Unanunua mazao ili baadae uje uyauze yakipanda bei... hapo kwenye kupanda bei ndipo kuna probability.Kwenye kununua Hapa unazungumzia biashara ambayo inakua na kutoa / kupokea huduma au/na bidhaa Kwa fedha
Sasa mkuu tusaidie kwenye betting unapokea huduma au bidhaa Gani ?