JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Yote uliyoyatqja, mwandsmu anaweza kuya control, kama hakuna mvua, unamwagilia, kama hakuna Kodi, unakopa, there is a room for human intervention in order to reach the same results, lakini ukisema yanga itafungwa, hakuna namna unaweza kuingilia matokeo ya kufungwa yanga! You have to wait for the inevitable,1. Mkulima anayekwenda shambani kulima akitegemea mvua ambayo haiko ndani ya uwezo wake anabeti.
2. Mfanya biashara anayenunua maparachichi na nyanya kwa mkulima akitegemea kuuza kwa mteja ambaye hamjui anabeti.
3. Serikali inapopitisha bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kupanga matumizi ya fedha ambazo hawajui kama zitapatikana au la inabeti.
4. Mimi ninaposema timu ya Yanga itaifumua timu ya Simba nabeti.
5. Suala la ndoa ni kubeti.
6. Kununua hisa za makampuni na kufanya uwekezaji wowote ule ni kubeti.
.........................
Kamari ni ile wewe unaweka 1000 unategemea kupata mamilioni bila kujua kompyuta inatumia hesabu gani ili kuchagua mshindi. Na kwakuwa hujui basi huna uwezo wa kudai ushindi.
Kwenye betting timu uliyosema kuwa unadhani itashida ikishinda kweli na usipopewa chako unaweza kudai na utalipwa maana kanuni ya kupata mshindi inajulikana.
NB: Nina mpango wa kufungua chama cha kubeti Tanzania (CCKT) na kitatoa fursa za vijana kushirikiana kutoa odds zakibabe na kushiriki kwenye mikutano mbalimbali ya wawekezaji kwenye sekta ya betting ambao pia ni walipakodi walio nyooka.
Kamari kubet ni madawa ya kulevya, ni uraibu, mbaya Sana, UKikuingia, utatsfuta namna ya ku regitimize madudu hayo