Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Chadema wanamnyanyasa sana huyu bwana
Kubenea sio mwongeaji ni mwongeaji kupitia kalamu yake
Ameijenga Chadema kupitia kalamu yake leo hii vijana wa Chadema ambao wengi miaka ya nyuma wakati kubenea anapambania chama wao walikuwa kwa wazazi wao wananyonya leo hii Wanamtukana kila aina ya tusi. Kizzy Wizzy,
Kubenea sio mwongeaji ni mwongeaji kupitia kalamu yake
Ameijenga Chadema kupitia kalamu yake leo hii vijana wa Chadema ambao wengi miaka ya nyuma wakati kubenea anapambania chama wao walikuwa kwa wazazi wao wananyonya leo hii Wanamtukana kila aina ya tusi. Kizzy Wizzy,