Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Asante mkuu japo watashangaa kwa hili.Karibu
Mkuu nimepata changamoto kidogo ya ugeni wa binamu yangu,
Huyu binamu , mama yake na baba angu ni mama mmoja na baba mmoja...
Changamoto ni kuwa amekuja mjini hapa lakini kutokana na ugumu wa life hana budi kuja kukaa na mimi.
Kumbuka ni wa kike na rika lety linaendana.
Je hi itakua sawa kukaa na binamu chumba kimoja. .?
Kumbuka yeye anasema hataki wajue kuwa yupo na mimi anaogopa wazazi watazingua...
Lakini naomba nishauri pia hii ni sawa..
Ningeandika uzi kuhusu hili suala ila nimeona hapana nahitaji majibu ya chap niweze toa maamuzi hapa...
NB binamu nyama ya hamu kuikosa ni haramu...