Kuchange jina la kozi ili uombe kazi Ajita portal

Same case, kuna post wanahitaji Graduate Engineer wa kozi yoyote ile. Cha kusikitisha kwakua yangu (Water Engineering) hawajaimention system inanikataa. Leo ndo deadline yao[emoji16]
Washarekebisha hilo, kafanye application ww
 
Law ilikuwa inatick
 
Same case, kuna post wanahitaji Graduate Engineer wa kozi yoyote ile. Cha kusikitisha kwakua yangu (Water Engineering) hawajaimention system inanikataa. Leo ndo deadline yao[emoji16]
Ni majinga sanaa haya majitu yaliyo wekwa ktk iyo system as Admin ...

Yaan ni yana keraga balaa
 
Ushauri wangu.

Kama mkoa itakayofanyika interview hautumii pesa ya nauli kubwa fanya hicho unachosema ila kama ni mbali sishauri sana.

Mimi kozi yangu iliwekewa tangazo iandikwe kama 'Community Development' baada ya kuandika nikaja kuapply post ya Warden. Nikawa shortlisted.

Nilivyofika nikaambiwa nimeidanganya system kwakua Jina la kozi kwenye cheti haliendani na kilichoandikwa kwenye portal.

I did walichoelekeza na bado wakanikatalia.

Nikarudi home bila kufanya usaili.
 
Dah pole Sana mkuu, yaani hapo lazma ukate tamaa
 
kwani umesoma degree gan mkuu?
Nafikiri unauli
Hili la interviews zote kufanyika dodoma, limekaaje?
 
si wamekuambia ujaweka cheti cha degree?.nasio kwamba haukuwa na vigezo mkuu kama usemavyo
Walikua wanataka cheti Cha Environmental engineering na mm nimesomea Water Resources and irrigation engineering, niliapply kwasababu walimention equal qualifications na walihitaji water Engineer

Sijuhi unanielewa??
 
Daah aisee hii ajira portal kisanga, Leo nimegundua kitu. Katika kujaza kozi (program) kwenye mfumo unaweza ukakuta kozi Moja imejirudia Mara mbili, kwa mfano Mimi BED PSYCHOLOGY ipo Mara mbili Sasa ukitaka kuomba kazi ukijaza ile ya juu mfumo unakukatalia, Ila ya chini mfumo unakubali, na Kuna muda mwengine option ya chini inakataa na ya juu inakubali.

KWAIYO ukiwa unaomba kazi ikakataa Basi jaribu kubadilisha option Kama kozi yako imeandikwa Mara mbili, inaweza ikakubali.

Sasa haiwezi kuonekana unaudanganya mfumo kwasababu ikija post hii unachange hivi, ikija nyengine unachange tena, though jina la kozi ni lilelile.
 
Safi we pita nao tu wanayumba sana hawa jamaa
 
Hata sijaelewa
 
Unafanyae mkuu sijakuelewa
 
Mkuu nisaidie kitu hapo.. Kuna Ajira za SUA zimetangazwa hvyo kozi zilizowekwa ni sawa kabisa na yangu(Equivalent) Ila nikiomba inakata nisaidie maujanja hapo ili niombe mkuu.. nofanyaje kwenye hii account yangu..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…