Kubalehe changamoto sana

Kubalehe changamoto sana

Joined
Aug 29, 2021
Posts
10
Reaction score
17
Tuna zaliwa vizuri tunacheza na jinsia tofauti vizuri kabisa ila ikifika kipindi huwezi tena jumuika nao tena.

Matamanio ya haraka nimeyatatua kwa style hii 👇👇👇 ili kutoweka mshangao kwa watu.

Share na ya kwako ulitatua swala la mashine kudinda mahali usipo tegemea.
 

Attachments

  • 20240118_103720.jpg
    20240118_103720.jpg
    23.8 KB · Views: 5
Kuna mambo ukifanikiwa kuvuka salama unatakiwa umshukuru Mungu na usitamani tena kurudi huko. Namkumbuka rafiki yangu Rich wakati tunasoma Tuition ya Chemistry Pale CCM Mkoa wa Morogoro. Yeye ilikiwa inafanya hovyo akiongea na msichana au wakiongozana hata barabarani.
 
Dah! Never Forget. Hiyo siku madam kaniambia, "Njoo utuchoree ramani ya Africa ubaoni". Madam alikuwa kavaa kigauni cha maroon halafu kifupi fulani hivi kimtindo. Saa ngapi box la chaki lisianguke! Ile kainama tu, nilidinda sijawahi ona, wanafunzi wenzangu waliangua vicheko sana aisee sintosahau. Halafu ndani sikuvaa chochote kitu zaidi ya suruali pana la shule
 
Na kuna kipindi mimi na kijana wa kanisa mwenzangu tulikwenda kumuona mwenzetu, Magdalena kwao, alikuwa ni mgonjwa. Ile kufika tu tunamkuta ndani ya kanga moko halafu mwili wake unanukia madawa madawa tu, amechoka ile mbaya. Mzungumzaji alikuwa ni yule mwenzangu, muda huo mimi nishadinda sana. Ile mwenzangu anaomba kwenda kupunguza tumbo msalani, anatoka tu sebureni, nilimrukia yule sister kama simba mwenye njaa, nikasukuma tako kwa mara ya kwanza, na yeye ndiye aliyenitoa bikra yangu hii ya kiume. Sekunde ngapi hivi wazungu hao, nikapandisha suruali chapu nikatulia, suruali ikaanza kulowa kwenye dubwasha. Rafiki yangu yule nahisi alijua tu kuwa ni ukuaji, ila sidhani kama alijua kuna mpalangano uliotokea kabla. Mimi na binti tulibaki tukiangaliana kwa hasira sana. Hata mazungumzo yenyewe yalipoteza ashki. Uzuri nilivaa t shirt fulani hivi refu lililoniokoa njiani
 
Dah! Never Forget. Hiyo siku madam kaniambia, "Njoo utuchoree ramani ya Africa ubaoni". Madam alikuwa kavaa kigauni cha maroon halafu kifupi fulani hivi kimtindo. Saa ngapi box la chaki lisianguke! Ile kainama tu, nilidinda sijawahi ona, wanafunzi wenzangu waliangua vicheko sana aisee sintosahau. Halafu ndani sikuvaa chochote kitu zaidi ya suruali pana la shule
Shida yako wewe ni muongo muongo sana.
 
Back
Top Bottom