Kubeba majeruhi kwenye gari za wazi (Pickup) badala ya gari za wagonjwa (ambulance) kwenye tukio la kuanguka ghorofa K/Koo ni sahihi?

Asante kiongozi umenisaidia kupa ngumi za chembe moyo 😄 🤣 😂
 
Nani kama mama.. Maam
 
Linapokuja suala la uokozi wa watu na mali zao katika majanga yoyote yale, kila aina ya mbinu inapaswa kutumiwa kwa Uharaka.

Mfano katika lile janga la ndege kuzama majini kule Mwanza tulimuona ndugu Majaliwa alivyopambana akiwa wenzie na wakaokoa watu

Hata ukienda Nchi zilizoendelea, mbinu hazisubiri vyombo husika,
bali vyovyote vile unavyoweza fanya ilimradi usiongeze kiwngo cha.madhara
 
Kipaumbele chetu ni hiki kwanza
 
Unajua kwamba matibabu huanzia ndani ya ambulance?
Kama haipo so wasubiri hadi wafike. Sisi hata mtu akizidiwa home tunamkimbiza hospital wenyewe sio kupiga simu ambulance ije kumfuata bado tunaishi zama za giza. Ambulance kwa tz ni anasa gharama ya kumkimbiza mtu kwa ambulance ukiambiwa unaweza kudhani anapanda yatch luxury.
So, ninashangaa kuona mnashangaa watu kukimbizwa na pickup.
Narudia, la msingi ni wawahishwe hospital wafike wakiwa hai watibiwe mengine hayana maana...
 
Kwahiyo ulitaka wapoteze maisha kisa kusubiria ambulance?!
Ajali imetokea saa 3 asubuhi...zaidi ya masaa mawili hawajaokolewa. Ambulance zingekuwa zimeshafika. Ni sahihi kubebwa na gari yoyote kama ambulance hazipo. Lakini ni vyema tukajiuliza kwanini ambulance hazikuwepo? Ni jambo la kushangaza.
Tukubaliane tu kwamba mwenye suala la uokoaji tupo nyuma sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…