Kubagua Mwanza na Mbeya AFCON haikubaliki

Kubagua Mwanza na Mbeya AFCON haikubaliki

Badala ya Dodoma kimakakati serikali ingeweka uwanja mkoa wa Mwanza kwa sababu ni karibu na nchi mbili za Uganda na Kenya hivyo kuna mechi ingeweza kupata mashabiki wataosogea toka nchi hizo mbili...
 
Tunakoelekea tutaanza kudai tuwe na serikali za majimbo na serikali kuu. Hii biashara ya baadhi ya Kanda kukusanya mapato mengi na kuyapeleka serikali kuu miaka nenda rudi halafu serikali hairudishi pesa za kutosha katika Kanda hizo kwa njia ya miradi mikubwa ni ujinga.

Hii pia inaweza kustimulate maendeleo yapatikane kwenye kila Kanda husika kwa haraka zaidi kuliko ilivyo sasa. Kanda zenye wazembe ndio serikali itazibeba au kuzikemea.
 
Hii tabia ya kubagua Mikoa ya Mbeya na Mwanza kwenye mambo ya Maendeleo naona imeanza kukita mizizi.

Wakati mikoa mingine ikipendelewa sie Mwanza na Mbeya tumekuwa wahanga wa kutengwa na Kubaguliwa kwenye masuala mbalimbali ya kimaendeleo licha ya kuwa tunastahili kwa vigezo na sio kwa kuonewa huruma.

Haiwezekani na haiingii akilini eti kubagua miji hii maarufu kwa wanamichezo na badala yake wakaipendelea miji isiyo na mashabiki wala wanamichezo ya Arusha na Dodoma.

Nasisitiza tunadai haki yetu na sio favour kwa sababu zifuatazo;

Mwanza
  • Mikoa wa pili kuchangia Pato la Taifa GDP baada ya Dar.
  • Jiji la Pili kuwa na population kubwa baada ya Dar.
  • Jiji la 3 Kuchangia Mapato ya Kikodi.
  • Uwepo wa mashabiki wa kutosha na wanamichezo.

Mbeya
  • Mikoa wa 3 kuchangia Pato la Taifa nyuma ya Dar na Mwanza.
  • Jiji la 6 Kwa idadi ya watu Tanzania.
  • Jiji la 2 Kwa Wanamichezo wengi kama timu za NBC&Championship.
  • Pamoja na mtoto Wetu Songwe ni Mkoa wa 4 Kwa mapato ya Kikodi.

Kwa vigezo hivyo pekee tunastahili kupata kitu sio kwa upendeleo bali kwa haki.

Habari za kusema hakuna hoteli au miundombinu ya kisasa na blaa blaa kama hizo zinatokana na Serikali hii ya ccm kuchukua pesa na jasho letu kwenda kujenga Mikoa mingine kama Arusha, Dodoma, Tanga, Dar nk.

Ni aidha Serikali ianze ujenzi wa viwanja vya Kisasa kwenye miji yetu kutufuta machozi na sio lazima kwa ajili ya AFCON bali kutupa heshima yetu kwenye michezo au tumwage mboga 2025.

Hali hii haivumiliki na haikubaliki, ni wakati wa watu wa Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini kufanya jambo la kujitambua mwaka 2025 endapo wataziba maskio.

Ni bora kumwaga mboga sio kwa sababu tunawakubali Wapinzani bali ni kwa nia ya kukomoana kwamba tukose wote, tumechoka kutengwa na tabia hii ikiendelea ipo siku tutagawana fito.
View attachment 2766050View attachment 2766051View attachment 2766052

Angalizo: Haya ni maoni na mtizamo binafsi, yasichukuliwe kama uchochezi.Nachokonoa mada Kwa maslahi mapana ya Nchi hii na watu wa Mbeya na Mwanza.
Mbeya kuna hoteli za kutosha..?? Kuna kiwanja cha ndege chenye hadhi km cha kilimanjaro JKN .. ? Acheni ujuaji kwq kila kitu arusha imechaguliwa coz hotel zipo pale arusha na moshi zipo na nikaribu tu na arusha. Pia arusha itatuongezea wataliii hii tunaua ndege wawili kwa jiwe moja. Mbeye wakafuate nn ..? Mbona Tanga hawalalamiki na wanastahili
 
Badala ya Dodoma kimakakati serikali ingeweka uwanja mkoa wa Mwanza kwa sababu ni karibu na nchi mbili za Uganda na Kenya hivyo kuna mechi ingeweza kupata mashabiki wataosogea toka nchi hizo mbili...
Kati ya mwanza na chuga wapi karibu na nairobi..?? Mlijengewa madaraja na mwenda zake mbona hatumaind..? Watu wa kanda ya ziwa wabinafsi mno
 
Hakuna mkoa zaidi ya dar na Arusha unaoipa serikali mapato ya kujiendesha na maendeleo.
Tofauti kati ya Dar na Arusha ni kwamba Arusha inaizidi Dar kwa mapato ya NGO foreign exchange ambayo inachangia serikali kuwa na uwezo wa kufanya miradi na kununa madawa, machinery etc...

Kwa hiyo , wewe waambie hao watu wengine lakini mimi najua by data kwamba Arusha ni mkoa muhimu sana kwa Tanzania na haupati miradi proportional to its revenue collection.
Panga pangua mwanza haikufaa hata kupata Airport kubwa kuliko Arusha, haifai hata kuinvest ni hasara tupu. There will never be tax collected in Mwanza kupita Arusha hata serikali ikisema sasa hatuwekezi Arusha.
Uwanja siyo wa mpira tu, uwanja ule unaweza ku-host track meets (mashindano ya riadha), mashindano ya majeshi ya dunia na Africa, mashindano ya walemavu etc.. na Arusha bado ikahimili ugeni wake.
Kabsa mkuu Hiyo mwanza yao ni miaka 2 mbele kimapato itaachwa na Tanga parefu.huko mbeya ndio kabsa wasiseme watulie tu
 
Mbeya kuna hoteli za kutosha..?? Kuna kiwanja cha ndege chenye hadhi km cha kilimanjaro JKN .. ? Acheni ujuaji kwq kila kitu arusha imechaguliwa coz hotel zipo pale arusha na moshi zipo na nikaribu tu na arusha. Pia arusha itatuongezea wataliii hii tunaua ndege wawili kwa jiwe moja. Mbeye wakafuate nn ..? Mbona Tanga hawalalamiki na wanastahili
Kabla ya kukurupuka uwe unasoma bandiko ,stupid.

Hakuna mahala nimesema wasipeleke Afcon huko unakokutaja Bali nimesema tumefika hapa Kwa sababu za upendeleo wa miaka Mingi wa Serikali na kutaka hii ikomeshwe.

Hivyo unavyoviona Arusha havikushushwa na Mvua hata Dom tunazungumzia Leo hii ni Kwa sababu Serikali imeweka efforts.

Sasa efforts hiyo hiyo iwekwe na Mikoa tajwa hapo Juu ikizingatiwa sisi ndio tunazalisha uchumi mkubwa na hata tukigawana fito haipiti miaka 10 Meza kupinduka Kwa Kila kitu.
 
Kabsa mkuu Hiyo mwanza yao ni miaka 2 mbele kimapato itaachwa na Tanga parefu.huko mbeya ndio kabsa wasiseme watulie tu
Wapumbavu wakubwa,mnajua hata maana ya GDP? Kiufupi GDP inasoma transactions zote zilizofanyika Mkoa husika Kwa mwaka husika zikiwemo za TRA.

Sasa ulichukua hiyo hesabu Arusha Iko mkiani huko.
 
Upe
Kabla ya kukurupuka uwe unasoma bandiko ,stupid.

Hakuna mahala nimesema wasipeleke Afcon huko unakokutaja Bali nimesema tumefika hapa Kwa sababu za upendeleo wa miaka Mingi wa Serikali na kutaka hii ikomeshwe.

Hivyo unavyoviona Arusha havikushushwa na Mvua hata Dom tunazungumzia Leo hii ni Kwa sababu Serikali imeweka efforts.

Sasa efforts hiyo hiyo iwekwe na Mikoa tajwa hapo Juu ikizingatiwa sisi ndio tunazalisha uchumi mkubwa na hata tukigawana fito haipiti miaka 10 Meza kupinduka Kwa Kila kitu.
Upendeleo lazima mkuu kwa sababu ya potentiality ya mkoa husika. Mbeya ipewe kuandaa africon tutakua taifa la vichaaa mazwazwa fanaleki
 
Upe

Upendeleo lazima mkuu kwa sababu ya potentiality ya mkoa husika. Mwemba ipewe kuandaa africon tutakua taifa la vichaaa mazwazwa fanaleki
Kati ya anachangia uchumi mkubwa na asiyechangia wapi kunahitaji upendeleo?

Tunakoelekea tutagawana fito Ili mpendeleane vizuri
Screenshot_20230929-135912_2.jpg
 
Wapumbavu wakubwa,mnajua hata maana ya GDP? Kiufupi GDP inasoma transactions zote zilizofanyika Mkoa husika Kwa mwaka husika zikiwemo za TRA.

Sasa ulichukua hiyo hesabu Arusha Iko mkiani huko.
Sawa tupe ushahidi. Mbeya hata hoteli hakuna za kueleweka unatusumbua hapa. Eti mbeya iipite arusha kimapato 🤣🤣🤣🤣 mkuu hiyo kilevi unatumia achan nayo
 
Mshike mshikrle

Wadau mshike mshike.
Mtie nanga akileta matata....

Nimekumbuka kibao hiki cha twanga pepeta akina Luiza..
Kula chuma hicho huku mkiendelea na mtanange.
 
Sawa tupe ushahidi. Mbeya hata hoteli hakuna za kueleweka unatusumbua hapa. Eti mbeya iipite arusha kimapato 🤣🤣🤣🤣 mkuu hiyo kilevi unatumia achan nayo
Ili Hoteli zijengwe ni mazingira yanawekwa na Serikali

Hawa wamejitutumua tuu kibishi
20230304_185124.jpg
20230519_093831.jpg
Screenshot_20230506-160803_1.jpg
2940502_mdopeiddehotel_tz-___CTujdtdtA1K___-.jpg
 
Kuna sehemu hatari kuishi hapa Tabzania zaidi ya arusha, security gani mliopo nayo, hapo mlichotuxid ni conference tu hakuna kingine.
Maana ya infrastructure unaijua? Hapo ni ukaribu wa kambi na vikosi vikubwa vya ku-handle mambo ya kiusalama, siyo wizi wa simu tu, hata terrorism.
 
Maana ya infrastructure unaijua? Hapo ni ukaribu wa kambi na vikosi vikubwa vya ku-handle mambo ya kiusalama, siyo wizi wa simu tu, hata terrorism.
Wapi hakuna Kambi za ku handle security issues hapa Tanzania? Acha utoto
 
Kati ya mwanza na chuga wapi karibu na nairobi..?? Mlijengewa madaraja na mwenda zake mbona hatumaind..? Watu wa kanda ya ziwa wabinafsi mno

Wapi umeona nimeitaja Chuga?
 
Zaid ya bilion 512 yanatokana utalii yaani pesa za wazungu, wenyeji zaidi ya kuongoza kwa bangi mna nini kingine, kwani wakiweka mikakati mbuga serengeti na kila sector na kila kitu kinachohusina na serengeti kikusanywe Mara au simiyu nyie mtakuwa kama Lindi.
Hiyo ni sawa na kusema nyumba yako ingekuwa haina bati ungenyeeshewa na mvua.
 
Back
Top Bottom