Kuchelewa kwangu kunanitisha sana

Ukweli ni kwamba bado hujachelewa! Kuna watu nimesoma nao degree ya kwanza walikuwa in their 40’s na mwingine 45 leo maisha yao yapo vizuri tu.

Wengine tupo 45 sasa hatujaoa na yatakuwa mazuri tu japo kuna shida zake.

Ni vizuri mno umeshtukia hali yako mapema kwani itakusaidia usiingie kwenye kuchelewa kubaya.

Nakushauri rekebisha hulka yako ya kufanya maamuzi, usisubiri sana upate hela ndio uoe.

Pia fuatilia sana masuala yako ya kiroho. Ee bwana kucheleweshwa kupo na heri wewe umeshtukia mapema!

Fanya sala, mwombe Mungu, nenda kwa watumishi wa kweli anza kushughulikia jambo hilo, ukweli kuchelewa ni kubaya mno!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…