nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
duh! logic yako ya kutaka kumlazimisha kila mtu achanje ni ipi?We mjinga mimi nimechanja, tena wakati bado ni hiari.
Msio na upeo wa kufikiri mbali zaidi ya pua zenu mnashindwa kudadavua mambo basic kabisa.
Marekani ya watu milioni 300, karibia milioni 150 tayari wamechanja.
Uingereza ya watu milioni 68, tayari milioni 48 wamechanja.
sitegemei hao watu kufa kesho wala keshokutwa wala miaka 10 ijayo.
Hii ndiyo faida ya watu waliosoma na kuelewa.
Sasa ninyi vilaza wa kutoka vijijini juzi mmeaminishwa kujifukiza, hata sayansi kwenu ni uchawi.
Taabu kwer kwer!
ni haya matusi?