min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mbewi imejengwa haswa nchi ina maendeleo ya kutisha mno
View: https://youtu.be/t0j85IHClIo?si=Il40GPDswQ691fti
View: https://youtu.be/t0j85IHClIo?si=Il40GPDswQ691fti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kiongozi umenisaidia kupa ngumi za chembe moyo 😄 🤣 😂Nadhani wewe ndo huna Ubongo.
Mwenzako kasema Waheshimiwa wamekuja na V8 ina maana hadi wanafika Gari la wagonjwa linashindwaje kufika.
Hivi Kutoka hapo unajua hazifiki hata 3km kutoka Muhimbili au 3 kutoka Aman hospitali.
Hizo gari za wagonjwa zinasubiri nini muda wote huo?
Gari la wagonjwa lenyewe tayari lina First Aid hivyo linaanza toa huduma wakati mgonjwa yuko njiani huwezi fananisha na Gari la kawaida.
Pia Gari la wagonjwa ni jepesi kufika kwa muda kwani halikai foleni lile. alafu wewe unatetea kuwa hujaona tatizo hapo?
Nilitaka wachukuliwe kwenye V8 ya ChalamilaWe ulitakaje
Unajua kwamba matibabu huanzia ndani ya ambulance?Kwa sasa la msingi ni wafike hospital wakiwa hai kwa haraka iwezekanavyo wapatiwe matibabu... mengine hayana maana
Nisha mwambia mjanja wako hukoAtuambie...
Wee jau sana mkuu.Nisha mwambia mjanja wako huko
Nani kama mama.. MaamMajeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance
Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?
Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa
Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana
Comasava
Wewe kweli ni Poor BrainKwa sasa la msingi ni wafike hospital wakiwa hai kwa haraka iwezekanavyo wapatiwe matibabu... mengine hayana maana..
Au ulitaka tusubiri ambulance...
Mda mwingine muwe na ubongo kichwani..
Ndio nishaandika poor brainWee jau sana mkuu.
Wee andika unachojiskia
HakunaNani kama mama.. Maam
Uko sahihi kabisa pia mule hewa ni ya kutosha full ACUnajua kwamba matibabu huanzia ndani ya ambulance?
Kipaumbele chetu ni hiki kwanzaMajeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance
Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?
Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa
Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana
Comasava
Kama haipo so wasubiri hadi wafike. Sisi hata mtu akizidiwa home tunamkimbiza hospital wenyewe sio kupiga simu ambulance ije kumfuata bado tunaishi zama za giza. Ambulance kwa tz ni anasa gharama ya kumkimbiza mtu kwa ambulance ukiambiwa unaweza kudhani anapanda yatch luxury.Unajua kwamba matibabu huanzia ndani ya ambulance?
Ajali imetokea saa 3 asubuhi...zaidi ya masaa mawili hawajaokolewa. Ambulance zingekuwa zimeshafika. Ni sahihi kubebwa na gari yoyote kama ambulance hazipo. Lakini ni vyema tukajiuliza kwanini ambulance hazikuwepo? Ni jambo la kushangaza.Kwahiyo ulitaka wapoteze maisha kisa kusubiria ambulance?!