Majuto ni mjukuu ...Habari,kubeti imekuwa kazi kuliko kuchimba dhahabu man city kanilaza na viatu itabidi niachane na hii kazi haina faida....... ๐ก๐ก๐ก. NB:Mali yapatikana shambani
asante sport pesa kwa mara ya tano leo nakula milion 9 team zote kubwa niliweka under ya 4.5 tren la wiki moja asanten sana spotpesa hatimae nafikisha milion 85 kwenye toka nianze kubet mwaka jana kwa kila kampun ngoja kesho ni
Tajiri naomba hela ya vocha tajiriasante sport pesa kwa mara ya tano leo nakula milion 9 team zote kubwa niliweka under ya 4.5 tren la wiki moja asanten sana spotpesa hatimae nafikisha milion 85 kwenye toka nianze kubet mwaka jana kwa kila kampun ngoja kesho nikawasaidie wasio jiweza
Unastarehe ila unaliwa ๐Nafanya betting kama starehe sifanyi kama kipato
๐ ๐คฃ ๐ ๐ ๐asante sport pesa kwa mara ya tano leo nakula milion 9 team zote kubwa niliweka under ya 4.5 tren la wiki moja asanten sana spotpesa hatimae nafikisha milion 85 kwenye toka nianze kubet mwaka jana kwa kila kampun ngoja kesho nikawasaidie wasio jiweza
Kwani hiyo pitch hai-meet viwango vya FA/UEFA/FIFA? Au ni kama ule wa kule Unyanyembe mtu mzima alichomoa dakika ya mwisho kabisa nyongeza?๐ง๐ถ๐บ๐ ๐ธ๐๐ฏ๐๐ฎ ๐ต๐ฎ๐๐ถ๐๐ฒ๐๐ถ ๐ธ๐๐ฝ๐ฎ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐๐ผ๐ธ๐ฒ๐ผ ๐ฝ๐ฎ๐น๐ฒ ๐ถ๐น๐ฒ ๐ฝ๐ถ๐๐ฐ๐ต ๐ป๐ถ ๐ป๐ฑ๐ผ๐ด๐ผ ๐บ๐ป๐ผ๐ผ, ๐ธ๐๐ฎ๐ต๐ถ๐๐ผ ๐๐ถ๐บ๐ ๐ธ๐๐ฏ๐๐ฎ ๐น๐ฎ๐๐ถ๐บ๐ฎ ๐๐ถ ๐๐๐ฟ๐๐ด๐ด๐น๐ฒ ๐ธ๐๐ฝ๐ฎ๐๐ฎ matokeo
labda nikutengenezee mkeka hela hy nilipanga yote nikawasaidie yatima na wagonjwa pamoja na wafungwa so naenda kuwapa hela yote sitaki nibak hata na mia mana kama kula beting nimekula vya kutosha na nimeliwa vya kutoshaYa vocha tajiri
Sawa hata huko mkeka ni msaada pia boss!labda nikutengenezee mkeka hela hy nilipanga yote nikawasaidie yatima na wagonjwa pamoja na wafungwa so naenda kuwapa hela yote sitaki nibak hata na mia mana kama kula beting nimekula vya kutosha na nimeliwa vya kutosha
Kuna aseno na yanga piaHabari,kubeti imekuwa kazi kuliko kuchimba dhahabu man city kanilaza na viatu itabidi niachane na hii kazi haina faida....... ๐ก๐ก๐ก. NB:Mali yapatikana shambani
Daaah mkuu ujue nini sasa ..!!!Poor Brain fursa hii hapa
Bafo hujafuzu kua mkamaria wewe changamoto ndogp ushaanza kulia lia ajali kazin sitosahau ihefu na yanga ile ya kuvunja unbeaten ya 49 ilivyochana mkeka wanguHabari,kubeti imekuwa kazi kuliko kuchimba dhahabu man city kanilaza na viatu itabidi niachane na hii kazi haina faida....... ๐ก๐ก๐ก. NB:Mali yapatikana shambani
Kuliwa na kula ndio utamu wa mchezo huoUnastarehe ila unaliwa ๐
Ndo ufanye kama njia yakipato au starehe kupunwa kuko pale pale ๐Kuliwa na kula ndio utamu wa mchezo huo
Ungekula ingekuwaje? Ungeyasema haya! Hata Mimi nimepigwa mechi hiyo hiyo tena niliweka city ashinde adrooHabari,kubeti imekuwa kazi kuliko kuchimba dhahabu man city kanilaza na viatu itabidi niachane na hii kazi haina faida....... ๐ก๐ก๐ก. NB:Mali yapatikana shambani
Kama hujawahi kulima usijaribu kuingia kwa pupa. Huku utalia kilio cha mbwa koko.Kilimo kwanzaView attachment 3141724