Washarekebisha hilo, kafanye application wwSame case, kuna post wanahitaji Graduate Engineer wa kozi yoyote ile. Cha kusikitisha kwakua yangu (Water Engineering) hawajaimention system inanikataa. Leo ndo deadline yao[emoji16]
Law ilikuwa inatickHii syatem ya utumishi ya sasa ni ya ovyo sanaa alafu ni biased, mfano kuna post wali weka ya airport security officer ..
Kyk zile sifa wakaweka watu walio soma mambo ya PSPA, CD, and other social studies sasa ajabu candidate mwenye bachelor tofauti na walizo taja ukiomba syatem ina kutemaa. Sasa ni nini maana ya kuweka neno and other social science ? Upuuzi mtupuuuu
Kweli kabisa, tena Sasa hivi kila ukikaa unakuta wameupdate kaz mpyaCha muhimu husikate tamaa. Lima huku ukiendelea na applications nafasi zikitoka.
kwani umesoma degree gan mkuu?
Ni majinga sanaa haya majitu yaliyo wekwa ktk iyo system as Admin ...Same case, kuna post wanahitaji Graduate Engineer wa kozi yoyote ile. Cha kusikitisha kwakua yangu (Water Engineering) hawajaimention system inanikataa. Leo ndo deadline yao[emoji16]
Dah pole Sana mkuu, yaani hapo lazma ukate tamaaUshauri wangu.
Kama mkoa itakayofanyika interview hautumii pesa ya nauli kubwa fanya hicho unachosema ila kama ni mbali sishauri sana.
Mimi kozi yangu iliwekewa tangazo iandikwe kama 'Community Development' baada ya kuandika nikaja kuapply post ya Warden. Nikawa shortlisted.
Nilivyofika nikaambiwa nimeidanganya system kwakua Jina la kozi kwenye cheti haliendani na kilichoandikwa kwenye portal.
I did walichoelekeza na bado wakanikatalia.
Nikarudi home bila kufanya usaili.
Nafikiri unaulikwani umesoma degree gan mkuu?
Hili la interviews zote kufanyika dodoma, limekaaje?Ushauri wangu.
Kama mkoa itakayofanyika interview hautumii pesa ya nauli kubwa fanya hicho unachosema ila kama ni mbali sishauri sana.
Mimi kozi yangu iliwekewa tangazo iandikwe kama 'Community Development' baada ya kuandika nikaja kuapply post ya Warden. Nikawa shortlisted.
Nilivyofika nikaambiwa nimeidanganya system kwakua Jina la kozi kwenye cheti haliendani na kilichoandikwa kwenye portal.
I did walichoelekeza na bado wakanikatalia.
Nikarudi home bila kufanya usaili.
Nishaapply mkuuWasharekebisha hilo, kafanye application ww
Walikua wanataka cheti Cha Environmental engineering na mm nimesomea Water Resources and irrigation engineering, niliapply kwasababu walimention equal qualifications na walihitaji water Engineersi wamekuambia ujaweka cheti cha degree?.nasio kwamba haukuwa na vigezo mkuu kama usemavyo
Water Resources and irrigation engineeringkwani umesoma degree gan mkuu?
Ni kumuomba tu Mungu na kuendelea kuapply kila zitokapoNi majinga sanaa haya majitu yaliyo wekwa ktk iyo system as Admin ...
Yaan ni yana keraga balaa
Vizuri... Uwe unapunguza mihemukoNishaapply mkuu
Acha shoboVizuri... Uwe unapunguza mihemuko
Safi we pita nao tu wanayumba sana hawa jamaaDaah aisee hii ajira portal kisanga, Leo nimegundua kitu. Katika kujaza kozi (program) kwenye mfumo unaweza ukakuta kozi Moja imejirudia Mara mbili, kwa mfano Mimi BED PSYCHOLOGY ipo Mara mbili Sasa ukitaka kuomba kazi ukijaza ile ya juu mfumo unakukatalia, Ila ya chini mfumo unakubali, na Kuna muda mwengine option ya chini inakataa na ya juu inakubali.
KWAIYO ukiwa unaomba kazi ikakataa Basi jaribu kubadilisha option Kama kozi yako imeandikwa Mara mbili, inaweza ikakubali.
Sasa haiwezi kuonekana unaudanganya mfumo kwasababu ikija post hii unachange hivi, ikija nyengine unachange tena, though jina la kozi ni lilelile.View attachment 2274937
Hata sijaelewaDaah aisee hii ajira portal kisanga, Leo nimegundua kitu. Katika kujaza kozi (program) kwenye mfumo unaweza ukakuta kozi Moja imejirudia Mara mbili, kwa mfano Mimi BED PSYCHOLOGY ipo Mara mbili Sasa ukitaka kuomba kazi ukijaza ile ya juu mfumo unakukatalia, Ila ya chini mfumo unakubali, na Kuna muda mwengine option ya chini inakataa na ya juu inakubali.
KWAIYO ukiwa unaomba kazi ikakataa Basi jaribu kubadilisha option Kama kozi yako imeandikwa Mara mbili, inaweza ikakubali.
Sasa haiwezi kuonekana unaudanganya mfumo kwasababu ikija post hii unachange hivi, ikija nyengine unachange tena, though jina la kozi ni lilelile.View attachment 2274937
Unafanyae mkuu sijakuelewaDaah aisee hii ajira portal kisanga, Leo nimegundua kitu. Katika kujaza kozi (program) kwenye mfumo unaweza ukakuta kozi Moja imejirudia Mara mbili, kwa mfano Mimi BED PSYCHOLOGY ipo Mara mbili Sasa ukitaka kuomba kazi ukijaza ile ya juu mfumo unakukatalia, Ila ya chini mfumo unakubali, na Kuna muda mwengine option ya chini inakataa na ya juu inakubali.
KWAIYO ukiwa unaomba kazi ikakataa Basi jaribu kubadilisha option Kama kozi yako imeandikwa Mara mbili, inaweza ikakubali.
Sasa haiwezi kuonekana unaudanganya mfumo kwasababu ikija post hii unachange hivi, ikija nyengine unachange tena, though jina la kozi ni lilelile.View attachment 2274937
Mkuu nisaidie kitu hapo.. Kuna Ajira za SUA zimetangazwa hvyo kozi zilizowekwa ni sawa kabisa na yangu(Equivalent) Ila nikiomba inakata nisaidie maujanja hapo ili niombe mkuu.. nofanyaje kwenye hii account yangu..?Daah aisee hii ajira portal kisanga, Leo nimegundua kitu. Katika kujaza kozi (program) kwenye mfumo unaweza ukakuta kozi Moja imejirudia Mara mbili, kwa mfano Mimi BED PSYCHOLOGY ipo Mara mbili Sasa ukitaka kuomba kazi ukijaza ile ya juu mfumo unakukatalia, Ila ya chini mfumo unakubali, na Kuna muda mwengine option ya chini inakataa na ya juu inakubali.
KWAIYO ukiwa unaomba kazi ikakataa Basi jaribu kubadilisha option Kama kozi yako imeandikwa Mara mbili, inaweza ikakubali.
Sasa haiwezi kuonekana unaudanganya mfumo kwasababu ikija post hii unachange hivi, ikija nyengine unachange tena, though jina la kozi ni lilelile.View attachment 2274937