Kuchange jina la kozi ili uombe kazi Ajita portal

Mkuu nisaidie kitu hapo.. Kuna Ajira za SUA zimetangazwa hvyo kozi zilizowekwa ni sawa kabisa na yangu(Equivalent) Ila nikiomba inakata nisaidie maujanja hapo ili niombe mkuu.. nofanyaje kwenye hii account yangu..?
Mimi kozi yangu ipo Mara mbali
 
Water Resources and irrigation engineering
Mwamba niliwahi sikia watu waliosoma chuo cha maji ubungo ama kozi za maji wanaajiriwa mojamoja kupitia wizara ya maji,inakuwaje wewe unahaso ivyo
 
Mwaka gani mkuu..? Ila siku hizi mbona wanatahja course husika na wanaongezea na Equivalent course..

 
🤣🤣 Weka ushuhuda huo Boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…