Kubenea wa MWANAHALISI amenunuliwa na mafisadi?

Kubenea wa MWANAHALISI amenunuliwa na mafisadi?

Hata mimi ni msomaji wa muda mrefu wa MwanaHalisi, Kiukweli hawa jamaa wamebadilika sana, tetesi hizi zinaweza kua na ukweli ndani yake. Kwasiku za karibuni wamekua wakiwateta watuhumiwa wa ufisadi ndani ya magamba! zile title kali kali za mbele hazipo tena, toleo la leo kuna makala inasema " Ni JK anayetesa taifa, si urais 2015" ukiisoma kwa makini utakuta utetezi wa wanaotaka uraisi na kumpoda JK. Jambo jingine ni jinsi ghafla walivyowageuka akina Sitta na wapambanaji wenzake, Mtakumbuka kua hawa jamaa ndio waliokua wanaongelea issue za Richmond na Dowans kwa undani zaidi, na kuwaendorse akina six! Najipa wiki mbili zaidi za kulichunguza nikiona ni kweli nalipotezea kama nilivyoyapotezea mengine!
Kuna siku utajipotezea wewe mwenyewe
 
Maneno matupu, tetesi kama hizi peleka Manywele Salon.

1.jpg

2.jpg

6.jpg
 
Back
Top Bottom