Kubananga: lugha ya Kiswahili, lawama ziende BAKITA

Kubananga: lugha ya Kiswahili, lawama ziende BAKITA

Inategemea na aliyekusahihisha ni nani, maana huyo huyo akakwambia siku moja "mwanao amekuwa..." badala ya amekua
Kwa usahihi zaidi ni, "mwanao amekua. Amekuwa kijana sasa
Mkuu ni mtaalamu wa lugha? Kama sivyo inabidi tupate muongozo wa Bakita.
Na je, huyo huyo ni sawa sio huyohuyo?
 
Back
Top Bottom