.

Dar penyewe panaizidi Arusha kwa bahari tu.

Arusha pale ni mahali sahihi tunaua ndege wawili,

Mpira na utalii.

Mbuga za wanyama zitafurika wageni.
Kuna sehemu Nchi hii hakuna Utalii? Tumekosa miundombinu tuu ambayo Arusha imependelewa Kwa mda mrefu ndio sababu inaonekana Iko vizuri Kwa Sasa.
 
Unajua kwa nn wanapeleka huko?
 
Unalalamika nini sasa?

Kumbuka wewe ni chawa na kazi ya chawa inafahamika. Kusifia mabwana zako.

Inatakiwa ujikite kwenye kazi yako ya uchawa na si kulalamika.

Onyesha wapi nasema uongo au nipo nje ya mda?
Huyo akishindwa hoja anaanza viroja, ni nduminakuwili. Hebu pitia hizi nyuzi umsome akizungumzia Mwanza na Mbeya!

Hii ndio mikoa ambayo Rais Samia amewekeza nguvu kubwa kuiletea maendeleo

na bandiko hili....
Hii ndio mikoa ambayo Rais Samia amewekeza nguvu kubwa kuiletea maendeleo


Eti unajenga bandari ya Karema Ili upunguze Malori Tunduma, kwa Jiografia ipi hiyo?
Halafu, cheki hapa napo
Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha ("A" Town u Chuga)

Utagundua jamaa ni Nduminakuwili, mzandiki, na mnyanyasaji.
 
Huwezi fananisha Mwanza na Geneva of Africa.

Dar penyewe panaizidi Arusha kwa bahari tu.

Arusha pale ni mahali sahihi tunaua ndege wawili,

Mpira na utalii.

Mbuga za wanyama zitafurika wageni.
Wewe jinga umepona stroke?

Upo kama bendera kufuata upepo.

Leo unasimamia hili kesho lile.

Kumbuka kipindi cha nyuma ulivyokuwa unalamba wakalio ya wanasiasa wa CCM.

Vipi siku hizi umezeeka dada mabwana wanakukimbia?
 
Kimsingi akili Yako ni finyu kama funza ndio maana huwezi nielewa.
 
Hiyo ni
Hiyo ipo kwenye ilani ya Chama Cha mapinduzi kwahiyo acha waitekeleze.
 
Arusha ni mji bora na uliondelea kuliko mwanza. na ni mji wenye infrastructures bora kuliko Mwanza na mbeya combined.
Mimi nilitamani iwe Arusha, Dar na Zanzibar. Hiyo mikoa mingine imekaa kushoto.
Arusha choka mbaya,nikifikaga Stendi yake ya Mabus nawaza Nipo kakonkoo....Arusha ni senta iliyochangamka mji unanika Bangiii
 
Huu sasa ndo ufafanuzi wa kitaalam, wengine wanaleta ushabiki wa kisiasa na kikabila bila kujua lengo la serikali kuomba kuandaa hii michuano ya kimataifa.
 
Majibu yako kwenye mabandiko yako yanaelezea hadithi tofauti na unavyotaka kufafanua-kutolea maelezo ya hujuma zako!

Uwasilishaji wako una utata.

NB: Mimi sipingi, mimi nafuata kanuni na mantiki hii, na ndio signature yangu, toka day One

Reductio ad-Absurdum take note
 
Mara nyingi unaandika pumba sana, sijui leo umekula nini ukaandika sense.
 
Wewe jinga umepona stroke?

Upo kama bendera kufuata upepo.

Leo unasimamia hili kesho lile.

Kumbuka kipindi cha nyuma ulivyokuwa unalamba wakalio ya wanasiasa wa CCM.

Vipi siku hizi umezeeka dada mabwana wanakukimbia?
Hujala Leo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…