Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaaa ombeeni tuWote walianza hivyohivyo. Lisemwalo...
Msitake kulazimisha jambo. Huyu mheshimiwa hakuanza leo kuwaeleza kuwa hana nia ya kuhama chama chake. Nini kinachowashinda kumuelewa?Wote walianza hivyohivyo. Lisemwalo...
Hicho kiinua mgongo baada ya bunge kuvunjwa hakuna anayeweza kukikataa.Subiri bunge livunjwe.Sasa hivi hawezi kuhama akaacha posho za bungeni. Vyuma vyenyewe vimekaza hivi.
Siku akiujua ukweli na sababu atahamaMh Kubenea amekiri urafiki, ukaribu na undugu wake na Komu, lakini amesema kwamba si kila alifanyalo Komu na yeye aweza kufanya.Ameonya kwa Msisitizo mkubwa sana kwa watu kuacha kupiga ramli.
Amedai kwamba hana mpango wa kuhama Chadema wala hana sababu ya kufanya hivyo.
ila siyo leoSiku akiujua ukweli na sababu atahama
Huyu kwisha habari yake, hajitambui. Alisoma hakuelimika! Aliondoa ujinga hakuongeza maarifa! Anadandiadandia, tofauti kabisa na mwanasheria msomi. Kusoma sheria sio kuwa mwanasheria! Kujua kiingereza utakuwa muingereza? Reasoning na logic vinatakiwa. Vinginevyo ni praise and worship team ikiongozwa na hao wa kutoka jalala kuu udsm!!🤣🤣unaniudhi kuwa ndumilakuwili...mara ccm.mara cdm..wewe km ni moto kuwa moto!...
100% uko sawa, hata alichokiongea leo si kile alichokuwa amekusudia kuongea, hasa ukizingatia mwelekeo wa uhakika wa kuendelea kuwa mbunge ktk jimbo lake.Subiri bunge livunjwe.Sasa hivi hawezi kuhama akaacha posho za bungeni. Vyuma vyenyewe vimekaza hivi.
Ila jana alipotangaza mkutano na media mlipagawa kama nawaona vileMh Kubenea amekiri urafiki, ukaribu na undugu wake na Komu, lakini amesema kwamba si kila alifanyalo Komu na yeye aweza kufanya.Ameonya kwa Msisitizo mkubwa sana kwa watu kuacha kupiga ramli.
Amedai kwamba hana mpango wa kuhama Chadema wala hana sababu ya kufanya hivyo.
Umeumia na nini sasaWote walianza hivyohivyo. Lisemwalo...
Mimi ni miongoni mwa walioandaa mkutano huo , nawezaje kupagawa ?Ila jana alipotangaza mkutano na media mlipagawa kama nawaona vile
Sent using Jamii Forums mobile app