#COVID19 Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

#COVID19 Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.
Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.
Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.
Sasa mkuu unaambiwa hata ukisha chanja haimaniishi hauwezi kupata Covid lazima uvae barakoa
 
Wazungu bado wanateseka100% afrika tutapata suruhisho la kweli Kama si kuishia kwenye majaribio ya wanasayansi

Tatizo linalotuponza ni hawa wanaojiita wasomi wanaujua ukweli lakini kwa sababu wanazo elimu za kizungu wanabaki kuwa vibaraka wa kujitolea kwa hao ambao hawawapendi hata wao

Elimu ikizidi ni ujinga ndo unaofuata

Jitambue mwafrika amka kumekucha
 
Kachanje familia yako maana kwa kuchanjwa kwako sisi tumepona.[emoji23][emoji23]
 
Peleka hiyo chanjo yako Jeshini uone kipigo utakayopata kama mbwa koko.
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.
Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.
Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.

Chanjo ni hiali na msimamo wangu mimi sitachanja Over
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.
Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.
Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.
Kama watu Wana Kinga za asili na zipo poa ni lzm wachanj?
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.
Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.
Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.
We kama ulichanjwa usilazimishe watu
 
chanjo wala haizuii kuambukizwa/kuambukiza covid bali inapunguza tu uwezekano we kilaza
Hizo J&J hazija expire kweli? Mbona muda sasa! DRC waliharibu chango astrazenica laki tatu zilipoisha mda wa matumizi!
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.
Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.
Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.
Si kila anayefariki kwa sasa anafariki kwa COVID, watu wengine wana matatizo yao ya muda mrefu yanayo_compromise Immune system, acheni kuhemkwa hovyo, imarisheni mifumo yenu ya kinga ya mwili kwa kula vitu vyenye nutrients muhimu vinavyo_fight bacteria, virus, parasites etc, acheni ujinga.

Hiyo chanjo mmekwishaambiwa haina kinga kwa 100%, kuna watu walishamaliza circle ya chanjo na wamekufa, na wengine wanaendelea kuvaa barakoa, acheni ujinga na kubabaisha watu, mtu aachie ngazi kwa sababu ipi ya kimantiki, kwa sheria ipi? Kwa kanuni ipi?
 
Mwishoni mwa mwaka 1986 kwenda 1987 niliibiwa baiskeli yangu aina ya phonix. Nilijitahidi kutafuta na juhudi zooote lakini wapi na ilikuwa sikukuu ya krismasi nadhani.

Baada ya juhudi zote kugonga mwamba ghafla tuu yalikuja mawazo kama mawili matatu hivi, lakini
Moja. Lilikuja wazo la kuwachukia wenye baiskeli woote, yani kila nikiona baiskel moyo unalipuka.

Pili: sijui nini kilitoke likaja wazo la mimi eti niibe ya mtu. Hapa aseee baada ya hili wazo ilibidi nirudi tu nyumbani kulia saaaaana.

Tatu. Sikupenda stori zilizozungumzia umiliki wa baiskeli tena nilichokuwa napenda ni kusikia na fulani kaibiwa ama kapoteza baiske basi.


Sasa na mleta mada naona kama unaelekea kulekule nilikokuwa
 
Si kila anayefariki kwa sasa anafariki kwa COVID, watu wengine wana matatizo yao ya muda mrefu yanayo_compromise Immune system, acheni kuhemkwa hovyo, imarisheni mifumo yenu ya kinga ya mwili kwa kula vitu vyenye nutrients muhimu vinavyo_fight bacteria, virus, parasites etc, acheni ujinga.

Hiyo chanjo mmekwishaambiwa haina kinga kwa 100%, kuna watu walishamaliza circle ya chanjo na wamekufa, na wengine wanaendelea kuvaa barakoa, acheni ujinga na kubabaisha watu, mtu aachie ngazi kwa sababu ipi ya kimantiki, kwa sheria ipi? Kwa kanuni ipi?
Mkuu jiongeze kufikiri.
Pamoja na matatizo yao si wanaishi sasa au sivyo?
Sasa wakipata covid ndiyo kwaheri!!!
Sasa ni kutumia akili yako tu kuchanja ili covid ukipata uweze kuimudu au andika wosia kabisa!
 
Tunajua mnatafuta sababu za kufukuza kazi watu, ili nafsai hizo muweke ndugu zenu. Kama ipo ipo tu! Msiwanyanyase wafanyakazi wa serikali.
Mfanyakazi ambaye hajachanja ni health security risk kwa familia yake na hata wafanyakazi wenzake.
Kuchanja kwa hiari is not an ption anymore
 
Back
Top Bottom