Kubagua Mwanza na Mbeya AFCON haikubaliki

Kubagua Mwanza na Mbeya AFCON haikubaliki

Baada ya hayo mashindano huo uwanja utaenda kutumika kwenye nini hapo Arusha, mmezoea kujilimbikizia miradi kwa kutumia jasho la mikoa mingine.
Hakuna mkoa zaidi ya dar na Arusha unaoipa serikali mapato ya kujiendesha na maendeleo.
Tofauti kati ya Dar na Arusha ni kwamba Arusha inaizidi Dar kwa mapato ya NGO foreign exchange ambayo inachangia serikali kuwa na uwezo wa kufanya miradi na kununa madawa, machinery etc...

Kwa hiyo , wewe waambie hao watu wengine lakini mimi najua by data kwamba Arusha ni mkoa muhimu sana kwa Tanzania na haupati miradi proportional to its revenue collection.
Panga pangua mwanza haikufaa hata kupata Airport kubwa kuliko Arusha, haifai hata kuinvest ni hasara tupu. There will never be tax collected in Mwanza kupita Arusha hata serikali ikisema sasa hatuwekezi Arusha.
Uwanja siyo wa mpira tu, uwanja ule unaweza ku-host track meets (mashindano ya riadha), mashindano ya majeshi ya dunia na Africa, mashindano ya walemavu etc.. na Arusha bado ikahimili ugeni wake.
 
Sasa Utalii na michezo wapi na wapi? Tunaeudi kule kule Kila sehemu Kuna vivutio vya kipele vya Utalii ila upendeleo wa kimiundombinu miaka na miaka ndio Leo vinakupa jeuri ya kusema Arusha is most visited na blaa blaa kibao.

Toka miaka na miaka watu wa Kaskazini wanapiga vita ujenzi wa Airport kubwa Mwanza na Serengeti Kwa sababu kwao kutakufa ,hamna Cha kuingizia pesa ila time itaamua tuu Wala msijali.
Hawa ndio wanasababisha miaka yote Mwanza tusipate uwanja wa ndege kwa kuiogopa Mwnza lakini ipo siku.
 
Kwani lazima serikali iwajengee vyuo/ Si mjenge wenyewe, kwani tatizo lipo wapi.
Tunaongelea Jambo la Allocation of Resources vyuo vya Binafs vipo lkn tunahitaji cha Serikali. Ili watoto wa maskin wanaoshindwa kumudu Gharama za Kujikimu katikat vyuo vya Mkoani (UDSM & UDOM) wasogezewe karbu
 
Miundombinu gani ambayo Mwanza na mbeya hamna unaweza kutaja?
Financing, conferencing, hospitality infrastructures muhimu kwa events kubwa.
Security na emergency provision, hapa namaanisha Policing, para-military na military responses, medical.
Luxury/leisure hapa sizungumzii vigodoro ila sehemu za bata batani na siyo bar za ulanzi.
 
Wasukuma hatutaki utani kipindi hiki. Tena tunaushawishi mkubwa katika nchi hii. Ndoto Beteko, tafadhali fanya kazi yako. Hakikisha wasukuma wote wako serikalini, alikoishia jembe letu tusirudi nyuma. Huyu mama ameanza kutuondoa kwenye reli, na mfano halisi ni hili la viwanja wa michezo ya Afcon. Kwani hajui kwamba SGR imeletwa kanda ya ziwa na sio huko kwa hao wahuni? Maendeleo lazima yaanzie kanda pendwa yetu hii ndio yasambae mikoa mingine. Bila kufanya hibyo hatanusa kura yetu na akikosa tu kura zetu uraisi hausahau. Kumbuka tuna 1/3 ya population ya nchi hii. Hata kama miji yetu haijaendelea, kwani hajui kwamba wageni wanapenda viazi? Je viazi havipo kanda ya ziwa? Hajui kwamba kanda ya ziwa ndio yenye watu wenye high purchasing power na hivyo wangejaza viwanja? Hii serikali iache dharau, wana bahati jembe letu lisingeondoka leo Mwanza ingekuwa zaidi ya Dar! Shubamiti!!!!
Huyo doto biteko ndio atafanya nini tusipodai haki yetu, achana na mwanasiasa hayupo kwa maslahi yako bali yeye, tumbo lake na familia yake.
 
Wasukuma hatutaki utani kipindi hiki. Tena tunaushawishi mkubwa katika nchi hii. Ndoto Beteko, tafadhali fanya kazi yako. Hakikisha wasukuma wote wako serikalini, alikoishia jembe letu tusirudi nyuma. Huyu mama ameanza kutuondoa kwenye reli, na mfano halisi ni hili la viwanja wa michezo ya Afcon. Kwani hajui kwamba SGR imeletwa kanda ya ziwa na sio huko kwa hao wahuni? Maendeleo lazima yaanzie kanda pendwa yetu hii ndio yasambae mikoa mingine. Bila kufanya hibyo hatanusa kura yetu na akikosa tu kura zetu uraisi hausahau. Kumbuka tuna 1/3 ya population ya nchi hii. Hata kama miji yetu haijaendelea, kwani hajui kwamba wageni wanapenda viazi? Je viazi havipo kanda ya ziwa? Hajui kwamba kanda ya ziwa ndio yenye watu wenye high purchasing power na hivyo wangejaza viwanja? Hii serikali iache dharau, wana bahati jembe letu lisingeondoka leo Mwanza ingekuwa zaidi ya Dar! Shubamiti!!!!
Unatakiwa usajiliwe band ya taarab ukaimbe taarab pale zanzibar modern taarab, nimekuandalia mkataba utakaa meza moja na khadija kopa.
 
Hii tabia ya kubagua Mikoa ya Mbeya na Mwanza kwenye mambo ya Maendeleo naona imeanza kukita mizizi.

Wakati mikoa mingine ikipendelewa sie Mwanza na Mbeya tumekuwa wahanga wa kutengwa na Kubaguliwa kwenye masuala mbalimbali ya kimaendeleo licha ya kuwa tunastahili kwa vigezo na sio kwa kuonewa huruma.

Haiwezekani na haiingii akilini eti kubagua miji hii maarufu kwa wanamichezo na badala yake wakaipendelea miji isiyo na mashabiki wala wanamichezo ya Arusha na Dodoma.

Nasisitiza tunadai haki yetu na sio favour kwa sababu zifuatazo;

Mwanza
  • Mikoa wa pili kuchangia Pato la Taifa GDP baada ya Dar.
  • Jiji la Pili kuwa na population kubwa baada ya Dar.
  • Jiji la 3 Kuchangia Mapato ya Kikodi.
  • Uwepo wa mashabiki wa kutosha na wanamichezo.

Mbeya
  • Mikoa wa 3 kuchangia Pato la Taifa nyuma ya Dar na Mwanza.
  • Jiji la 6 Kwa idadi ya watu Tanzania.
  • Jiji la 2 Kwa Wanamichezo wengi kama timu za NBC&Championship.
  • Pamoja na mtoto Wetu Songwe ni Mkoa wa 4 Kwa mapato ya Kikodi.

Kwa vigezo hivyo pekee tunastahili kupata kitu sio kwa upendeleo bali kwa haki.

Habari za kusema hakuna hoteli au miundombinu ya kisasa na blaa blaa kama hizo zinatokana na Serikali hii ya ccm kuchukua pesa na jasho letu kwenda kujenga Mikoa mingine kama Arusha, Dodoma, Tanga, Dar nk.

Ni aidha Serikali ianze ujenzi wa viwanja vya Kisasa kwenye miji yetu kutufuta machozi na sio lazima kwa ajili ya AFCON bali kutupa heshima yetu kwenye michezo au tumwage mboga 2025.

Hali hii haivumiliki na haikubaliki, ni wakati wa watu wa Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini kufanya jambo la kujitambua mwaka 2025 endapo wataziba maskio.

Ni bora kumwaga mboga sio kwa sababu tunawakubali Wapinzani bali ni kwa nia ya kukomoana kwamba tukose wote, tumechoka kutengwa na tabia hii ikiendelea ipo siku tutagawana fito.
View attachment 2766050View attachment 2766051View attachment 2766052

Angalizo: Haya ni maoni na mtizamo binafsi, yasichukuliwe kama uchochezi.Nachokonoa mada Kwa maslahi mapana ya Nchi hii na watu wa Mbeya na Mwanza.
Arusha lazima kuna utaliii kule lazima tupate hela na Dodoma ni capital city Dar hatuhitaji kuielezea.
 
Wewe si ndio tukipindea viongozi unaleta uzwazwa...

CCM kirumba wa Mwanza ni uwanja mzuri ila umeachwa umeenda kuchukuliwa wa Arusha wenye kuhitaji ukarabati mwingi, wakati CCM kirumba ilikuwa ni pesa kidogo tu uwanja unakaa shikopa
Arusha unajengwa mpya sio ukarabati
 
Financing, conferencing, hospitality infrastructures muhimu kwa events kubwa.
Security na emergency provision, hapa namaanisha Policing, para-military na military responses, medical.
Luxury/leisure hapa sizungumzii vigodoro ila sehemu za bata batani na siyo bar za ulanzi.
Kuna sehemu hatari kuishi hapa Tabzania zaidi ya arusha, security gani mliopo nayo, hapo mlichotuxid ni conference tu hakuna kingine.
 
Lakini Arusha hapafai kujenga sio?
Hakuna mtu ambaye amekataa viwanja visijengwe huko porini, lakini wajenge pia na miji kama Mwanza na Mbeya yenye wakazi wengi, na wanaochangia pato ghafi kubwa zaidi nje ya dar pia imepakana na miji mikubwa ya nchi jirani.
 
Hii tabia ya kubagua Mikoa ya Mbeya na Mwanza kwenye mambo ya Maendeleo naona imeanza kukita mizizi.

Wakati mikoa mingine ikipendelewa sie Mwanza na Mbeya tumekuwa wahanga wa kutengwa na Kubaguliwa kwenye masuala mbalimbali ya kimaendeleo licha ya kuwa tunastahili kwa vigezo na sio kwa kuonewa huruma.

Haiwezekani na haiingii akilini eti kubagua miji hii maarufu kwa wanamichezo na badala yake wakaipendelea miji isiyo na mashabiki wala wanamichezo ya Arusha na Dodoma.

Nasisitiza tunadai haki yetu na sio favour kwa sababu zifuatazo;

Mwanza
  • Mikoa wa pili kuchangia Pato la Taifa GDP baada ya Dar.
  • Jiji la Pili kuwa na population kubwa baada ya Dar.
  • Jiji la 3 Kuchangia Mapato ya Kikodi.
  • Uwepo wa mashabiki wa kutosha na wanamichezo.

Mbeya
  • Mikoa wa 3 kuchangia Pato la Taifa nyuma ya Dar na Mwanza.
  • Jiji la 6 Kwa idadi ya watu Tanzania.
  • Jiji la 2 Kwa Wanamichezo wengi kama timu za NBC&Championship.
  • Pamoja na mtoto Wetu Songwe ni Mkoa wa 4 Kwa mapato ya Kikodi.

Kwa vigezo hivyo pekee tunastahili kupata kitu sio kwa upendeleo bali kwa haki.

Habari za kusema hakuna hoteli au miundombinu ya kisasa na blaa blaa kama hizo zinatokana na Serikali hii ya ccm kuchukua pesa na jasho letu kwenda kujenga Mikoa mingine kama Arusha, Dodoma, Tanga, Dar nk.

Ni aidha Serikali ianze ujenzi wa viwanja vya Kisasa kwenye miji yetu kutufuta machozi na sio lazima kwa ajili ya AFCON bali kutupa heshima yetu kwenye michezo au tumwage mboga 2025.

Hali hii haivumiliki na haikubaliki, ni wakati wa watu wa Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini kufanya jambo la kujitambua mwaka 2025 endapo wataziba maskio.

Ni bora kumwaga mboga sio kwa sababu tunawakubali Wapinzani bali ni kwa nia ya kukomoana kwamba tukose wote, tumechoka kutengwa na tabia hii ikiendelea ipo siku tutagawana fito.
View attachment 2766050View attachment 2766051View attachment 2766052

Angalizo: Haya ni maoni na mtizamo binafsi, yasichukuliwe kama uchochezi.Nachokonoa mada Kwa maslahi mapana ya Nchi hii na watu wa Mbeya na Mwanza.
Crap
 
Mimi nimekerekwa na kupelekwa baadhi ya mechi kule chamba wima kwa wale magoi goi wanywa urojo, badala ya kupeleka hizo mechi hata mwanza wanapeleka kule ambako hata mpira umewashinda kuendesha
 
Hakuna mkoa zaidi ya dar na Arusha unaoipa serikali mapato ya kujiendesha na maendeleo.
Tofauti kati ya Dar na Arusha ni kwamba Arusha inaizidi Dar kwa mapato ya NGO foreign exchange ambayo inachangia serikali kuwa na uwezo wa kufanya miradi na kununa madawa, machinery etc...

Kwa hiyo , wewe waambie hao watu wengine lakini mimi najua by data kwamba Arusha ni mkoa muhimu sana kwa Tanzania na haupati miradi proportional to its revenue collection.
Panga pangua mwanza haikufaa hata kupata Airport kubwa kuliko Arusha, haifai hata kuinvest ni hasara tupu. There will never be tax collected in Mwanza kupita Arusha hata serikali ikisema sasa hatuwekezi Arusha.
Uwanja siyo wa mpira tu, uwanja ule unaweza ku-host track meets (mashindano ya riadha), mashindano ya majeshi ya dunia na Africa, mashindano ya walemavu etc.. na Arusha bado ikahimili ugeni wake.
Zaid ya bilion 512 yanatokana utalii yaani pesa za wazungu, wenyeji zaidi ya kuongoza kwa bangi mna nini kingine, kwani wakiweka mikakati mbuga serengeti na kila sector na kila kitu kinachohusina na serengeti kikusanywe Mara au simiyu nyie mtakuwa kama Lindi.
 
Hakuna mtu ambaye amekataa viwanja visijengwe huko porini, lakini wajenge pia na miji kama Mwanza na Mbeya yenye wakazi wengi, na wanaochangia pato ghafi kubwa zaidi nje ya dar pia imepakana na miji mikubwa ya nchi jirani.
Unajua wewe naona sana comments zako lakini sijihusishi nazo...

Kwa taarifa yako Mwanza inaipita Arusha kwa population tuu...

Baada ya Dar mkoa unaofuata kwa kukusanya mapato na maendeleo ni Arusha...
Ukija hata private investments Mwanza wako nyuma sana...
Serikali inaangalia kuitangaza nchi hasa eneo la utalii...
Sasa wewe inakuuma nn?
Huko mbeleni pia Mwanza na Mbeya bajeti ikiruhusu watapata viwanja
 
Sasa Utalii na michezo wapi na wapi? Tunaeudi kule kule Kila sehemu Kuna vivutio vya kipele vya Utalii ila upendeleo wa kimiundombinu miaka na miaka ndio Leo vinakupa jeuri ya kusema Arusha is most visited na blaa blaa kibao.

Toka miaka na miaka watu wa Kaskazini wanapiga vita ujenzi wa Airport kubwa Mwanza na Serengeti Kwa sababu kwao kutakufa ,hamna Cha kuingizia pesa ila time itaamua tuu Wala msijali.
Mwanza haina hadhi ya kubeba wagen wa kimataifa ukilinganisha na Arusha....5* hotels mwanza ni za kuhesabu....tuache tu chuki,mpk inqchaguliwa Arusha Kuna tathmin zimefanyika
 
Unajua wewe naona sana comments zako lakini sijihusishi nazo...

Kwa taarifa yako Mwanza inaipita Arusha kwa population tuu...

Baada ya Dar mkoa unaofuata kwa kukusanya mapato na maendeleo ni Arusha...
Ukija hata private investments Mwanza wako nyuma sana...
Serikali inaangalia kuitangaza nchi hasa eneo la utalii...
Sasa wewe inakuuma nn?
Huko mbeleni pia Mwanza na Mbeya bajeti ikiruhusu watapata viwanja
Kipimo cha uchumi ni mapato ya TRA au GDP? Naomba ubaki na ujinga wakona upendeleo wenu....Arusha inaingia mara tatu kwa Mwanza kiuchumi na mara mbili kwa mbeya bado unataka nibishane na wewe nenda kabishane na wapuliza ganja wenzio.
 
Kipimo cha uchumi ni mapato ya TRA au GDP? Naomba ubaki na ujinga wakona upendeleo wenu....Arusha inaingia mara tatu kwa Mwanza kiuchumi na mara mbili kwa mbeya bado unataka nibishane na wewe nenda kabishane na wapuliza ganja wenzio.
Wewe pungwani kaa na ubishi wako
 
Mwanza haina hadhi ya kubeba wagen wa kimataifa ukilinganisha na Arusha....5* hotels mwanza ni za kuhesabu....tuache tu chuki,mpk inqchaguliwa Arusha Kuna tathmin zimefanyika
Kwanza umeelewa mantiki ya mada yangu?

Kwa Sasa ni kweli Haina ila hiyo tabia ikome Kwa sababu sio Kwa bahati mbaya Bali upendeleo wa miaka yote ndio umeleta huu utofauti.
 
Unajua wewe naona sana comments zako lakini sijihusishi nazo...

Kwa taarifa yako Mwanza inaipita Arusha kwa population tuu...

Baada ya Dar mkoa unaofuata kwa kukusanya mapato na maendeleo ni Arusha...
Ukija hata private investments Mwanza wako nyuma sana...
Serikali inaangalia kuitangaza nchi hasa eneo la utalii...
Sasa wewe inakuuma nn?
Huko mbeleni pia Mwanza na Mbeya bajeti ikiruhusu watapata viwanja
Acha kuropoka basi
 
Back
Top Bottom