Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mcheza kwao hutuzwaPale ni Nyumbani mkuu, sio mbaya kurudi Kunguru wa Manzese
Mimi kozi yangu ipo Mara mbaliMkuu nisaidie kitu hapo.. Kuna Ajira za SUA zimetangazwa hvyo kozi zilizowekwa ni sawa kabisa na yangu(Equivalent) Ila nikiomba inakata nisaidie maujanja hapo ili niombe mkuu.. nofanyaje kwenye hii account yangu..?
Mwamba niliwahi sikia watu waliosoma chuo cha maji ubungo ama kozi za maji wanaajiriwa mojamoja kupitia wizara ya maji,inakuwaje wewe unahaso ivyoWater Resources and irrigation engineering
Sasa nielekeze sehemu unayotumia bkuchange hayo majina ya kozi sijui unayosema yapo mara mbili.. ikiwezekana screenshot hapaMimi kozi yangu ipo Mara mbali
Huenda koz yako haiko mara mbil, nenda sehem y academic qualification utaonaSasa nielekeze sehemu unayotumia bkuchange hayo majina ya kozi sijui unayosema yapo mara mbili.. ikiwezekana screenshot hapa
Ushauri wangu.
Kama mkoa itakayofanyika interview hautumii pesa ya nauli kubwa fanya hicho unachosema ila kama ni mbali sishauri sana.
Mimi kozi yangu iliwekewa tangazo iandikwe kama 'Community Development' baada ya kuandika nikaja kuapply post ya Warden. Nikawa shortlisted.
Nilivyofika nikaambiwa nimeidanganya system kwakua Jina la kozi kwenye cheti haliendani na kilichoandikwa kwenye portal.
I did walichoelekeza na bado wakanikatalia.
Nikarudi home bila kufanya usaili.
🤣🤣 Weka ushuhuda huo BossNilishawahi fanya kama mleta uzi kipindi cha nyuma. Mrejesho ulikuja walinitema yaani sikufit qualifications zao ilihali nilikua nimefit. Ushuhuda wa skrinshot upo chini.
Mfumo ukikukataa unakua kama ule msemo wa kimakonde "Ukisimama nchale ukichuchumaa nchale"
Walimpiga za uso🤣🤣 Weka ushuhuda huo Boss
Itakuwa kozi yake haikuwa Equivalent kabisa na kazo zikizohitajikaWalimpiga za uso