Kubeba majeruhi kwenye gari za wazi (Pickup) badala ya gari za wagonjwa (ambulance) kwenye tukio la kuanguka ghorofa K/Koo ni sahihi?

Kubeba majeruhi kwenye gari za wazi (Pickup) badala ya gari za wagonjwa (ambulance) kwenye tukio la kuanguka ghorofa K/Koo ni sahihi?

Ajali imetokea saa 3 asubuhi...zaidi ya masaa mawili hawajaokolewa. Ambulance zingekuwa zimeshafika. Ni sahihi kubebwa na gari yoyote kama ambulance hazipo. Lakini ni vyema tukajiuliza kwanini ambulance hazikuwepo? Ni jambo la kushangaza.
Tukubaliane tu kwamba mwenye suala la uokoaji tupo nyuma sana.
Dereva wa ambulance gari kaligeuza la kwake sio la wagonjwa
 
Hii nchi ya ajabu sana,kuna vitu ni vidogo lakini havifanyiwi kazi mpaka inashanganza,zinapotekea ajali wanakuja polisi na cruisers zao pickup na kupakia majeruhi/maiti kwenye tela kama mizigo,kwanini watu wasisitiriwe kwa kubebwa kwenye magari maalumu kwa ajili ya kazi hizo.Nchi ya kipumbavu sana kuwahi kutokea.
 
Hii nchi ya ajabu sana,kuna vitu ni vidogo lakini havifanyiwi kazi mpaka inashanganza,zinapotekea ajali wanakuja polisi na cruisers zao pickup na kupakia majeruhi/maiti kwenye tela kama mizigo,kwanini watu wasisitiriwe kwa kubebwa kwenye magari maalumu kwa ajili ya kazi hizo.Nchi ya kipumbavu sana kuwahi kutokea.
Utazoea tu....
 
Hii nchi ya ajabu sana,kuna vitu ni vidogo lakini havifanyiwi kazi mpaka inashanganza,zinapotekea ajali wanakuja polisi na cruisers zao pickup na kupakia majeruhi/maiti kwenye tela kama mizigo,kwanini watu wasisitiriwe kwa kubebwa kwenye magari maalumu kwa ajili ya kazi hizo.Nchi ya kipumbavu sana kuwahi kutokea.
Wakechukuliwa km watu wasio na umuhimu hawana tofauti na maparachichi,
 
Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance

Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?

Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa

Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana

Comasava
 

Attachments

  • IMG-20241116-WA0038.jpg
    IMG-20241116-WA0038.jpg
    139.1 KB · Views: 2
  • IMG-20241116-WA0039.jpg
    IMG-20241116-WA0039.jpg
    160.8 KB · Views: 1
  • IMG-20241116-WA0045.jpg
    IMG-20241116-WA0045.jpg
    270.3 KB · Views: 2
Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance

Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?

Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa

Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana

Comasava
Hao kina Janabi na wanasiasa wakiongozwa na Majaaliwa hawakwenda kutoa msaada. Wameenda kuuza sura tu hapo.
 
Sema yalitumika magari ya aina tofauti ambulance na pickup kuwahisha majeruhi hospitali siyo pickup pekee.
 
Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance

Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?

Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa

Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana

Comasava
CHADEMA kila kitu kulaumu, hivi hii nchi mukiachiwa nyinyi mutaweza kuiongoza wajinga nyie?
 
Yana maana
Yana maana baadaye... Ukiwa na njaa unawaza kupata chakula tu ushibe ni chakula gani hata hujali. Ukishashiba sasa ndipo unaweza kujadili ni aina gani ya chakula ulichopewa, kilikuwa balanced diet au makapi tu ya kujaza tumbo.
 
Back
Top Bottom