Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Mambo vipi wakuu wangu....
Ni hivi, leo nianza rasmi kubeti kupitia hii App ya 1Xbet, nimeweka mikeka mitano( mmojamoja) ambapo mechi zitapigwa mda tofautitofauti..
Sasa wakuu naomba ufahamu kidogo juu ya hili.
*kama nimeshinda mkeka wa kwanza kucheza(unaanza mapema), nitatumiwa pesa yangu papohapo baada ya mechi husika kumalizika Au mpaka ziishe mechi zote ndo nipate hela yangu kwa mechi nilizoshinda..?
Ni hivi, leo nianza rasmi kubeti kupitia hii App ya 1Xbet, nimeweka mikeka mitano( mmojamoja) ambapo mechi zitapigwa mda tofautitofauti..
Sasa wakuu naomba ufahamu kidogo juu ya hili.
*kama nimeshinda mkeka wa kwanza kucheza(unaanza mapema), nitatumiwa pesa yangu papohapo baada ya mechi husika kumalizika Au mpaka ziishe mechi zote ndo nipate hela yangu kwa mechi nilizoshinda..?