Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakua km biashara ya madini sasa... HahaHatari sana hyo kitu.
Unaweza ukapoteza hata hamu ya tendo la ndoa. Zunguka kote usije ukajaribu ulevi wa CASINO ndani ya sekunde unakuwa bosi na ndani ya sekunde unafirisika
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Ni ajira hiyo 😆Ohooo. Kumbe Kubet ni kazi km kazi?
Inakua km biashara ya madini sasa... Haha
Nasikia kizunguzungu..... 🤔🤔. Anyways ngoja niandae strategy nyingine labda but how?There is no royal road in making profits. Betting ni biashara yenye ukwasi mwingi mno what is most important andaa strategy yako basi af uje uniambie asante.
But there is royal road in learning, soma sana uje uajiriwe
Huu ndio wasiwasi wangu mkuu... Consistence ni ngumu sn snLeo unakula laki 2.kesho anarudisha.
Betting faida ni kwa wachache.
Ila faida kubwa atabaki nayo muanzishi
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Betting ni burdani tu. Ile hali ya hela yako uliyoitafuta kwa jasho inapokuwa na hati hati ya kupotea au kudouble... Kuna kile kitete kinakuandama hujui kesho yako hapo ndipo burdani ya Kamali ilipo. Usidhani hiyo ni kazi. Nahisi ndio maana huwa wanatumia tag line "bet responsibly"Sijaona maendeleo yoyote tangu nianze kubeti miaka 3 iliyopita.
Wenzangu na mimi hali ikoje? Naweza kupata maujuzi zaidi ama niachane na kudanga huku?
Tena madanga yangu km ya wanawake wa Buza, leo nimepata buku siku mbili sipati kitu. Nikipata elfu kumi inapita wiki mbili cjapata chochote!!!!
Wahujumu uchumi wangu ni:
-Meridian bet
-Mkeka bet
-Premier Bet
MUHIMU: Kuanzisha kampuni ya kubeti inahitaji mtaji kiasi gani?
MWISHO: Nawataki Betting Njema, kizuri kula na mwenzako. Eid Mubarak!
Nimecheka tu,Mwanaume kutumia neno kudanga ni very disturbing...
We njoo Betpawa tuendelee kubet Virtual sports kikubwa ni uwe na mtaji tu
Mkuu kama hutojari naomba uielezee hii virtual sports maana mimi sijaielewa vizur
Hivyo yani😁Hahahaaa........ Ije mvua lije jua umekula yamini😀😀
Wazo mujarabu kabisa mkuu....Betting ni burdani tu. Ile hali ya hela yako uliyoitafuta kwa jasho inapokuwa na hati hati ya kupotea au kudouble... Kuna kile kitete kinakuandama hujui kesho yako hapo ndipo burdani ya Kamali ilipo. Usidhani hiyo ni kazi. Nahisi ndio maana huwa wanatumia tag line "bet responsibly"
Kinachonipa wasiwasi ni kwanini mwanaume mzima uende kwa mhindi umpe pesa yako kwa mategemeo wengine watapoteza ili wewe upate nyingi!? Kwanini msiungane mkanunue hisa mpate wote!? Kwa kuzalisha!?
Nakukumbuka mkongwe kwenye uzi wetu wa wazee wa kubeti siku hizi ulistaafu kabisa?
Hii kanuni Safi sana ukiachana na tamaa we kazi yako ni ku draw pesa kwa wiki ama mwezi. Uhakikaa kabisa.daily 100k inaingia tafuta odds ya 2.5 weka laki unapata laki profit Sasa wewe endelea kutafuta buku kwa laki itakula kwako daily
Shoga hilo si unaona hata jina lake tu JILE atakuwa Gile huyuMwanaume kutumia neno kudanga ni very disturbing...