LGE2024 Kubenea: Hakuna uchaguzi, kuna uchafuzi. Vyama kuendelea kushiriki ni kuhalalisha uhuni, madhara yake yataonekana 2025

LGE2024 Kubenea: Hakuna uchaguzi, kuna uchafuzi. Vyama kuendelea kushiriki ni kuhalalisha uhuni, madhara yake yataonekana 2025

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Kupitia andiko hilo la leo, Jumanne Novemba 12.2024 Kubenea ambaye ni mwanahabari nguli nchini na Mkurugenzi wa kampuni ya habari ya Mwanahalisi amedai kuwa kitendo cha vyama vya upinzani nchini kuendelea kushiriki uchaguzi huo ni sawa na kuhalalisha 'uhuni' unaoendelea, na hivyo kutahadharisha kuwa madhara ya jambo hilo yataonekana mwakani (2025) kwenye uchaguzi mkuu

"Hakuna uchaguzi, kuna uchafuzi, ni muhimu vyama vyote vikajitoa na kuanza kujipanga upya, nje ya hapo wanakwenda kuhalalisha uhuni na madhara yake mtayaona 2025" -Kubenea
 
Kupitia andiko hilo la leo, Jumanne Novemba 12.2024 Kubenea ambaye ni mwanahabari nguli nchini na Mkurugenzi wa kampuni ya habari ya Mwanahalisi amedai kuwa kitendo cha vyama vya upinzani nchini kuendelea kushiriki uchaguzi huo ni sawa na kuhalalisha 'uhuni' unaoendelea, na hivyo kutahadharisha kuwa madhara ya jambo hilo yataonekana mwakani (2025) kwenye uchaguzi mkuu

"Hakuna uchaguzi, kuna uchafuzi, ni muhimu vyama vyote vikajitoa na kuanza kujipanga upya, nje ya hapo wanakwenda kuhalalisha uhuni na madhara yake mtayaona 2025" -Kubenea
Naunga mkono hoja!
 
Kupitia andiko hilo la leo, Jumanne Novemba 12.2024 Kubenea ambaye ni mwanahabari nguli nchini na Mkurugenzi wa kampuni ya habari ya Mwanahalisi amedai kuwa kitendo cha vyama vya upinzani nchini kuendelea kushiriki uchaguzi huo ni sawa na kuhalalisha 'uhuni' unaoendelea, na hivyo kutahadharisha kuwa madhara ya jambo hilo yataonekana mwakani (2025) kwenye uchaguzi mkuu

"Hakuna uchaguzi, kuna uchafuzi, ni muhimu vyama vyote vikajitoa na kuanza kujipanga upya, nje ya hapo wanakwenda kuhalalisha uhuni na madhara yake mtayaona 2025" -Kubenea
Hii ni kwi kabisa, sijui vyama vya upinzan lengo lao la kushiriki uchaguz ni lipi wakati wanajua kabisa hakuna uchaguzi ni uteuz
 
Back
Top Bottom