#COVID19 Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

#COVID19 Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.

Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.

Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.
Kuwa mtumishi wa serikali haimaanishi kupoteza hiari ya mtu. Kumnyima mtu hiari ni kumfanya mtu kuwa mtumwa!! Washawishini bila kuwashurutisha!!
 
Kuwa mtumishi wa serikali haimaanishi kupoteza hiari ya mtu. Kumnyima mtu hiari ni kumfanya mtu kuwa mtumwa!! Washawishini bila kuwashurutisha!!
Kuna watu hawaelewi kuwa Mama Samia kajitoa mhanga kuonyesha njia, na ni kwa ajili ya seriousness ya tatizo lenyewe.
Wafanyakazi serikalini wasipolielewa hilo, heri waachie ngazi tu.
 
Hata waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson aliugua covid akawekwa kwenye ICU na oksijen kibao na alikuwa taaban mpaka watu wakadhani jamaa atachomoka lakini bahati yake baada ya zaidi ya wiki 2 au 3 akapona lakini mke wake ambaye alikuwa ni mja mzito aligunduliwa naye ameambukizwa lakini hakupata shida yeyote ile, wala hakulazwa hospitali hata siku moja, huu ugonjwa ni wa ajabu sana, kwahiyo usidhani kila mtu atakayeambukizwa atalazimika kwenda hospitali, wengine wanapata covid mpaka inaisha bila kujua kama aliugua, lakini wengine wakiupata moto unamuwakia, Sasa kwa kuwa hatujui nani akipata itamdhuru na nani hats akipata haitamdhuru ndio maana tunahamasishana tuende tukachanje bandugu
Mkuu ubarikiwe sana kwa elimu unayoitoa.
 
Asante mkuu.
Hilo somo kuna watu hawataki kulisikia maana mioyo yso imejazwa sumu na akina Gwajima.
Matokeo yake watu wanakufa kimya kimya baada ya kuikana chanjo.
Tuwashauri waende mortuary Muhimbili wajionee wenyewe.


Jidu usimlaumu Mkwezi nazi imeliwa na mwezi hiyo @ Ndugu yangu!

Usitake kumlaumu Rev. Gwajima wakati tangu awamu ilopita ilishaelezwa kuwa chanjo hazifai wala barakoa na kwamba nyungu
Na mafusho yanatosha!
Sasa watu bado vichwani mwao hiyo mentality imewakaa sana na kuwabadilisha hapo uache kazi ufanye kazi!
 
Punguza ujinga...
Mtu anayejidai mjaanja, lakini unajua kakalia ncha ya tawi analolikata.
Tafuta jina sijui tumwiteje?
1631644415851.jpeg
 
Mkuu kama ulikuzwa hivyo na babaako ujue JF kuna wastaarabu.
Na kwa muonekano tu, unanuka kama kinyesi mtu alichokanyaga barabarani na kimeshikilia soli ya kiatu.
Unaleta matusi ngoja nikusagie kunguni upigwe ban mwezi mzima uchome mahindi
 
ACHA UBOGUS .../
HATA UKICHANJA[emoji117] UTAENDELEA KUVAA BARAKOA NA KUSANITIZE KAMA KAWAIDA.

N.B ..kachanje mwenyewe
Maana nahisi umetumwa.
 
ACHA UBOGUS .../
HATA UKICHANJA[emoji117] UTAENDELEA KUVAA BARAKOA NA KUSANITIZE KAMA KAWAIDA.

N.B ..kachanje mwenyewe
Maana nahisi umetumwa.
Watoto wa juzi hamjui hizi kanuni za hygine si mpya, zilikuwa zinafundishwa praimari.
Sijui sasa mnafundishwa nini.
 
Watoto wa juzi hamjui hizi kanuni za hygine si mpya, zilikuwa zinafundishwa praimari.
Sijui sasa mnafundishwa nini.
ITAFIKA WAKATI WATU WATAKUWA WANAPIGANIA KUPATA CHANJO NA CHANJO ZITAKUWA ZIMEISHA, JUST A MATTER OF TIME, IMESHATOKEA BRAZIL NA INDIA, WATU WALIKUWA HAWATAKI KUSIKIA HABARI YA CHANJO WALA HIYO HYGIENE, YALIPOWAKUTA YAKUWAKUTA SASA WAMENYOOKA WENYEWE !!
 
Chanjo milioni 1, halafu unataka watu wote wakachanje. Mmesoma hesabu kweli?
 
We mjinga mimi nimechanja, tena wakati bado ni hiari.

Msio na upeo wa kufikiri mbali zaidi ya pua zenu mnashindwa kudadavua mambo basic kabisa.
Marekani ya watu milioni 300, karibia milioni 150 tayari wamechanja.
Uingereza ya watu milioni 68, tayari milioni 48 wamechanja.
sitegemei hao watu kufa kesho wala keshokutwa wala miaka 10 ijayo.
Hii ndiyo faida ya watu waliosoma na kuelewa.

Sasa ninyi vilaza wa kutoka vijijini juzi mmeaminishwa kujifukiza, hata sayansi kwenu ni uchawi.
Taabu kwer kwer!
Hakuna anayependa kula matapishi yake mwenyewe.Mama alishasema kuchanja ni ihari.Wewe unataka ale...................yake mwenyewe.Tunakwendaaaaaa,tunarudi tulipoanzia, hivi tutafika kweli,huku tunaimba mbele kwa mbele,tunataka unalazimisha sasa iwe nyuma kwa nyuma?.

Inawezekana,mfano,Petrol ilitangazwa lita shs.2596/-tukanunua siku hiyo jioni,nafika nyumbani saa 2 kwenye tv wakasema kuna makosa itauzwa bei iliyokuwepo 2543/- are you serious serikali, aliyepandisha na kutangaza,kwa nini hajawajibishwa na kufutwa kazi, au kwa kuwa ni mwana ccm mwenzetu basi hivyo hivyo piga kimya.

Rais alishasema.
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.

Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.

Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.
Kwa nini iwe lazima? Kifo ni kifo tu uwe umechanja au hujachanja....
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.

Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.

Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.
Wasio chanja wakiachia hizo nafasi nchi itayumba maana waliochanja hawana utaam/taaluma yoyote zaidi ya siasa.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
We mjinga mimi nimechanja, tena wakati bado ni hiari.

Msio na upeo wa kufikiri mbali zaidi ya pua zenu mnashindwa kudadavua mambo basic kabisa.
Marekani ya watu milioni 300, karibia milioni 150 tayari wamechanja.
Uingereza ya watu milioni 68, tayari milioni 48 wamechanja.
sitegemei hao watu kufa kesho wala keshokutwa wala miaka 10 ijayo.
Hii ndiyo faida ya watu waliosoma na kuelewa.

Sasa ninyi vilaza wa kutoka vijijini juzi mmeaminishwa kujifukiza, hata sayansi kwenu ni uchawi.
Taabu kwer kwer!
Wewe ni mjinga sana, kama korona ni threat kiasi hicho wala msingetumia nguvu kulazimisha watu wachanje kwasababu wangeona ndugu zao, jirani na jamaa zao wakifa kwa hiari yao wangeenda wenyewe kuchanja. Huitaji kutumia nguvu kwa kitu ambacho kiko dhahri na bayana kwenye jamii isipokuwa kama mna agenda ya siri juu ya hiyo chanjo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni mjinga sana, kama korona ni threat kiasi hicho wala msingetumia nguvu kulazimisha watu wachanje kwasababu wangeona ndugu zao, jirani na jamaa zao wakifa kwa hiari yao wangeenda wenyewe kuchanja. Huitaji kutumia nguvu kwa kitu ambacho kiko dhahri na bayana kwenye jamii isipokuwa kama mna agenda ya siri juu ya hiyo chanjo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ni wazi ninyi ndio wahanga mliojitolea kufa kwa covid.
Kufa kwa covid nayo ni hiari.
 
Back
Top Bottom