TheCombination
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 370
- 729
Usiogope mdogo angu.Hiki ndio nimekua niki hold kwenye mind yangu.Hujui utatobolea wap cha msingi chagua jambo moja focus kweny hilo kwa mipango na mikakati huku ukiomba sana Mungu.Unaweza ona jamaa zako wamekupiga gap kimaendelepo (age mates wako) ila mitikas yako ikaja ikajibu kwa "exponential rate" kias kwamba ndan ya mwaka mmoja ukafanya mambo ambayo ume delay kufanya kwa miaka mi 5.
Nakuambia haya kwa experience yangu kabisa yan wala simuongelei mtu hapa.
Nilishakaa sina mwelekeo kwa mwaka m1 kipindi flan ila nikafumania deal ya miez 6 ambayo iliniingizia pesa ambayo sikuwah ipata kwa miaka miwili nilipokua nafanya kazi.
Now at 32 by age, nikaamua sasa acha nianze kujipambania kutengeneza stream yangu ya pesa ya kwangu mimi kama mimi (kwa kutumia skills na proffeaion yangu). Nikiwa sipati kitu hata 10tsh yan nikajipa muda and I started constructing my lifetime project.Ikafikia hatua flan nimeiingiza sokon nikaanza kutafuta wateja..kwa miez 4 ya kwanza nikapata mteja mmoja ananilipa 40k kwa mwez....nikaendelea hivyo hivyo huku nikijifunza skills hasa marketing n sales kushawish wateja waiamin service yangu..kwa kifupi mpaka sasa kaz inaniingizia 250k monthly..bado sikati tamaa and i see this very big picture ahead of me though kazi sio rahis has linapokuja suala la kujitengenezea pesa yako mwenyewe kwa kumshawish mtu akupe hiyo pesa in return for solving their problems or improving their lives / works/buznes...
Imagine am 32 years...But i have this COURAGE kwamba things always worka the best for those who BELIEVE in what they do..Believe in their abilities but mostly believe in God in what they do (optional)..na ni waz naona baada ya miaka michache nita collect more than what i collected kwenye ile deal ya miez 6 nilofanya as i explained above..
work hard ..work smart..never giveupp...do not entertain "lezafea"
Nakuambia haya kwa experience yangu kabisa yan wala simuongelei mtu hapa.
Nilishakaa sina mwelekeo kwa mwaka m1 kipindi flan ila nikafumania deal ya miez 6 ambayo iliniingizia pesa ambayo sikuwah ipata kwa miaka miwili nilipokua nafanya kazi.
Now at 32 by age, nikaamua sasa acha nianze kujipambania kutengeneza stream yangu ya pesa ya kwangu mimi kama mimi (kwa kutumia skills na proffeaion yangu). Nikiwa sipati kitu hata 10tsh yan nikajipa muda and I started constructing my lifetime project.Ikafikia hatua flan nimeiingiza sokon nikaanza kutafuta wateja..kwa miez 4 ya kwanza nikapata mteja mmoja ananilipa 40k kwa mwez....nikaendelea hivyo hivyo huku nikijifunza skills hasa marketing n sales kushawish wateja waiamin service yangu..kwa kifupi mpaka sasa kaz inaniingizia 250k monthly..bado sikati tamaa and i see this very big picture ahead of me though kazi sio rahis has linapokuja suala la kujitengenezea pesa yako mwenyewe kwa kumshawish mtu akupe hiyo pesa in return for solving their problems or improving their lives / works/buznes...
Imagine am 32 years...But i have this COURAGE kwamba things always worka the best for those who BELIEVE in what they do..Believe in their abilities but mostly believe in God in what they do (optional)..na ni waz naona baada ya miaka michache nita collect more than what i collected kwenye ile deal ya miez 6 nilofanya as i explained above..
work hard ..work smart..never giveupp...do not entertain "lezafea"