Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Option nzuri ya kutokumpa mwingine pesa yako inayoenda kupotea.Kwenye betting kuna cash out pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Option nzuri ya kutokumpa mwingine pesa yako inayoenda kupotea.Kwenye betting kuna cash out pia
Wewe kweli akili huna hata uhai wako unabeti kama unabisha sema lini unakufaHapana boss, mkulima akipoteza mazao hakuna anayenufaika na alichopoteza.
Betting ukiliwa kuna anayechukua fedha zako ulizoliwa na ukila kuna aliyepoteza ili ule na hapo ndo ukamari unapoingia.
Sawa, nakuelewa unachotaka kusikia.Wewe kweli akili huna hata uhai wako unabeti kama unabisha sema lini unakufa
ZIkishuka si umepoteza... Unaweza kununua fedha fulani ukaihold ukitegemea ipande na isipande bali ishuke thamani.Hapana. Si kamari. Ukinunua hisa husubiri yoyote apoteze ili upate fedha, unasubiri watakaohitaji hisa ulizonazo wawe wengi ili uziuze kwa bei kubwa. Hakuna kunyang'anyana fedha kwenye hisa.
Forex inategemeana. Hizi za kimshale ni kamari, ila ukinunua fedha za kigeni ukasubiri zipande thamani kisha ukaziuza hiyo si kamari.
In short jambo lolote ambalo haliitaji kuweka fedha, halafu wengine waweke fedha kisha mzigombanie ndani ya muda fulani si kamari.
Kumbe hata kugombea au kushiriki uchaguzi, ni ku-bet.1. Mkulima anayekwenda shambani kulima akitegemea mvua ambayo haiko ndani ya uwezo wake anabeti.
2. Mfanya biashara anayenunua maparachichi na nyanya kwa mkulima akitegemea kuuza kwa mteja ambaye hamjui anabeti.
3. Serikali inapopitisha bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kupanga matumizi ya fedha ambazo hawajui kama zitapatikana au la inabeti.
4. Mimi ninaposema timu ya Yanga itaifumua timu ya Simba nabeti.
5. Suala la ndoa ni kubeti.
6. Kununua hisa za makampuni na kufanya uwekezaji wowote ule ni kubeti.
.........................
Kamari ni ile wewe unaweka 1000 unategemea kupata mamilioni bila kujua kompyuta inatumia hesabu gani ili kuchagua mshindi. Na kwakuwa hujui basi huna uwezo wa kudai ushindi.
Kwenye betting timu uliyosema kuwa unadhani itashida ikishinda kweli na usipopewa chako unaweza kudai na utalipwa maana kanuni ya kupata mshindi inajulikana.
NB: Nina mpango wa kufungua chama cha kubeti Tanzania (CCKT) na kitatoa fursa za vijana kushirikiana kutoa odds zakibabe na kushiriki kwenye mikutano mbalimbali ya wawekezaji kwenye sekta ya betting ambao pia ni walipakodi walio nyooka.
Comments reserved1. Mkulima anayekwenda shambani kulima akitegemea mvua ambayo haiko ndani ya uwezo wake anabeti.
2. Mfanya biashara anayenunua maparachichi na nyanya kwa mkulima akitegemea kuuza kwa mteja ambaye hamjui anabeti.
3. Serikali inapopitisha bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kupanga matumizi ya fedha ambazo hawajui kama zitapatikana au la inabeti.
4. Mimi ninaposema timu ya Yanga itaifumua timu ya Simba nabeti.
5. Suala la ndoa ni kubeti.
6. Kununua hisa za makampuni na kufanya uwekezaji wowote ule ni kubeti.
.........................
Kamari ni ile wewe unaweka 1000 unategemea kupata mamilioni bila kujua kompyuta inatumia hesabu gani ili kuchagua mshindi. Na kwakuwa hujui basi huna uwezo wa kudai ushindi.
Kwenye betting timu uliyosema kuwa unadhani itashida ikishinda kweli na usipopewa chako unaweza kudai na utalipwa maana kanuni ya kupata mshindi inajulikana.
NB: Nina mpango wa kufungua chama cha kubeti Tanzania (CCKT) na kitatoa fursa za vijana kushirikiana kutoa odds zakibabe na kushiriki kwenye mikutano mbalimbali ya wawekezaji kwenye sekta ya betting ambao pia ni walipakodi walio nyooka.
Hata viatu, unaweza vinunua ukitegemea utauza lakini usiuze. Ni biashara. Biashara inaongozwa na misingi ya demand and Supply. Betting si biashara, haiongozwi na misingi ya demand and supply.ZIkishuka si umepoteza... Unaweza kununua fedha fulani ukaihold ukitegemea ipande na isipande bali ishuke thamani.
Sasa hapo pa kuassume demand itakuwa kubwa uuze ni kubetHata viatu, unaweza vinunua ukitegemea utauza lakini usiuze. Ni biashara. Biashara inaongozwa na misingi ya demand and Supply. Betting si biashara, haiongozwi na misingi ya demand and supply.
HALAFU, UNAPOAMUA KUFANYA JAMBO NJE YA MISINGI YA IMANI(MAANA NAJUA WENGI HAPA NI IMANI ZA DINI KUKATAZA KAMARI NDO INALETA SHIDA) WEWE FANYA UTATUBU.
KUNA MAFISADI, KUNA WEZI, KUNA WAZINZI,WABAKAJI. MTU KUCHEZA KAMARI UNATESEEEEEEKA KUTAFUTA UHALALI. BETTING NI KAMARI.
Umeona sasa. Unaitafutia mbaali ili betting isiwe kamari. Ok, Kama ni hivyo, basi hakuna kitu kinaitwa kamari. Hata kurusha shilingi juu si kamari ni biashara.Sasa hapo pa kuassume demand itakuwa kubwa uuze ni kubet
Mimi si bet mkuu. Ila vitu vingi ni gambling sema tu vinazidiana risk.Umeona sasa. Unaitafutia mbaali ili betting isiwe kamari. Ok, Kama ni hivyo, basi hakuna kitu kinaitwa kamari. Hata kurusha shilingi juu si kamari ni biashara.
Gambling kwenye mambo ya kidini imekatazwa kwa sababu ya element ya ili wewe upate, lazima yule apoteze. Ili wewe ulie, lazima yule acheke hakuna mazingira ambayo wote mnaweza kucheka.Mimi si bet mkuu. Ila vitu vingi ni gambling sema tu vinazidiana risk.
Kwa point hiyo hapo sasa utofauti ndipo unaonekana. Got your point mkuuGambling kwenye mambo ya kidini imekatazwa kwa sababu ya element ya ili wewe upate, lazima yule apoteze. Ili wewe ulie, lazima yule acheke hakuna mazingira ambayo wote mnaweza kucheka.
Pamoja mkuuKwa point hiyo hapo sasa utofauti ndipo unaonekana. Got your point mkuu
Naunga mkono hoja1. Mkulima anayekwenda shambani kulima akitegemea mvua ambayo haiko ndani ya uwezo wake anabeti.
2. Mfanya biashara anayenunua maparachichi na nyanya kwa mkulima akitegemea kuuza kwa mteja ambaye hamjui anabeti.
3. Serikali inapopitisha bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kupanga matumizi ya fedha ambazo hawajui kama zitapatikana au la inabeti.
4. Mimi ninaposema timu ya Yanga itaifumua timu ya Simba nabeti.
5. Suala la ndoa ni kubeti.
6. Kununua hisa za makampuni na kufanya uwekezaji wowote ule ni kubeti.
.........................
Kamari ni ile wewe unaweka 1000 unategemea kupata mamilioni bila kujua kompyuta inatumia hesabu gani ili kuchagua mshindi. Na kwakuwa hujui basi huna uwezo wa kudai ushindi.
Kwenye betting timu uliyosema kuwa unadhani itashida ikishinda kweli na usipopewa chako unaweza kudai na utalipwa maana kanuni ya kupata mshindi inajulikana.
NB: Nina mpango wa kufungua chama cha kubeti Tanzania (CCKT) na kitatoa fursa za vijana kushirikiana kutoa odds zakibabe na kushiriki kwenye mikutano mbalimbali ya wawekezaji kwenye sekta ya betting ambao pia ni walipakodi walio nyooka.
Basi hata kuishi ni kubet maana hatujui kesho1. Mkulima anayekwenda shambani kulima akitegemea mvua ambayo haiko ndani ya uwezo wake anabeti.
2. Mfanya biashara anayenunua maparachichi na nyanya kwa mkulima akitegemea kuuza kwa mteja ambaye hamjui anabeti.
3. Serikali inapopitisha bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kupanga matumizi ya fedha ambazo hawajui kama zitapatikana au la inabeti.
4. Mimi ninaposema timu ya Yanga itaifumua timu ya Simba nabeti.
5. Suala la ndoa ni kubeti.
6. Kununua hisa za makampuni na kufanya uwekezaji wowote ule ni kubeti.
.........................
Kamari ni ile wewe unaweka 1000 unategemea kupata mamilioni bila kujua kompyuta inatumia hesabu gani ili kuchagua mshindi. Na kwakuwa hujui basi huna uwezo wa kudai ushindi.
Kwenye betting timu uliyosema kuwa unadhani itashida ikishinda kweli na usipopewa chako unaweza kudai na utalipwa maana kanuni ya kupata mshindi inajulikana.
NB: Nina mpango wa kufungua chama cha kubeti Tanzania (CCKT) na kitatoa fursa za vijana kushirikiana kutoa odds zakibabe na kushiriki kwenye mikutano mbalimbali ya wawekezaji kwenye sekta ya betting ambao pia ni walipakodi walio nyooka.
Hahaha. Kuishi si kamari mkuu. Kubeti lazima mwingine apoteze ili wewe upate, sasa wewe ukiishi kuna mwenzako unayekufa sababu wewe umeishi?Basi hata kuishi ni kubet maana hatujui kesho
Hivi betika ni wakweli kwenye malipo?Leo Euro Robo Fainali mkuu
Odd 4 France akishinda
Kampuni Betika.
Kazi kwenu wajasiliamali😃
Unaonaje ukinunua mchele shambani 2500 na mteja wako umuuzie 2500 maana ukizidisha utakua umetenda dhambi maana wewe ulinunua 2500 na hiyo si ni kamari maana ukizidisha unachukia hela ya mtuHahaha. Kuishi si kamari mkuu. Kubeti lazima mwingine apoteze ili wewe upate, sasa wewe ukiishi kuna mwenzako unayekufa sababu wewe umeishi?
Yaani kamari ni kamari, kuitafutia isiwe kamari kwa kulazimisha ifanane kwa 100% na kitu kingine ni kujiambia unachotaka kusikia tu....
Betting inaweza kuwa na tupasent twa biashara ndani yake lakini pasenti kubwa inaangukia kwenye mchezo wa kamari na kuhitimisha huo mchezo kuwa kamari.
Kwenye kununua Hapa unazungumzia biashara ambayo inakua na kutoa / kupokea huduma au/na bidhaa Kwa fedhaZIkishuka si umepoteza... Unaweza kununua fedha fulani ukaihold ukitegemea ipande na isipande bali ishuke thamani.