Kubeti ni kama kudanga tu!

Ooohhh........... Maneno kuntu sn haya mkuu wangu
 
Mwisho wa mwezi wa tisa, nikijaliwa uzima , mimi binafsi nitakuwa nimeufikia uchumi wa katikati. Ila sasa nimeshapita uchumi wa katikati wa chini.
OOHH.... Hongera sn. Umeshapita uchumi wa kati wa chini unatafuta UPPER SECOND??
 
Kama unaweka jero buku upate laki. Na unaweka tumaini kabisa utapiga. Lazima iwe mbaya.
Bet kistaarabu. Dau kubwa odd ndogo 2-3.

Kama unaweka jero buku kwa odd 200/300+ weka for fun tu. Hutokuja na uzi kama huu tena.
Hahahaaa...... Sawa mkuuπŸ‘ŒπŸ‘Œ
 
Lol nimecheka kama yote. Wale wa Betpowa tunakoment wapi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…