Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Mke wangu wa kwanza nliachana nae kipindi Cha mvua ya El Nino nlisombwa na maji hadi zimamoto na uokozi waliponiokoa walikuja na chopper wakanirushia kambaMke mwenyewe ndo huyu ehh๐ค๐
View attachment 2924647
Namuona aki kusalimia, Baada ya kuku okoa๐ค.Mke wangu wa kwanza nliachana nae kipindi Cha mvua ya El Nino nlisombwa na maji hadi zimamoto na uokozi waliponiokoa walikuja na chopper wakanirushia kamba
Sintokaa nkabishana na mtu tena humu jf!!!Ni yule #DeMostAdmired Wa Mercy.
Nimependa pia nishee experience hii na ninyi ndugu zangu wa JF. Nahisi tutapata vitu flani flani.
Nashea hii kujaribu kuwapa shuhuda juu ya nature ya jinsi gani sisi walimwengu tulivo na maajabu ya ulimwengu wenyewe
Nianze na kuwapa update kuhusu Mercy, Mercy yupo anaendelea vizuri na mtoto wake huko kwao ila habari za Dokta sizifahamu.
Nianzie mwaka 2006 ndo nilianza darasa la kwanza, mimi sikuanzia vidudu kwa mujibu wa wazazi na watu wenye kumbukumbu nzuri zaidi yangu ni kwamba sikusoma vidudu kwasababu nilikuwa nilipelekwa darasani chekechea basi nilikuwa napigana sana na vitoto vyenzangu na nilikuwa sikai darasani ila nilikuwa natoka namfata bro darasa la kwanza.
Mimi pia niko na baadhi ya kumbukumbu juu ya miaka hii ya 2006 kwahyo nachokieleza kinatokana na stors kutoka kwa walionishuhudia na baadhi kutoka kwangu binafsi.
Kwanzia darasa la kwanza kulikuwa na watu wachache sana ambao waliweza kunielewa. Baba yangu alikuwa mwalimu lakini ni miongoni mwa watu wengi walokuwa hawaniamini katika mambo mengi hasa swala la elimu. Waliamini mimi ni mtu wa kawaida sana na wengine walithubutu kunidhihaki na hao ndo wamenisukuma kuandika Uzi huu leo.
Nitaruka mpaka darasa la 7. To be honest nilianza na primary sikuwahi kuwa namba moja skul toka la1 mpka la7 ila nakumbuka darasa la2 ndo nilikuwa wa2.
Bro wangu yeye ndo alikuwa anatuongozea class, yeye alipenda kusoma na kujishughulisha na masomo.
Matokeo yangu yalikuwa hayatabiriki lakini sikuwahi kufeli, yani ukichora graph ya matokeo against madarasa au vidato nature ya graph utakayoipata itakuwa ni irregular sana yani itakuwa zigzag mno.
Darasa la saba wakati wa mtihan baba aliniita ilikuwa ni j4 ambayo j5 ndo paper. Alivoniita akanambia kwamba kuna msimamizi x nimemuomba akusaidie pale ambapo utaona huwez basi ugonge dawat umuite ujifanye kama kuna mahali pamekosewa au hupaelew basi yeye atakusaidia kukupa majibu ili ufaulu mwanangu sitaki ufeli.
Nilimuliza bro kama nayeye kapewa yale maelekezo akasema hapana, kwahyo nikaona kabisa hapa tayr baba kashaniona mimi sijiwezi.
Nimeweka wazi hii so kwa ubaya labda nianike hadharan exams malpractices No hapana ila nimeweka wazi ili kuonesha uhalisia wa kichwa cha Uzi na yaliyomo ndani.
Baba alifanya vile kwasababu aliamini kabisa nitaenda kufeli kwasbb sikupenda kusoma kiujumla, sikuwa mtu wa kujiwek bize na msomo au elimu ya magharibi in general.
Basi nikamuitikia mzee na j3 mtihani ukaaza. Yule msimamizi alikuwa ni wakike, alikuwa anajipitisha karibu yangu ili angalau nimuite nimuombe msaada lakini sikufanya vile alivokuwa anatarajia.
Siku ya kwanza ikapita, madam alirudisha ripot kwa baba na baba aliniita ile usiku wa siku ile na akanifokea sana mixer ma singi. Nikamuahid nitafanya kama alivonielekeza, nikimjibu vile ili kumpa moyo na kumridhisha tu lakini sikupanga kabisa kufanya vile.
Mpka mtihani unaisha yule madam hakuna nikimuomba msaada na alirudisha ripot kwa Baba. Baba alinipigia sana nakumbuka na akanambia nikifeli hatapoteza pesa kunipeleka private.
Tukakakaa kusubr matokeo, baba hakuwa na vibe na matokeo alijua kabisa kashaaibika pale kijijini lakini mimi nilikuwa najua kabisa kutoboa kupo. Results zilikuja fresh na baba hakuamini kabisa na nakumbuka alinipa hongera ya mdomo tu, hakuwa na reinforcement ya rewards kabisa.
Siku moja tupo bustanini tunamwagilia nyanya na matikiti nakumbuka ilikuwa 2012 baada ya matokeo kutoka, Baba alinambia "Sasa nataka nikupeleke pre form one skul x na ukifanya mtihani wa kujiunga ukafaulu basi utasoma hiyo shule" shule hiyo ipo wilayani mjini huko nyumbani kwetu ni skul ya kikatoliki.
Habari zile kwa bro zilimletea kama wivu flan na baba ni kama alizingua lakini nilikuja kumuelewa baadae. Aliamua kunipeleka mimi na kumuacha bro aende skul ya kata kwasbb bro alikuwa anajituma katika masomo na alikuwa hahitaji skuls za vile ili afanye vzr kwahyo kwnagubile ilikuwa ani habari nzuri lakini nilikuja kuona kama vile baba ukaniona mimi mnyonge mwenye kuhitaji skul ambaya ni nzuri ili nifanye vizr.
Ilikuwa mwez wa 12 mwanzoni kabisa nakumbuka nilifungashiwa vinguo vyangu, mahindi, maharage na mchele tayar kwenda mjini kwa ajili ya pre form one. Nilikuwa naenda kukaa kwa sister wangu maana yeye alikuwa anaishi mjini.
See you...........
SoonSasa mbona huendelei...na story mkuu
Ulitaka nifungashiwe nini Mkuu?Unaenda Pre form one una fungashiwa mahindi maharage na mchele, noma sana mkuu.
Ila all in all yote maisha tuu
Mungu ampe mzee wangu Maisha marefu sana. Alininunulia vitabu vyote kuanzia Physics. Chemistry and Biology. Hivyo Chand, BS mpaka leo vipo tu home.Tuendeleee.......
Ilipofika mwez wa 5 mwaka ulofata yani 2017 selections za advance zikatoka.
Zilitoka nikiwa mjini kwani kuna washkaji zangu walikuwa wanapiga skuls za serikali za pale mjini waliniomba nirudi town ili niwaboost kwenye masomo ya science walikuwa wa2 wote walikuwa form 4. Kwahyo tukawa tunapiga mapindi kimtindo pale magetoni.
Siku selections zinatoka nilikuwa na washkaji zangu tulomaliza nao olevel ile skul nilosomea mimi. Basi kuna mshikaji alitoa wazo kwamba twende kwao kuna laptop tukaangalie selections.
Tulienda kwao tukiwa kama washkaji wa5, tulipofika tuliwakuta wazaz wa yule mshkaji pamoja wa watu kadhaa pale kwao. Jamaa alileta laptop akaunganisha na cm ili apate internet access katika Ile PC.
Tulipofungua mkeka wa selections washkaji zangu wote wa4 walikuwa wamechaguliwa skuls nzuri nzuri na zenye CV nzuri kuzid skul ambayo nilichaguliwa. Wawili walichaguliwa lymungo, mwingine Tanga tech na hiyo wa4 alipelekwa old moshi.
Kuja kuangalia mimi nimetupwa skul moja hivi ipo kigoma, skul skuwahi na hakukuwa na hata mmoja mwenye alikuwa anaifaham.
Pale seburen wote walicheka mpka wazazi wa yule jamaa.
Wale washkaji wakanambia "we jamaa huko kigoma unaenda kupotea kabisa skul gani hiyo ulopelekwa"
Nilifreez kwa muda nikaanza kupata mawazo mengi tofauti tofaut. Mawazo mengine ya kuachana na elimu, mengine ya kwenda chuo yani nilivurugwa kweli.
Baadae nilimchek bro nikamueleza akanipa moyo kwamba kufaulu advance kwa asilimia kubwa kunachangiwa na juhudi binafsi kwahyo nisizingatie sana status ya skul. Nilimchek pia baba akanipa moyo pia mama naye hakuwa na la kusema ila kunipa Baraka zake.
Nilienda kuripot nakumbuka ilikuwa mwez wa 7, kigoma hiyo mabas ya Saratoga na nbs ndo yalikuwa yameshika hatam kwa kiasi kikubwa miaka ile.
Nilifika skul ilikuwa saa12 jioni, nikashuka stend uzuri skul haipo mbali sana na stand. Kulikuwa n washkaji kadhaa ambao ni ma bro zangu waliniacha form3 olevel kwahyo nilipata kampani ya kuniondolea wenge.
Nilichelewa kuripot kama wiki moja hivi, usiku wa siku ile nilioripot niliamua kwenda kuzuga class baada ya kuset mazingira ya kulala bwenini.
Nilipoingia class nilikuta washkaji (skul ilikuwa ya boys only advance ila olevel mchanganyiko na walikuwa wanatokea nyumbani).
Nilikuta wajuba wapo bize na misuli kuna vitabu vinaitwa Chand, BS, Understanding, n.k.
Hivi vitabu najua wengi wanavifaham ni vitabu vikuwa kimuonekano na vinaleteana woga kwa mara ya kwanza mtu kuvitumia hasa kama haukuwa umesoma tuition.
Mimi mtaani sikutoka nimemsoma tuition yani nilitoka na scientific calculator na madaktari mapya.
Ile siku kiukweli nilipata woga sana kwasabb nikllikuwa sijui nianzie wapi na nilijikuta nafikiria kwamba wale walokuwa wanasovu na kusoma mavtabu makubwa kama yale basi wao ndo tyr washatoboa na mimi nipo katika probability ya 0.1 ya kufaulu na 0.9 ya kufeli.
Sikukaa hata dk20 nikawa nimetoka nikajisemea "liwalo na liwe" nikatoka nikarud dom nilikuwa na kisim changu nikarud kuchat na yule mke wa boss wa kampuni ya magari ya abiria kwenye Uzi wa Mercy nilimuelezea huyu mama.
Muda ulikuwa umeenda sana kwahyo hata yule mama sikumpata hewani nikaamuwa kumchek mchuchu mwingine nikapotezea muda then nikalala.
Kesho yake ilikuwa siku yangu ya kwanza ya masomo advance.
Seee you.........
Jamii forum hivi hata hiyo jf expert member mnawapa na watoto pia.....๐๐๐๐Ni yule #DeMostAdmired Wa Mercy.
Nimependa pia nishee experience hii na ninyi ndugu zangu wa JF. Nahisi tutapata vitu flani flani.
Nashea hii kujaribu kuwapa shuhuda juu ya nature ya jinsi gani sisi walimwengu tulivo na maajabu ya ulimwengu wenyewe
Nianze na kuwapa update kuhusu Mercy, Mercy yupo anaendelea vizuri na mtoto wake huko kwao ila habari za Dokta sizifahamu.
Nianzie mwaka 2006 ndo nilianza darasa la kwanza, mimi sikuanzia vidudu kwa mujibu wa wazazi na watu wenye kumbukumbu nzuri zaidi yangu ni kwamba sikusoma vidudu kwasababu nilikuwa nilipelekwa darasani chekechea basi nilikuwa napigana sana na vitoto vyenzangu na nilikuwa sikai darasani ila nilikuwa natoka namfata bro darasa la kwanza.
Mimi pia niko na baadhi ya kumbukumbu juu ya miaka hii ya 2006 kwahyo nachokieleza kinatokana na stors kutoka kwa walionishuhudia na baadhi kutoka kwangu binafsi.
Kwanzia darasa la kwanza kulikuwa na watu wachache sana ambao waliweza kunielewa. Baba yangu alikuwa mwalimu lakini ni miongoni mwa watu wengi walokuwa hawaniamini katika mambo mengi hasa swala la elimu. Waliamini mimi ni mtu wa kawaida sana na wengine walithubutu kunidhihaki na hao ndo wamenisukuma kuandika Uzi huu leo.
Nitaruka mpaka darasa la 7. To be honest nilianza na primary sikuwahi kuwa namba moja skul toka la1 mpka la7 ila nakumbuka darasa la2 ndo nilikuwa wa2.
Bro wangu yeye ndo alikuwa anatuongozea class, yeye alipenda kusoma na kujishughulisha na masomo.
Matokeo yangu yalikuwa hayatabiriki lakini sikuwahi kufeli, yani ukichora graph ya matokeo against madarasa au vidato nature ya graph utakayoipata itakuwa ni irregular sana yani itakuwa zigzag mno.
Darasa la saba wakati wa mtihan baba aliniita ilikuwa ni j4 ambayo j5 ndo paper. Alivoniita akanambia kwamba kuna msimamizi x nimemuomba akusaidie pale ambapo utaona huwez basi ugonge dawat umuite ujifanye kama kuna mahali pamekosewa au hupaelew basi yeye atakusaidia kukupa majibu ili ufaulu mwanangu sitaki ufeli.
Nilimuliza bro kama nayeye kapewa yale maelekezo akasema hapana, kwahyo nikaona kabisa hapa tayr baba kashaniona mimi sijiwezi.
Nimeweka wazi hii so kwa ubaya labda nianike hadharan exams malpractices No hapana ila nimeweka wazi ili kuonesha uhalisia wa kichwa cha Uzi na yaliyomo ndani.
Baba alifanya vile kwasababu aliamini kabisa nitaenda kufeli kwasbb sikupenda kusoma kiujumla, sikuwa mtu wa kujiwek bize na msomo au elimu ya magharibi in general.
Basi nikamuitikia mzee na j3 mtihani ukaaza. Yule msimamizi alikuwa ni wakike, alikuwa anajipitisha karibu yangu ili angalau nimuite nimuombe msaada lakini sikufanya vile alivokuwa anatarajia.
Siku ya kwanza ikapita, madam alirudisha ripot kwa baba na baba aliniita ile usiku wa siku ile na akanifokea sana mixer ma singi. Nikamuahid nitafanya kama alivonielekeza, nikimjibu vile ili kumpa moyo na kumridhisha tu lakini sikupanga kabisa kufanya vile.
Mpka mtihani unaisha yule madam hakuna nikimuomba msaada na alirudisha ripot kwa Baba. Baba alinipigia sana nakumbuka na akanambia nikifeli hatapoteza pesa kunipeleka private.
Tukakakaa kusubr matokeo, baba hakuwa na vibe na matokeo alijua kabisa kashaaibika pale kijijini lakini mimi nilikuwa najua kabisa kutoboa kupo. Results zilikuja fresh na baba hakuamini kabisa na nakumbuka alinipa hongera ya mdomo tu, hakuwa na reinforcement ya rewards kabisa.
Siku moja tupo bustanini tunamwagilia nyanya na matikiti nakumbuka ilikuwa 2012 baada ya matokeo kutoka, Baba alinambia "Sasa nataka nikupeleke pre form one skul x na ukifanya mtihani wa kujiunga ukafaulu basi utasoma hiyo shule" shule hiyo ipo wilayani mjini huko nyumbani kwetu ni skul ya kikatoliki.
Habari zile kwa bro zilimletea kama wivu flan na baba ni kama alizingua lakini nilikuja kumuelewa baadae. Aliamua kunipeleka mimi na kumuacha bro aende skul ya kata kwasbb bro alikuwa anajituma katika masomo na alikuwa hahitaji skuls za vile ili afanye vzr kwahyo kwnagubile ilikuwa ani habari nzuri lakini nilikuja kuona kama vile baba ukaniona mimi mnyonge mwenye kuhitaji skul ambaya ni nzuri ili nifanye vizr.
Ilikuwa mwez wa 12 mwanzoni kabisa nakumbuka nilifungashiwa vinguo vyangu, mahindi, maharage na mchele tayar kwenda mjini kwa ajili ya pre form one. Nilikuwa naenda kukaa kwa sister wangu maana yeye alikuwa anaishi mjini.
See you...........
La saba alikuwa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃhumu ndani tunaishi na vitotoYaani 2012 ndio unaanza o-level duuh,.. halafu unaweza kuta nawe unatukana watu jukwaani.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃMkuu Unaandika Sana Unafanya Kazi Ya Magazeti Nini?
Nitag kwenye uzi wa Mercy niupitie MkuuTuendeleee.......
Ilipofika mwez wa 5 mwaka ulofata yani 2017 selections za advance zikatoka.
Zilitoka nikiwa mjini kwani kuna washkaji zangu walikuwa wanapiga skuls za serikali za pale mjini waliniomba nirudi town ili niwaboost kwenye masomo ya science walikuwa wa2 wote walikuwa form 4. Kwahyo tukawa tunapiga mapindi kimtindo pale magetoni.
Siku selections zinatoka nilikuwa na washkaji zangu tulomaliza nao olevel ile skul nilosomea mimi. Basi kuna mshikaji alitoa wazo kwamba twende kwao kuna laptop tukaangalie selections.
Tulienda kwao tukiwa kama washkaji wa5, tulipofika tuliwakuta wazaz wa yule mshkaji pamoja wa watu kadhaa pale kwao. Jamaa alileta laptop akaunganisha na cm ili apate internet access katika Ile PC.
Tulipofungua mkeka wa selections washkaji zangu wote wa4 walikuwa wamechaguliwa skuls nzuri nzuri na zenye CV nzuri kuzid skul ambayo nilichaguliwa. Wawili walichaguliwa lymungo, mwingine Tanga tech na hiyo wa4 alipelekwa old moshi.
Kuja kuangalia mimi nimetupwa skul moja hivi ipo kigoma, skul skuwahi na hakukuwa na hata mmoja mwenye alikuwa anaifaham.
Pale seburen wote walicheka mpka wazazi wa yule jamaa.
Wale washkaji wakanambia "we jamaa huko kigoma unaenda kupotea kabisa skul gani hiyo ulopelekwa"
Nilifreez kwa muda nikaanza kupata mawazo mengi tofauti tofaut. Mawazo mengine ya kuachana na elimu, mengine ya kwenda chuo yani nilivurugwa kweli.
Baadae nilimchek bro nikamueleza akanipa moyo kwamba kufaulu advance kwa asilimia kubwa kunachangiwa na juhudi binafsi kwahyo nisizingatie sana status ya skul. Nilimchek pia baba akanipa moyo pia mama naye hakuwa na la kusema ila kunipa Baraka zake.
Nilienda kuripot nakumbuka ilikuwa mwez wa 7, kigoma hiyo mabas ya Saratoga na nbs ndo yalikuwa yameshika hatam kwa kiasi kikubwa miaka ile.
Nilifika skul ilikuwa saa12 jioni, nikashuka stend uzuri skul haipo mbali sana na stand. Kulikuwa n washkaji kadhaa ambao ni ma bro zangu waliniacha form3 olevel kwahyo nilipata kampani ya kuniondolea wenge.
Nilichelewa kuripot kama wiki moja hivi, usiku wa siku ile nilioripot niliamua kwenda kuzuga class baada ya kuset mazingira ya kulala bwenini.
Nilipoingia class nilikuta washkaji (skul ilikuwa ya boys only advance ila olevel mchanganyiko na walikuwa wanatokea nyumbani).
Nilikuta wajuba wapo bize na misuli kuna vitabu vinaitwa Chand, BS, Understanding, n.k.
Hivi vitabu najua wengi wanavifaham ni vitabu vikuwa kimuonekano na vinaleteana woga kwa mara ya kwanza mtu kuvitumia hasa kama haukuwa umesoma tuition.
Mimi mtaani sikutoka nimemsoma tuition yani nilitoka na scientific calculator na madaktari mapya.
Ile siku kiukweli nilipata woga sana kwasabb nikllikuwa sijui nianzie wapi na nilijikuta nafikiria kwamba wale walokuwa wanasovu na kusoma mavtabu makubwa kama yale basi wao ndo tyr washatoboa na mimi nipo katika probability ya 0.1 ya kufaulu na 0.9 ya kufeli.
Sikukaa hata dk20 nikawa nimetoka nikajisemea "liwalo na liwe" nikatoka nikarud dom nilikuwa na kisim changu nikarud kuchat na yule mke wa boss wa kampuni ya magari ya abiria kwenye Uzi wa Mercy nilimuelezea huyu mama.
Muda ulikuwa umeenda sana kwahyo hata yule mama sikumpata hewani nikaamuwa kumchek mchuchu mwingine nikapotezea muda then nikalala.
Kesho yake ilikuwa siku yangu ya kwanza ya masomo advance.
Seee you.........
Alitisha sanaMungu ampe mzee wangu Maisha marefu sana. Alininunulia vitabu vyote kuanzia Physics. Chemistry and Biology. Hivyo Chand, BS mpaka leo vipo tu home.
[emoji23][emoji23]Kuna watu ni wadogo sana humu aisee, hivi humu mkubwa Mimi tu au
Kilaza mwenyeweBasi itakuwa ulikuwa kilaza promax kama mwaka 2012 dingi alikuwa anawazia wewe kufeli mtihani. Inasikitisha.