Kubeba majeruhi kwenye gari za wazi (Pickup) badala ya gari za wagonjwa (ambulance) kwenye tukio la kuanguka ghorofa K/Koo ni sahihi?

Kubeba majeruhi kwenye gari za wazi (Pickup) badala ya gari za wagonjwa (ambulance) kwenye tukio la kuanguka ghorofa K/Koo ni sahihi?

Boi Manda

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2023
Posts
388
Reaction score
506
Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance

Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?

Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa

Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana

Comasava
 
Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa Orofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up baadala ya gari mnalum za wagonjwa ambulance

Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwa nini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?

Matokeo yake kaja Dr. Janabi, mkuu wa mkoa na waziri mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa

Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana

Comasava
We ulitakaje
 
Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa Orofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up baadala ya gari mnalum za wagonjwa ambulance

Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwa nini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?

Matokeo yake kaja Dr. Janabi, mkuu wa mkoa na waziri mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa

Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana

Comasava
Sio sahihi, ila pangekuwa bna mtoto mmoja wa kigogo yupo katika hiyo ajali ungeona.

Tanzania tuko nyuma sana katika mambo ya quick response kwenye majanga!!!; Toka hapo Kuna hospital 5 kubwa za Karibu, Amana,Temeke, Polisi Kilwa road ya jeshi, Hindu mandal, Agha Khan wamemshindwa kutoa ambulance 🚑 kweli?

Hii nchi ni ngumu sana,
 
Kwa sasa la msingi ni wafike hospital wakiwa hai kwa haraka iwezekanavyo wapatiwe matibabu... mengine hayana maana..

Au ulitaka tusubiri ambulance...
Mda mwingine muwe na ubongo kichwani..
Nadhani wewe ndo huna Ubongo.
Mwenzako kasema Waheshimiwa wamekuja na V8 ina maana hadi wanafika Gari la wagonjwa linashindwaje kufika.

Hivi Kutoka hapo unajua hazifiki hata 3km kutoka Muhimbili au 3 kutoka Aman hospitali.
Hizo gari za wagonjwa zinasubiri nini muda wote huo?

Gari la wagonjwa lenyewe tayari lina First Aid hivyo linaanza toa huduma wakati mgonjwa yuko njiani huwezi fananisha na Gari la kawaida.

Pia Gari la wagonjwa ni jepesi kufika kwa muda kwani halikai foleni lile. alafu wewe unatetea kuwa hujaona tatizo hapo?
 
Kwa sasa la msingi ni wafike hospital wakiwa hai kwa haraka iwezekanavyo wapatiwe matibabu... mengine hayana maana..

Au ulitaka tusubiri ambulance...
Mda mwingine muwe na ubongo kichwani..
Sio sahihi gari la wagonjwa lina umuhim wake kwan mageruhi angeweza pata hufuma ya kwanza huku akielekea hospital na kuhokoa maisha yake.hivi wanashindwa itisha magari ya wagonjwa aende pale kwa zalalu kwa siku ya leo
 
Nadhani wewe ndo huna Ubongo.
Mwenzako kasema Waheshimiwa wamekuja na V8 ina maana hadi wanafika Gari la wagonjwa linashindwaje kufika.

Hivi Kutoka hapo unajua hazifiki hata 3km kutoka Muhimbili au 3 kutoka Aman hospitali.
Hizo gari za wagonjwa zinasubiri nini muda wote huo?

Gari la wagonjwa lenyewe tayari lina First Aid hivyo linaanza toa huduma wakati mgonjwa yuko njiani huwezi fananisha na Gari la kawaida.

Pia Gari la wagonjwa ni jepesi kufika kwa muda kwani halikai foleni lile. alafu wewe unatetea kuwa hujaona tatizo hapo?
Ungekua eneo la tukio usingeongea hayo mkuu..
 
Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance

Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?

Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa

Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana

Comasava
Kwahiyo ulitaka wapoteze maisha kisa kusubiria ambulance?!
 
Sio sahihi gari la wagonjwa lina umuhim wake kwan mageruhi angeweza pata hufuma ya kwanza huku akielekea hospital na kuhokoa maisha yake.hivi wanashindwa itisha magari ya wagonjwa aende pale kwa zalalu kwa siku ya leo
Kwa sasa la msingi ni wafike hospital wakiwa hai kwa haraka iwezekanavyo wapatiwe matibabu... mengine hayana maana..

Ungekua eneo la tukio sizani kama ungekua unawaza issue ya ambulance
 
Back
Top Bottom