#COVID19 Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

We mpumbavu nini.....si uchanje mwenyewe...
Eti tutavaa barakoa mpaka lini...hivi wewe hayawani ni nani aliyekuambia ukichanja huvai barakoa....
 
We mpumbavu nini.....si uchanje mwenyewe...
Eti tutavaa barakoa mpaka lini...hivi wewe hayawani ni nani aliyekuambia ukichanja huvai barakoa....
Sie wapumbavu tusha chanja.
Werevu kama ninyi mtadondoka mmoja mmoja, subiri tu zamu yako.
 
Wajinga zaidi yako ni wale waliokwisha fariki kwa covid.
Na wewe kubwa lao omba tu uipate.
Been vaccinated with jab doesn't make you immortal , pathetic idiot.
Perhaps now you have started to express the short term adverse effects of it.
Take care of yourself moron
 
Chanjo siyo lazima,hao watumishi wa serikali kwani Hawana damu,siyo lazima kuchanja, haiwezekani miili ya watu kuwa maabara.
 
Mkuu hata ukichanja unatakiwa UVAE BARAKOA,unawe mikono kwa maji tiririka,utumie Sanitizer,usishikane mikono na watu,ukae umbali wa kutosha kutoka kwa mwingine,kwepa mikusanyiko,nk
Labda uniambie kuwa huna ajira! Unangoja wale watakaokataa chanjo waachie ngazi ili watoe fursa!
 
 
Utafikiri walishikiwa bunduki wachanje!!
Wasubiri tu mdogo mdogo wawe mazombi.Tusilazimishane na kama KAMA NI KAZI YENU,ICHUKUENI!
 
Inahitaji akili kuwaza kama ulivyowaza.Je,mleta mada anazo??
Akili ambazo huna ni kujiuliza.
Daktari anawaona wangonjwa wangapi kwa siku.
Mhudumu anaingia ofisi zenye watu wangapi kwa siku.
Hakimu anakuwa na watu wangapi mahakamani.
Inahitaji akili zaidi kuwa na akili.
 
Been vaccinated with jab doesn't make you immortal , pathetic idiot.
Perhaps now you have started to express the short term adverse effects of it.
Take care of yourself moron
Who said covid jabs make you live a long everlasting life?
Stupid man!
I can note empty heads a mile away!
 
Yaani kufa kwa Hanspoppe ndo iwe lazima? Kwa sababu ipi hasa?

Serikali yenyewe pesa za mkopo za Corona imepeka kutengeza madawati.
Kachanjwe wewe na ukoo wako ili muwe salama maana ukichanjwa hutaugua na duniani utakaa milele.

Chanjo zimedoda mnatafuta kisingizio Cha kulazimisha watu 🤣🤣🤣
 
Kwa taarifa yako mimi siko serikalini, ila ukiondolewa kwa kutochanjwa ili uwaambukize wengine,pengine nitapata kazi yako
 
Puuzi kabisa hawa
 
una hulka za kitalibani za kutaka watu wengine waishi kama unavyoamini wewe.

kama umechanja na ukichanja uko salama sasa una shida gani na mtu ambaye amechagua kutokuchanja na kama ni kusambaza si wanasambaza kwa wasiochanja ambao wana hiari ya kuamua kuchanja au kuacha wakabiliwe na hatari.

watu wanataka kujua kama hawa wanaokufa unaowasema kweli wote hawajachanja? umemtaja Zacharia je hakuwa amechanja? wapo watu kama mzee keenja je hakuchanja? kuna mzee wetu wa lokomotive faint je hakuchanja?

ninachojaribu kusema ni kwa watu wenye akili kama ikitokea hata waliochanja wakapata madhara tena basi watu hujiuliza kuwa hapa tunachokifanya ni nini? lakini wasiokuwa na fikra wao huwa hawajali matokeo, wakianzisha kampeni fulani basi wao hukomaa na kampeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…