Kubezwa kwangu kulinipunguzia presha nikawa mshindi vipindi vyote

Kubezwa kwangu kulinipunguzia presha nikawa mshindi vipindi vyote

Mke wangu wa kwanza nliachana nae kipindi Cha mvua ya El Nino nlisombwa na maji hadi zimamoto na uokozi waliponiokoa walikuja na chopper wakanirushia kamba
Namuona aki kusalimia, Baada ya kuku okoa🤓.
FB_IMG_16854885764003555.jpg
 
Ni yule #DeMostAdmired Wa Mercy.

Nimependa pia nishee experience hii na ninyi ndugu zangu wa JF. Nahisi tutapata vitu flani flani.

Nashea hii kujaribu kuwapa shuhuda juu ya nature ya jinsi gani sisi walimwengu tulivo na maajabu ya ulimwengu wenyewe

Nianze na kuwapa update kuhusu Mercy, Mercy yupo anaendelea vizuri na mtoto wake huko kwao ila habari za Dokta sizifahamu.

Nianzie mwaka 2006 ndo nilianza darasa la kwanza, mimi sikuanzia vidudu kwa mujibu wa wazazi na watu wenye kumbukumbu nzuri zaidi yangu ni kwamba sikusoma vidudu kwasababu nilikuwa nilipelekwa darasani chekechea basi nilikuwa napigana sana na vitoto vyenzangu na nilikuwa sikai darasani ila nilikuwa natoka namfata bro darasa la kwanza.

Mimi pia niko na baadhi ya kumbukumbu juu ya miaka hii ya 2006 kwahyo nachokieleza kinatokana na stors kutoka kwa walionishuhudia na baadhi kutoka kwangu binafsi.

Kwanzia darasa la kwanza kulikuwa na watu wachache sana ambao waliweza kunielewa. Baba yangu alikuwa mwalimu lakini ni miongoni mwa watu wengi walokuwa hawaniamini katika mambo mengi hasa swala la elimu. Waliamini mimi ni mtu wa kawaida sana na wengine walithubutu kunidhihaki na hao ndo wamenisukuma kuandika Uzi huu leo.

Nitaruka mpaka darasa la 7. To be honest nilianza na primary sikuwahi kuwa namba moja skul toka la1 mpka la7 ila nakumbuka darasa la2 ndo nilikuwa wa2.

Bro wangu yeye ndo alikuwa anatuongozea class, yeye alipenda kusoma na kujishughulisha na masomo.

Matokeo yangu yalikuwa hayatabiriki lakini sikuwahi kufeli, yani ukichora graph ya matokeo against madarasa au vidato nature ya graph utakayoipata itakuwa ni irregular sana yani itakuwa zigzag mno.

Darasa la saba wakati wa mtihan baba aliniita ilikuwa ni j4 ambayo j5 ndo paper. Alivoniita akanambia kwamba kuna msimamizi x nimemuomba akusaidie pale ambapo utaona huwez basi ugonge dawat umuite ujifanye kama kuna mahali pamekosewa au hupaelew basi yeye atakusaidia kukupa majibu ili ufaulu mwanangu sitaki ufeli.

Nilimuliza bro kama nayeye kapewa yale maelekezo akasema hapana, kwahyo nikaona kabisa hapa tayr baba kashaniona mimi sijiwezi.

Nimeweka wazi hii so kwa ubaya labda nianike hadharan exams malpractices No hapana ila nimeweka wazi ili kuonesha uhalisia wa kichwa cha Uzi na yaliyomo ndani.

Baba alifanya vile kwasababu aliamini kabisa nitaenda kufeli kwasbb sikupenda kusoma kiujumla, sikuwa mtu wa kujiwek bize na msomo au elimu ya magharibi in general.

Basi nikamuitikia mzee na j3 mtihani ukaaza. Yule msimamizi alikuwa ni wakike, alikuwa anajipitisha karibu yangu ili angalau nimuite nimuombe msaada lakini sikufanya vile alivokuwa anatarajia.

Siku ya kwanza ikapita, madam alirudisha ripot kwa baba na baba aliniita ile usiku wa siku ile na akanifokea sana mixer ma singi. Nikamuahid nitafanya kama alivonielekeza, nikimjibu vile ili kumpa moyo na kumridhisha tu lakini sikupanga kabisa kufanya vile.

Mpka mtihani unaisha yule madam hakuna nikimuomba msaada na alirudisha ripot kwa Baba. Baba alinipigia sana nakumbuka na akanambia nikifeli hatapoteza pesa kunipeleka private.

Tukakakaa kusubr matokeo, baba hakuwa na vibe na matokeo alijua kabisa kashaaibika pale kijijini lakini mimi nilikuwa najua kabisa kutoboa kupo. Results zilikuja fresh na baba hakuamini kabisa na nakumbuka alinipa hongera ya mdomo tu, hakuwa na reinforcement ya rewards kabisa.

Siku moja tupo bustanini tunamwagilia nyanya na matikiti nakumbuka ilikuwa 2012 baada ya matokeo kutoka, Baba alinambia "Sasa nataka nikupeleke pre form one skul x na ukifanya mtihani wa kujiunga ukafaulu basi utasoma hiyo shule" shule hiyo ipo wilayani mjini huko nyumbani kwetu ni skul ya kikatoliki.

Habari zile kwa bro zilimletea kama wivu flan na baba ni kama alizingua lakini nilikuja kumuelewa baadae. Aliamua kunipeleka mimi na kumuacha bro aende skul ya kata kwasbb bro alikuwa anajituma katika masomo na alikuwa hahitaji skuls za vile ili afanye vzr kwahyo kwnagubile ilikuwa ani habari nzuri lakini nilikuja kuona kama vile baba ukaniona mimi mnyonge mwenye kuhitaji skul ambaya ni nzuri ili nifanye vizr.

Ilikuwa mwez wa 12 mwanzoni kabisa nakumbuka nilifungashiwa vinguo vyangu, mahindi, maharage na mchele tayar kwenda mjini kwa ajili ya pre form one. Nilikuwa naenda kukaa kwa sister wangu maana yeye alikuwa anaishi mjini.

See you...........
Sintokaa nkabishana na mtu tena humu jf!!!

2006??? Standard one?[emoji740][emoji740][emoji23][emoji23]

Kwahil ..huenda hata vichaa wakawa Wakutosha humu!
 
Tuendeleee.......

Ilipofika mwez wa 5 mwaka ulofata yani 2017 selections za advance zikatoka.

Zilitoka nikiwa mjini kwani kuna washkaji zangu walikuwa wanapiga skuls za serikali za pale mjini waliniomba nirudi town ili niwaboost kwenye masomo ya science walikuwa wa2 wote walikuwa form 4. Kwahyo tukawa tunapiga mapindi kimtindo pale magetoni.

Siku selections zinatoka nilikuwa na washkaji zangu tulomaliza nao olevel ile skul nilosomea mimi. Basi kuna mshikaji alitoa wazo kwamba twende kwao kuna laptop tukaangalie selections.

Tulienda kwao tukiwa kama washkaji wa5, tulipofika tuliwakuta wazaz wa yule mshkaji pamoja wa watu kadhaa pale kwao. Jamaa alileta laptop akaunganisha na cm ili apate internet access katika Ile PC.

Tulipofungua mkeka wa selections washkaji zangu wote wa4 walikuwa wamechaguliwa skuls nzuri nzuri na zenye CV nzuri kuzid skul ambayo nilichaguliwa. Wawili walichaguliwa lymungo, mwingine Tanga tech na hiyo wa4 alipelekwa old moshi.

Kuja kuangalia mimi nimetupwa skul moja hivi ipo kigoma, skul skuwahi na hakukuwa na hata mmoja mwenye alikuwa anaifaham.
Pale seburen wote walicheka mpka wazazi wa yule jamaa.
Wale washkaji wakanambia "we jamaa huko kigoma unaenda kupotea kabisa skul gani hiyo ulopelekwa"

Nilifreez kwa muda nikaanza kupata mawazo mengi tofauti tofaut. Mawazo mengine ya kuachana na elimu, mengine ya kwenda chuo yani nilivurugwa kweli.

Baadae nilimchek bro nikamueleza akanipa moyo kwamba kufaulu advance kwa asilimia kubwa kunachangiwa na juhudi binafsi kwahyo nisizingatie sana status ya skul. Nilimchek pia baba akanipa moyo pia mama naye hakuwa na la kusema ila kunipa Baraka zake.

Nilienda kuripot nakumbuka ilikuwa mwez wa 7, kigoma hiyo mabas ya Saratoga na nbs ndo yalikuwa yameshika hatam kwa kiasi kikubwa miaka ile.

Nilifika skul ilikuwa saa12 jioni, nikashuka stend uzuri skul haipo mbali sana na stand. Kulikuwa n washkaji kadhaa ambao ni ma bro zangu waliniacha form3 olevel kwahyo nilipata kampani ya kuniondolea wenge.

Nilichelewa kuripot kama wiki moja hivi, usiku wa siku ile nilioripot niliamua kwenda kuzuga class baada ya kuset mazingira ya kulala bwenini.

Nilipoingia class nilikuta washkaji (skul ilikuwa ya boys only advance ila olevel mchanganyiko na walikuwa wanatokea nyumbani).
Nilikuta wajuba wapo bize na misuli kuna vitabu vinaitwa Chand, BS, Understanding, n.k.
Hivi vitabu najua wengi wanavifaham ni vitabu vikuwa kimuonekano na vinaleteana woga kwa mara ya kwanza mtu kuvitumia hasa kama haukuwa umesoma tuition.

Mimi mtaani sikutoka nimemsoma tuition yani nilitoka na scientific calculator na madaktari mapya.
Ile siku kiukweli nilipata woga sana kwasabb nikllikuwa sijui nianzie wapi na nilijikuta nafikiria kwamba wale walokuwa wanasovu na kusoma mavtabu makubwa kama yale basi wao ndo tyr washatoboa na mimi nipo katika probability ya 0.1 ya kufaulu na 0.9 ya kufeli.

Sikukaa hata dk20 nikawa nimetoka nikajisemea "liwalo na liwe" nikatoka nikarud dom nilikuwa na kisim changu nikarud kuchat na yule mke wa boss wa kampuni ya magari ya abiria kwenye Uzi wa Mercy nilimuelezea huyu mama.

Muda ulikuwa umeenda sana kwahyo hata yule mama sikumpata hewani nikaamuwa kumchek mchuchu mwingine nikapotezea muda then nikalala.

Kesho yake ilikuwa siku yangu ya kwanza ya masomo advance.


Seee you.........
 
Tuendeleee.......

Ilipofika mwez wa 5 mwaka ulofata yani 2017 selections za advance zikatoka.

Zilitoka nikiwa mjini kwani kuna washkaji zangu walikuwa wanapiga skuls za serikali za pale mjini waliniomba nirudi town ili niwaboost kwenye masomo ya science walikuwa wa2 wote walikuwa form 4. Kwahyo tukawa tunapiga mapindi kimtindo pale magetoni.

Siku selections zinatoka nilikuwa na washkaji zangu tulomaliza nao olevel ile skul nilosomea mimi. Basi kuna mshikaji alitoa wazo kwamba twende kwao kuna laptop tukaangalie selections.

Tulienda kwao tukiwa kama washkaji wa5, tulipofika tuliwakuta wazaz wa yule mshkaji pamoja wa watu kadhaa pale kwao. Jamaa alileta laptop akaunganisha na cm ili apate internet access katika Ile PC.

Tulipofungua mkeka wa selections washkaji zangu wote wa4 walikuwa wamechaguliwa skuls nzuri nzuri na zenye CV nzuri kuzid skul ambayo nilichaguliwa. Wawili walichaguliwa lymungo, mwingine Tanga tech na hiyo wa4 alipelekwa old moshi.

Kuja kuangalia mimi nimetupwa skul moja hivi ipo kigoma, skul skuwahi na hakukuwa na hata mmoja mwenye alikuwa anaifaham.
Pale seburen wote walicheka mpka wazazi wa yule jamaa.
Wale washkaji wakanambia "we jamaa huko kigoma unaenda kupotea kabisa skul gani hiyo ulopelekwa"

Nilifreez kwa muda nikaanza kupata mawazo mengi tofauti tofaut. Mawazo mengine ya kuachana na elimu, mengine ya kwenda chuo yani nilivurugwa kweli.

Baadae nilimchek bro nikamueleza akanipa moyo kwamba kufaulu advance kwa asilimia kubwa kunachangiwa na juhudi binafsi kwahyo nisizingatie sana status ya skul. Nilimchek pia baba akanipa moyo pia mama naye hakuwa na la kusema ila kunipa Baraka zake.

Nilienda kuripot nakumbuka ilikuwa mwez wa 7, kigoma hiyo mabas ya Saratoga na nbs ndo yalikuwa yameshika hatam kwa kiasi kikubwa miaka ile.

Nilifika skul ilikuwa saa12 jioni, nikashuka stend uzuri skul haipo mbali sana na stand. Kulikuwa n washkaji kadhaa ambao ni ma bro zangu waliniacha form3 olevel kwahyo nilipata kampani ya kuniondolea wenge.

Nilichelewa kuripot kama wiki moja hivi, usiku wa siku ile nilioripot niliamua kwenda kuzuga class baada ya kuset mazingira ya kulala bwenini.

Nilipoingia class nilikuta washkaji (skul ilikuwa ya boys only advance ila olevel mchanganyiko na walikuwa wanatokea nyumbani).
Nilikuta wajuba wapo bize na misuli kuna vitabu vinaitwa Chand, BS, Understanding, n.k.
Hivi vitabu najua wengi wanavifaham ni vitabu vikuwa kimuonekano na vinaleteana woga kwa mara ya kwanza mtu kuvitumia hasa kama haukuwa umesoma tuition.

Mimi mtaani sikutoka nimemsoma tuition yani nilitoka na scientific calculator na madaktari mapya.
Ile siku kiukweli nilipata woga sana kwasabb nikllikuwa sijui nianzie wapi na nilijikuta nafikiria kwamba wale walokuwa wanasovu na kusoma mavtabu makubwa kama yale basi wao ndo tyr washatoboa na mimi nipo katika probability ya 0.1 ya kufaulu na 0.9 ya kufeli.

Sikukaa hata dk20 nikawa nimetoka nikajisemea "liwalo na liwe" nikatoka nikarud dom nilikuwa na kisim changu nikarud kuchat na yule mke wa boss wa kampuni ya magari ya abiria kwenye Uzi wa Mercy nilimuelezea huyu mama.

Muda ulikuwa umeenda sana kwahyo hata yule mama sikumpata hewani nikaamuwa kumchek mchuchu mwingine nikapotezea muda then nikalala.

Kesho yake ilikuwa siku yangu ya kwanza ya masomo advance.


Seee you.........
Mungu ampe mzee wangu Maisha marefu sana. Alininunulia vitabu vyote kuanzia Physics. Chemistry and Biology. Hivyo Chand, BS mpaka leo vipo tu home.
 
Ni yule #DeMostAdmired Wa Mercy.

Nimependa pia nishee experience hii na ninyi ndugu zangu wa JF. Nahisi tutapata vitu flani flani.

Nashea hii kujaribu kuwapa shuhuda juu ya nature ya jinsi gani sisi walimwengu tulivo na maajabu ya ulimwengu wenyewe

Nianze na kuwapa update kuhusu Mercy, Mercy yupo anaendelea vizuri na mtoto wake huko kwao ila habari za Dokta sizifahamu.

Nianzie mwaka 2006 ndo nilianza darasa la kwanza, mimi sikuanzia vidudu kwa mujibu wa wazazi na watu wenye kumbukumbu nzuri zaidi yangu ni kwamba sikusoma vidudu kwasababu nilikuwa nilipelekwa darasani chekechea basi nilikuwa napigana sana na vitoto vyenzangu na nilikuwa sikai darasani ila nilikuwa natoka namfata bro darasa la kwanza.

Mimi pia niko na baadhi ya kumbukumbu juu ya miaka hii ya 2006 kwahyo nachokieleza kinatokana na stors kutoka kwa walionishuhudia na baadhi kutoka kwangu binafsi.

Kwanzia darasa la kwanza kulikuwa na watu wachache sana ambao waliweza kunielewa. Baba yangu alikuwa mwalimu lakini ni miongoni mwa watu wengi walokuwa hawaniamini katika mambo mengi hasa swala la elimu. Waliamini mimi ni mtu wa kawaida sana na wengine walithubutu kunidhihaki na hao ndo wamenisukuma kuandika Uzi huu leo.

Nitaruka mpaka darasa la 7. To be honest nilianza na primary sikuwahi kuwa namba moja skul toka la1 mpka la7 ila nakumbuka darasa la2 ndo nilikuwa wa2.

Bro wangu yeye ndo alikuwa anatuongozea class, yeye alipenda kusoma na kujishughulisha na masomo.

Matokeo yangu yalikuwa hayatabiriki lakini sikuwahi kufeli, yani ukichora graph ya matokeo against madarasa au vidato nature ya graph utakayoipata itakuwa ni irregular sana yani itakuwa zigzag mno.

Darasa la saba wakati wa mtihan baba aliniita ilikuwa ni j4 ambayo j5 ndo paper. Alivoniita akanambia kwamba kuna msimamizi x nimemuomba akusaidie pale ambapo utaona huwez basi ugonge dawat umuite ujifanye kama kuna mahali pamekosewa au hupaelew basi yeye atakusaidia kukupa majibu ili ufaulu mwanangu sitaki ufeli.

Nilimuliza bro kama nayeye kapewa yale maelekezo akasema hapana, kwahyo nikaona kabisa hapa tayr baba kashaniona mimi sijiwezi.

Nimeweka wazi hii so kwa ubaya labda nianike hadharan exams malpractices No hapana ila nimeweka wazi ili kuonesha uhalisia wa kichwa cha Uzi na yaliyomo ndani.

Baba alifanya vile kwasababu aliamini kabisa nitaenda kufeli kwasbb sikupenda kusoma kiujumla, sikuwa mtu wa kujiwek bize na msomo au elimu ya magharibi in general.

Basi nikamuitikia mzee na j3 mtihani ukaaza. Yule msimamizi alikuwa ni wakike, alikuwa anajipitisha karibu yangu ili angalau nimuite nimuombe msaada lakini sikufanya vile alivokuwa anatarajia.

Siku ya kwanza ikapita, madam alirudisha ripot kwa baba na baba aliniita ile usiku wa siku ile na akanifokea sana mixer ma singi. Nikamuahid nitafanya kama alivonielekeza, nikimjibu vile ili kumpa moyo na kumridhisha tu lakini sikupanga kabisa kufanya vile.

Mpka mtihani unaisha yule madam hakuna nikimuomba msaada na alirudisha ripot kwa Baba. Baba alinipigia sana nakumbuka na akanambia nikifeli hatapoteza pesa kunipeleka private.

Tukakakaa kusubr matokeo, baba hakuwa na vibe na matokeo alijua kabisa kashaaibika pale kijijini lakini mimi nilikuwa najua kabisa kutoboa kupo. Results zilikuja fresh na baba hakuamini kabisa na nakumbuka alinipa hongera ya mdomo tu, hakuwa na reinforcement ya rewards kabisa.

Siku moja tupo bustanini tunamwagilia nyanya na matikiti nakumbuka ilikuwa 2012 baada ya matokeo kutoka, Baba alinambia "Sasa nataka nikupeleke pre form one skul x na ukifanya mtihani wa kujiunga ukafaulu basi utasoma hiyo shule" shule hiyo ipo wilayani mjini huko nyumbani kwetu ni skul ya kikatoliki.

Habari zile kwa bro zilimletea kama wivu flan na baba ni kama alizingua lakini nilikuja kumuelewa baadae. Aliamua kunipeleka mimi na kumuacha bro aende skul ya kata kwasbb bro alikuwa anajituma katika masomo na alikuwa hahitaji skuls za vile ili afanye vzr kwahyo kwnagubile ilikuwa ani habari nzuri lakini nilikuja kuona kama vile baba ukaniona mimi mnyonge mwenye kuhitaji skul ambaya ni nzuri ili nifanye vizr.

Ilikuwa mwez wa 12 mwanzoni kabisa nakumbuka nilifungashiwa vinguo vyangu, mahindi, maharage na mchele tayar kwenda mjini kwa ajili ya pre form one. Nilikuwa naenda kukaa kwa sister wangu maana yeye alikuwa anaishi mjini.

See you...........
Jamii forum hivi hata hiyo jf expert member mnawapa na watoto pia.....😃😃😃😃
 
Tuendeleee.......

Ilipofika mwez wa 5 mwaka ulofata yani 2017 selections za advance zikatoka.

Zilitoka nikiwa mjini kwani kuna washkaji zangu walikuwa wanapiga skuls za serikali za pale mjini waliniomba nirudi town ili niwaboost kwenye masomo ya science walikuwa wa2 wote walikuwa form 4. Kwahyo tukawa tunapiga mapindi kimtindo pale magetoni.

Siku selections zinatoka nilikuwa na washkaji zangu tulomaliza nao olevel ile skul nilosomea mimi. Basi kuna mshikaji alitoa wazo kwamba twende kwao kuna laptop tukaangalie selections.

Tulienda kwao tukiwa kama washkaji wa5, tulipofika tuliwakuta wazaz wa yule mshkaji pamoja wa watu kadhaa pale kwao. Jamaa alileta laptop akaunganisha na cm ili apate internet access katika Ile PC.

Tulipofungua mkeka wa selections washkaji zangu wote wa4 walikuwa wamechaguliwa skuls nzuri nzuri na zenye CV nzuri kuzid skul ambayo nilichaguliwa. Wawili walichaguliwa lymungo, mwingine Tanga tech na hiyo wa4 alipelekwa old moshi.

Kuja kuangalia mimi nimetupwa skul moja hivi ipo kigoma, skul skuwahi na hakukuwa na hata mmoja mwenye alikuwa anaifaham.
Pale seburen wote walicheka mpka wazazi wa yule jamaa.
Wale washkaji wakanambia "we jamaa huko kigoma unaenda kupotea kabisa skul gani hiyo ulopelekwa"

Nilifreez kwa muda nikaanza kupata mawazo mengi tofauti tofaut. Mawazo mengine ya kuachana na elimu, mengine ya kwenda chuo yani nilivurugwa kweli.

Baadae nilimchek bro nikamueleza akanipa moyo kwamba kufaulu advance kwa asilimia kubwa kunachangiwa na juhudi binafsi kwahyo nisizingatie sana status ya skul. Nilimchek pia baba akanipa moyo pia mama naye hakuwa na la kusema ila kunipa Baraka zake.

Nilienda kuripot nakumbuka ilikuwa mwez wa 7, kigoma hiyo mabas ya Saratoga na nbs ndo yalikuwa yameshika hatam kwa kiasi kikubwa miaka ile.

Nilifika skul ilikuwa saa12 jioni, nikashuka stend uzuri skul haipo mbali sana na stand. Kulikuwa n washkaji kadhaa ambao ni ma bro zangu waliniacha form3 olevel kwahyo nilipata kampani ya kuniondolea wenge.

Nilichelewa kuripot kama wiki moja hivi, usiku wa siku ile nilioripot niliamua kwenda kuzuga class baada ya kuset mazingira ya kulala bwenini.

Nilipoingia class nilikuta washkaji (skul ilikuwa ya boys only advance ila olevel mchanganyiko na walikuwa wanatokea nyumbani).
Nilikuta wajuba wapo bize na misuli kuna vitabu vinaitwa Chand, BS, Understanding, n.k.
Hivi vitabu najua wengi wanavifaham ni vitabu vikuwa kimuonekano na vinaleteana woga kwa mara ya kwanza mtu kuvitumia hasa kama haukuwa umesoma tuition.

Mimi mtaani sikutoka nimemsoma tuition yani nilitoka na scientific calculator na madaktari mapya.
Ile siku kiukweli nilipata woga sana kwasabb nikllikuwa sijui nianzie wapi na nilijikuta nafikiria kwamba wale walokuwa wanasovu na kusoma mavtabu makubwa kama yale basi wao ndo tyr washatoboa na mimi nipo katika probability ya 0.1 ya kufaulu na 0.9 ya kufeli.

Sikukaa hata dk20 nikawa nimetoka nikajisemea "liwalo na liwe" nikatoka nikarud dom nilikuwa na kisim changu nikarud kuchat na yule mke wa boss wa kampuni ya magari ya abiria kwenye Uzi wa Mercy nilimuelezea huyu mama.

Muda ulikuwa umeenda sana kwahyo hata yule mama sikumpata hewani nikaamuwa kumchek mchuchu mwingine nikapotezea muda then nikalala.

Kesho yake ilikuwa siku yangu ya kwanza ya masomo advance.


Seee you.........
Nitag kwenye uzi wa Mercy niupitie Mkuu
 
Tuendeleee........

Kesho yake nikaamka nikajiandaa kwenda class, nilipigilia sare zangu vzr tukaingia skul.

Siku zile za mwanzo class nilikuemo kimwili tu ila kiakili sikuwa sawa kabisa kwasababu nilikuwa kama nishajikatia tamaa. Sikuwa naelewa chochote wenzangu mda huo wanaendelea na disc, mapindi na kusov individually mimi natoa macho tu sielewi.

Siku moja tulikuwa prepo za usiku nilikuwa na washkaji kama wa2 namm wa3, hao jamaa ni waha wa kigoma huko. Tulikuwa tunadscuss kitu flan kwenye biology sasa wao walikuwa Wana idea na Ile kitu wakanitaka nitoe mchango wangu nini nachokielewa. Nilivotoa nilichokiwa nakielewa jamaa walicheka sana wakadai nimekosea pakubwa yani nimemix pilau na mlenda. Jamaa mmoja akasema "we jamaa tushakupoteza tayar".

Hii kauli ilinikata sana na nikakosa confidence kabisa. Nkazuag zuga kama dk 15 nikawaaga naenda kulala.
Nilipofika bwenini nikachukua kicm changu nikamvutia waya father nikamwambia sitaki tena kusoma nataka kurudi home. Baba aliniuliza shida nini nkamwambia mimi huku sielew chochote na tuition sikusoma ndo kabisa sijui nianzie wapi.

Baba aliniita sana moyo sana sana alitumia kama dk30 kunifariji na kunipa ujasiri wa kuendelea. Hatimaye nilimuelewa nikarud bwenini nikapiga mbonji.

Siku zilisonga kibabe hivohivo huku nawaza nini cha kufanya ili nikae sawa.

Nilipata wazo la kuwafata ma bro wa form 6 ili wanipige msasa angalau ili nipate pakuanzia.

Nakumbuka kuna huyo bro tulikuwa tunakuita Ngosha na mwingine Malila. Hawa jamaa nilikuwa nawahusuda sana kwasabb walikuwa poa sana class na walikuwa wanajali wenye kuhitaji katika kufundishwa.

Nilikuwa napigiwa mapindi na hawa jamaa halafu nawafata ma bro wengine wananitungia mitihani nakuwa anafanya.
Nakumbuka chem paper la kwanza kabisa nilipata 17/100 😀😀. Hii kitu ilinipunch kiasi ila nikajisemea fresh tu ngoja nikaza.

Nilimpigia mapindi kama mwez na nusu hivi nikaanza kuona mabadiriko makubwa na mitihani nikaanza kuipiga vizur vzur ukilinganisha na mwanzo.
Hapa nikaanza kuona kwamba kumbe kufaulu inawezekana ngoja nikaze zaidi.

Upande wa chem nilikuja kugundua kuwa nlbado sipo vzr. Nilichokifanya nilidedicate wiki nzima kwenye chem.
Nilirudisha materials ya masomo yote bwenini class nikabak na materials ya chem tu. Materials mengine nilikuwa nakuja nayo class kutokea dom kwa ajili ya vipindi vya darasani na walimu.

Ile wiki nzima nilikuwa nawaza na kusoma chem tu. Hii kitu ilizaa kitu kikubwa sana kwasababu nilijikuta Siri ya kufaulu chem naipata na kwanzia hapo nikawa moto upande wa chem.
Baada ya hapo yale materials mengine nikayarudisha class nikaendelea na ratiba kama kawaida.

Kazi nyingne ikaja kwenye BAM, hii nilikuwa sina ujanja ikanibidi nitafute ufaulu wa kawaida tu mrad nisipate F sikutaka minimize sana akili.


Sasa wale washkaji zangu wa2 nilokuwa napenda kusoma nao na kufanya nao disc nikawa naenda nao sawa katika discussions maana mwanzo nilikuwa nipo nipo tu ila Sasa nikaanza kwenda na beat namimi.


See you..........
 
Tuendeleee........

Siku zilisonga na mambo yangu katika masomo yalizid kuwa mazuri hvohvo kadri siku zilivokuwa zinaenda.

Pale skul kulikuwa na utaratibu wa talent day yani siku ya kuonesha vipaji, muziki ulikuwa unapigwa hafu mwishoni ni disco.
Kumbuka Toka olevel nilikuwa napenda music dancing kwahyo siku hiyo nilikuwa na vibe sana japo sikujua naanzia wapi.

Kulikuwa na washkaji wa3 walikuwa tayar washajigroup ili waende kuonesha talent yao ya kucheza mziki. Nilivowaona wanajiandaaandaa ile hasubuhi nikawafata nikawaomba nijoin group.
Jamaa hawakuwa na hiana wakanikubalia tukaanza kupanga scenes pale.
Nilionesha uwezo mzuri jamaa wakanielewa na tukapanga kabisa show nzima itakuwaje.

Muda wa show ulipofika tuliingia tukatoa show moja kali sana kias kwamba wanafunzi wote na walimu walitukubali na tulitunzwa pesa nzur tu.
Group letu tulilipa jina flan sitalitaja, group hilo lilikuwa maarufu sana sio skul ile tu bali mpka skuls za pembeni pale mjini.

Ile kitu ilinipa umaarufu sana pale skul. Wakati huo tulikuwa tushafanya mtihani mmoja ulikuwa ni mtihani wa mwezi wa 9 na performance yangu ilikuwa ya kawaida tu.
Siku moja ticha wa chem alitoa test nikapata 30/100 Sasa wakat wa kugawa karatas akaropoka "wewe kucheza unajua ila darasani chenga, wew usipoangalia utafeli"
Yale maneno yalinigusa japo mimi ndo nilikuwa najua hali halisi juu ya kufeli kwangu kwahyo haikunipa stress sana kivile.

Siku zilisonga ikafika siku ya graduation ya form 4, kama kawa tuliibuka sisi kama group tukafanya yetu tukauwa siku hiyo tukipata maokoto mengi sana.

Mwez wa 11 ilifika tukafanya paper la kumaliza muhula wa kwanza wa form5. Baada ya paper tulifunga tukarud home, mpka tulipofungua mwez wa1 mwaka ulofata.
Tulipofungua tukakuta matokeo tayari yameshatayarishwa na kulikuwa na utaratibu wa kusoma matokea parade yani wanasomwa best ten students.

Siku hiyo ilikuwa siku muhim sana kwasabb nilikuwa najua kabisa ni lazima ningekuwemo kati ya wale wanafunzi 10 bora japo asilimia 90 ya wanafunzi na walimu pale skul walikuwa hawaoni kama mimi ningekuwa mwanafunzi wa aina ile.

Academic teacher alisimama akaanza kusoma majina, kasoma wakwanza na wa2 then wa3 akataja jina langu shule nzima wanafunzi wakaguna "mmmmmh" mimi nikaenda zangu nikapewa zawad yangu nikatulia pale mbele na wenzangu.

Zoez likikamilika na katika lile group letu aliyetajwa nilikuwa ni mimi tu. Kule kuguna kwa wanafunzi kulinifanya nijihisi mtu wa kutokuaminiwa katika jamii kwasbb tangu primary hali ilikuwa ni ile tu yani nabezwa kutokana na lifestyle yangu najikuta watu wanaona kama vile siwez chochote cha maana.

Baada ya pale wanafunzi wakaanza kuniheshimu na kuniangalia kwa jicho la kipekee kidogo na pia walimu walianza kunichukulia serious.

Wale ma bro ambao waliniacha olevel wao hawakuwa wanashangaa sana kwasabb walikuwa wananifaham kwan hata olevel maisha yangu yalikuwa ni ya vilevile.

Mwez wa 3 ikafika tukafanya mtihani wa kid term....

See you...........
 
Basi itakuwa ulikuwa kilaza promax kama mwaka 2012 dingi alikuwa anawazia wewe kufeli mtihani. Inasikitisha.
 
Back
Top Bottom