Kubeti sio kamari, kamari ni kama vile Tatu Mzuka (sio betting)

Kubeti sio kamari, kamari ni kama vile Tatu Mzuka (sio betting)

Mungu anabariki kazi ya mikono
Pia tumeambiwa tutakula kwa jasho
So it betting inafit hapo it's okay
Ila kiukweli siamini niliumbiwa kula kwa jasho za wenzangu
 
Hapana. Si kamari. Ukinunua hisa husubiri yoyote apoteze ili upate fedha, unasubiri watakaohitaji hisa ulizonazo wawe wengi ili uziuze kwa bei kubwa. Hakuna kunyang'anyana fedha kwenye hisa.

Forex inategemeana. Hizi za kimshale ni kamari, ila ukinunua fedha za kigeni ukasubiri zipande thamani kisha ukaziuza hiyo si kamari.

In short jambo lolote ambalo haliitaji kuweka fedha, halafu wengine waweke fedha kisha mzigombanie ndani ya muda fulani si kamari.
ZIkishuka si umepoteza... Unaweza kununua fedha fulani ukaihold ukitegemea ipande na isipande bali ishuke thamani.
 
1. Mkulima anayekwenda shambani kulima akitegemea mvua ambayo haiko ndani ya uwezo wake anabeti.
2. Mfanya biashara anayenunua maparachichi na nyanya kwa mkulima akitegemea kuuza kwa mteja ambaye hamjui anabeti.

3. Serikali inapopitisha bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kupanga matumizi ya fedha ambazo hawajui kama zitapatikana au la inabeti.

4. Mimi ninaposema timu ya Yanga itaifumua timu ya Simba nabeti.

5. Suala la ndoa ni kubeti.

6. Kununua hisa za makampuni na kufanya uwekezaji wowote ule ni kubeti.
.........................
Kamari ni ile wewe unaweka 1000 unategemea kupata mamilioni bila kujua kompyuta inatumia hesabu gani ili kuchagua mshindi. Na kwakuwa hujui basi huna uwezo wa kudai ushindi.

Kwenye betting timu uliyosema kuwa unadhani itashida ikishinda kweli na usipopewa chako unaweza kudai na utalipwa maana kanuni ya kupata mshindi inajulikana.

NB: Nina mpango wa kufungua chama cha kubeti Tanzania (CCKT) na kitatoa fursa za vijana kushirikiana kutoa odds zakibabe na kushiriki kwenye mikutano mbalimbali ya wawekezaji kwenye sekta ya betting ambao pia ni walipakodi walio nyooka.
Kumbe hata kugombea au kushiriki uchaguzi, ni ku-bet.
 
1. Mkulima anayekwenda shambani kulima akitegemea mvua ambayo haiko ndani ya uwezo wake anabeti.
2. Mfanya biashara anayenunua maparachichi na nyanya kwa mkulima akitegemea kuuza kwa mteja ambaye hamjui anabeti.

3. Serikali inapopitisha bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kupanga matumizi ya fedha ambazo hawajui kama zitapatikana au la inabeti.

4. Mimi ninaposema timu ya Yanga itaifumua timu ya Simba nabeti.

5. Suala la ndoa ni kubeti.

6. Kununua hisa za makampuni na kufanya uwekezaji wowote ule ni kubeti.
.........................
Kamari ni ile wewe unaweka 1000 unategemea kupata mamilioni bila kujua kompyuta inatumia hesabu gani ili kuchagua mshindi. Na kwakuwa hujui basi huna uwezo wa kudai ushindi.

Kwenye betting timu uliyosema kuwa unadhani itashida ikishinda kweli na usipopewa chako unaweza kudai na utalipwa maana kanuni ya kupata mshindi inajulikana.

NB: Nina mpango wa kufungua chama cha kubeti Tanzania (CCKT) na kitatoa fursa za vijana kushirikiana kutoa odds zakibabe na kushiriki kwenye mikutano mbalimbali ya wawekezaji kwenye sekta ya betting ambao pia ni walipakodi walio nyooka.
Comments reserved
 
ZIkishuka si umepoteza... Unaweza kununua fedha fulani ukaihold ukitegemea ipande na isipande bali ishuke thamani.
Hata viatu, unaweza vinunua ukitegemea utauza lakini usiuze. Ni biashara. Biashara inaongozwa na misingi ya demand and Supply. Betting si biashara, haiongozwi na misingi ya demand and supply.

HALAFU, UNAPOAMUA KUFANYA JAMBO NJE YA MISINGI YA IMANI(MAANA NAJUA WENGI HAPA NI IMANI ZA DINI KUKATAZA KAMARI NDO INALETA SHIDA) WEWE FANYA UTATUBU.

KUNA MAFISADI, KUNA WEZI, KUNA WAZINZI,WABAKAJI. MTU KUCHEZA KAMARI UNATESEEEEEEKA KUTAFUTA UHALALI. BETTING NI KAMARI.
 
Hata viatu, unaweza vinunua ukitegemea utauza lakini usiuze. Ni biashara. Biashara inaongozwa na misingi ya demand and Supply. Betting si biashara, haiongozwi na misingi ya demand and supply.

HALAFU, UNAPOAMUA KUFANYA JAMBO NJE YA MISINGI YA IMANI(MAANA NAJUA WENGI HAPA NI IMANI ZA DINI KUKATAZA KAMARI NDO INALETA SHIDA) WEWE FANYA UTATUBU.

KUNA MAFISADI, KUNA WEZI, KUNA WAZINZI,WABAKAJI. MTU KUCHEZA KAMARI UNATESEEEEEEKA KUTAFUTA UHALALI. BETTING NI KAMARI.
Sasa hapo pa kuassume demand itakuwa kubwa uuze ni kubet
 
Mimi si bet mkuu. Ila vitu vingi ni gambling sema tu vinazidiana risk.
Gambling kwenye mambo ya kidini imekatazwa kwa sababu ya element ya ili wewe upate, lazima yule apoteze. Ili wewe ulie, lazima yule acheke hakuna mazingira ambayo wote mnaweza kucheka.

Binafsi sioni tatizo mtu kucheza betting as long as haimfanyi akapata uraibu. Ila uhalisia ni kuwa betting ni kamari.
 
1. Mkulima anayekwenda shambani kulima akitegemea mvua ambayo haiko ndani ya uwezo wake anabeti.
2. Mfanya biashara anayenunua maparachichi na nyanya kwa mkulima akitegemea kuuza kwa mteja ambaye hamjui anabeti.

3. Serikali inapopitisha bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kupanga matumizi ya fedha ambazo hawajui kama zitapatikana au la inabeti.

4. Mimi ninaposema timu ya Yanga itaifumua timu ya Simba nabeti.

5. Suala la ndoa ni kubeti.

6. Kununua hisa za makampuni na kufanya uwekezaji wowote ule ni kubeti.
.........................
Kamari ni ile wewe unaweka 1000 unategemea kupata mamilioni bila kujua kompyuta inatumia hesabu gani ili kuchagua mshindi. Na kwakuwa hujui basi huna uwezo wa kudai ushindi.

Kwenye betting timu uliyosema kuwa unadhani itashida ikishinda kweli na usipopewa chako unaweza kudai na utalipwa maana kanuni ya kupata mshindi inajulikana.

NB: Nina mpango wa kufungua chama cha kubeti Tanzania (CCKT) na kitatoa fursa za vijana kushirikiana kutoa odds zakibabe na kushiriki kwenye mikutano mbalimbali ya wawekezaji kwenye sekta ya betting ambao pia ni walipakodi walio nyooka.
Naunga mkono hoja
 
1. Mkulima anayekwenda shambani kulima akitegemea mvua ambayo haiko ndani ya uwezo wake anabeti.
2. Mfanya biashara anayenunua maparachichi na nyanya kwa mkulima akitegemea kuuza kwa mteja ambaye hamjui anabeti.

3. Serikali inapopitisha bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kupanga matumizi ya fedha ambazo hawajui kama zitapatikana au la inabeti.

4. Mimi ninaposema timu ya Yanga itaifumua timu ya Simba nabeti.

5. Suala la ndoa ni kubeti.

6. Kununua hisa za makampuni na kufanya uwekezaji wowote ule ni kubeti.
.........................
Kamari ni ile wewe unaweka 1000 unategemea kupata mamilioni bila kujua kompyuta inatumia hesabu gani ili kuchagua mshindi. Na kwakuwa hujui basi huna uwezo wa kudai ushindi.

Kwenye betting timu uliyosema kuwa unadhani itashida ikishinda kweli na usipopewa chako unaweza kudai na utalipwa maana kanuni ya kupata mshindi inajulikana.

NB: Nina mpango wa kufungua chama cha kubeti Tanzania (CCKT) na kitatoa fursa za vijana kushirikiana kutoa odds zakibabe na kushiriki kwenye mikutano mbalimbali ya wawekezaji kwenye sekta ya betting ambao pia ni walipakodi walio nyooka.
Basi hata kuishi ni kubet maana hatujui kesho
 
Basi hata kuishi ni kubet maana hatujui kesho
Hahaha. Kuishi si kamari mkuu. Kubeti lazima mwingine apoteze ili wewe upate, sasa wewe ukiishi kuna mwenzako unayekufa sababu wewe umeishi?

Yaani kamari ni kamari, kuitafutia isiwe kamari kwa kulazimisha ifanane kwa 100% na kitu kingine ni kujiambia unachotaka kusikia tu....

Betting inaweza kuwa na tupasent twa biashara ndani yake lakini pasenti kubwa inaangukia kwenye mchezo wa kamari na kuhitimisha huo mchezo kuwa kamari.
 
Hahaha. Kuishi si kamari mkuu. Kubeti lazima mwingine apoteze ili wewe upate, sasa wewe ukiishi kuna mwenzako unayekufa sababu wewe umeishi?

Yaani kamari ni kamari, kuitafutia isiwe kamari kwa kulazimisha ifanane kwa 100% na kitu kingine ni kujiambia unachotaka kusikia tu....

Betting inaweza kuwa na tupasent twa biashara ndani yake lakini pasenti kubwa inaangukia kwenye mchezo wa kamari na kuhitimisha huo mchezo kuwa kamari.
Unaonaje ukinunua mchele shambani 2500 na mteja wako umuuzie 2500 maana ukizidisha utakua umetenda dhambi maana wewe ulinunua 2500 na hiyo si ni kamari maana ukizidisha unachukia hela ya mtu
 
ZIkishuka si umepoteza... Unaweza kununua fedha fulani ukaihold ukitegemea ipande na isipande bali ishuke thamani.
Kwenye kununua Hapa unazungumzia biashara ambayo inakua na kutoa / kupokea huduma au/na bidhaa Kwa fedha

Sasa mkuu tusaidie kwenye betting unapokea huduma au bidhaa Gani ?
 
Back
Top Bottom