#COVID19 Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

duh! logic yako ya kutaka kumlazimisha kila mtu achanje ni ipi?

ni haya matusi?
 
watu wana chanjwa lakini bado wanavaa barakoa sasa maana yake n nn?
 
Wakishachanja alafu wanabaki kuhudumia wananchi wangapi ambao hawajachanja?

Matibabu ni hiyari usilete mawazo ya akina Ndugai hapa kila jambo kutumia nguvu
 
Punguani utawajua tu.
Akamuulize mwenzie aliyesema watu wote walazimishwe kuchanjwa,hadi leo anabadilishiwa kesi.
Hili jambo kila mwenye busara analifanya kwa kuzingatia maamuzi ya nafsi yake basi.
Jiponye nafsi yako,ukiona njia bora ni kuchanjwa wahi,ukiona ni kutochanjwa tulia,ukifuata mkumbo utajuta.
 
ok,nani alimzuia kuchanjwa,wakati chanjo zipo hapa nchini muda mrefu?
Hivi tunawezaje kuwatofautisha waliokufa kama matokeo ya kuchanjwa au kutochanjwa?
 
Nyie mliochanja mbona mnaweweseka sana? ambao hatujachanja na hatuna mpango huo tupo huru tu na mimi binafsi sijawahi kuvaa barakoa lakini sina hafu yoyote. Wewe umechanjwa, bado umejishindilia li Barakoa puani na bado una hofu tukueleweje
 
Ningejua tusi kubwa kuliko yote ningekutukana
Akili yako imejaa kinyesi
 
Swali la Gwajima ni rahisi sana, Je nikichanjwa sihitaji tena kuvaa barakoa ?🤣🐒
 
watu wana chanjwa lakini bado wanavaa barakoa sasa maana yake n nn?
Wale wasiochanjwa na wana covid wanaweza kuwaambukiza.
Ila waliochanjwa wakiambukizwa ugonjwa hsuna makali kama kwa wale wasiochanjwa.
 
ok,nani alimzuia kuchanjwa,wakati chanjo zipo hapa nchini muda mrefu?
Hivi tunawezaje kuwatofautisha waliokufa kama matokeo ya kuchanjwa au kutochanjwa?
Tunafahamishwa kitaalamu kwamba MTU akichanjwa hata kama ataambukizwa covid madhara yake hayatakuwa makubwa kama yule MTU ambaye hajachanjwa,
 
Wakishachanja alafu wanabaki kuhudumia wananchi wangapi ambao hawajachanja?

Matibabu ni hiyari usilete mawazo ya akina Ndugai hapa kila jambo kutumia nguvu
Kuna daktari Muhimbili alikataa katakata kuchanja, alipata covid na akafa.
Sijui aliambukiza wangapi?
 
Nyie mliochanja mbona mnaweweseka sana? ambao hatujachanja na hatuna mpango huo tupo huru tu na mimi binafsi sijawahi kuvaa barakoa lakini sina hafu yoyote. Wewe umechanjwa, bado umejishindilia li Barakoa puani na bado una hofu tukueleweje
Tunaogopa kuambukizwa na wasiochanjwa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…