We mpumbavu nini.....si uchanje mwenyewe...Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.
Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.
Tutavaa barakoa hadi lini?
Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.
Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.
Imefika muda tusicheze na hili janga.
Sie wapumbavu tusha chanja.We mpumbavu nini.....si uchanje mwenyewe...
Eti tutavaa barakoa mpaka lini...hivi wewe hayawani ni nani aliyekuambia ukichanja huvai barakoa....
Been vaccinated with jab doesn't make you immortal , pathetic idiot.Wajinga zaidi yako ni wale waliokwisha fariki kwa covid.
Na wewe kubwa lao omba tu uipate.
Chanjo siyo lazima,hao watumishi wa serikali kwani Hawana damu,siyo lazima kuchanja, haiwezekani miili ya watu kuwa maabara.Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.
Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.
Tutavaa barakoa hadi lini?
Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.
Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.
Imefika muda tusicheze na hili janga.
Mkuu hata ukichanja unatakiwa UVAE BARAKOA,unawe mikono kwa maji tiririka,utumie Sanitizer,usishikane mikono na watu,ukae umbali wa kutosha kutoka kwa mwingine,kwepa mikusanyiko,nk
Labda uniambie kuwa huna ajira! Unangoja wale wafanyakazi watakaokataa chanjo waachie ngazi ili kutoa fursa!
Inahitaji akili kuwaza kama ulivyowaza.Je,mleta mada anazo??Ili iweje?
Iwapo watanzania 60 wamegoma kuchanjwa, ukichanjwa wafanyakazi wa serikali ambao hawazidi 500,000 itakuwa na effect gani kama zaidi ya 99% ya watu hawajachanjwa?
Its your funeral!Sichanjwiii
Utafikiri walishikiwa bunduki wachanje!!Pia kuna waliochanjwa wengi wana hofu hawajui nini kitawapata hapo baadae,wanataka kushinikiza wote wachanjwe ili kama kuna madhara yasiwapate peke yao,hii ni roho mbaya na ya kichawi.
Ikumbukwe hii chanjo siyo ya kwanza zipo zizilizotangulia, Kwenye zilizotangulia,ukishampa taarifa jirani yako basi
unaendelea na maisha suala la ataenda kuchanjwa au la hatufuatilii,jiulize hii mbona wakishachanjwa wanataka na wewe uende hata kama ni kwa lazima?
Akili ambazo huna ni kujiuliza.Inahitaji akili kuwaza kama ulivyowaza.Je,mleta mada anazo??
Tuambie uko wapi tuichukue hiyo kazi tuliochanjwa.Utafikiri walishikiwa bunduki wachanje!!
Wasubiri tu mdogo mdogo wawe mazombi.Tusilazimishane na kama KAMA NI KAZI YENU,ICHUKUENI!
Ur such a shitholeIts your funeral!
I would suppose you are a bigger one!Ur such a shithole
Ni obvious hana mkuu.Inahitaji akili kuwaza kama ulivyowaza.Je,mleta mada anazo??
Who said covid jabs make you live a long everlasting life?Been vaccinated with jab doesn't make you immortal , pathetic idiot.
Perhaps now you have started to express the short term adverse effects of it.
Take care of yourself moron
Kwa taarifa yako mimi siko serikalini, ila ukiondolewa kwa kutochanjwa ili uwaambukize wengine,pengine nitapata kazi yakoYaani kufa kwa Hanspoppe ndo iwe lazima? Kwa sababu ipi hasa?
Serikali yenyewe pesa za mkopo za Corona imepeka kutengeza madawati.
Kachanjwe wewe na ukoo wako ili muwe salama maana ukichanjwa hutaugua na duniani utakaa milele.
Chanjo zimedoda mnatafuta kisingizio Cha kulazimisha watu 🤣🤣🤣
Puuzi kabisa hawaYaani kufa kwa Hanspoppe ndo iwe lazima? Kwa sababu ipi hasa?
Serikali yenyewe pesa za mkopo za Corona imepeka kutengeza madawati.
Kachanjwe wewe na ukoo wako ili muwe salama maana ukichanjwa hutaugua na duniani utakaa milele.
Chanjo zimedoda mnatafuta kisingizio Cha kulazimisha watu 🤣🤣🤣
una hulka za kitalibani za kutaka watu wengine waishi kama unavyoamini wewe.Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.
Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.
Tutavaa barakoa hadi lini?
Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.
Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.
Imefika muda tusicheze na hili janga.