Kuchelewa kwangu kunanitisha sana

Kuchelewa kwangu kunanitisha sana

Usiogope mdogo angu.Hiki ndio nimekua niki hold kwenye mind yangu.Hujui utatobolea wap cha msingi chagua jambo moja focus kweny hilo kwa mipango na mikakati huku ukiomba sana Mungu.Unaweza ona jamaa zako wamekupiga gap kimaendelepo (age mates wako) ila mitikas yako ikaja ikajibu kwa "exponential rate" kias kwamba ndan ya mwaka mmoja ukafanya mambo ambayo ume delay kufanya kwa miaka mi 5.
Nakuambia haya kwa experience yangu kabisa yan wala simuongelei mtu hapa.
Nilishakaa sina mwelekeo kwa mwaka m1 kipindi flan ila nikafumania deal ya miez 6 ambayo iliniingizia pesa ambayo sikuwah ipata kwa miaka miwili nilipokua nafanya kazi.

Now at 32 by age, nikaamua sasa acha nianze kujipambania kutengeneza stream yangu ya pesa ya kwangu mimi kama mimi (kwa kutumia skills na proffeaion yangu). Nikiwa sipati kitu hata 10tsh yan nikajipa muda and I started constructing my lifetime project.Ikafikia hatua flan nimeiingiza sokon nikaanza kutafuta wateja..kwa miez 4 ya kwanza nikapata mteja mmoja ananilipa 40k kwa mwez....nikaendelea hivyo hivyo huku nikijifunza skills hasa marketing n sales kushawish wateja waiamin service yangu..kwa kifupi mpaka sasa kaz inaniingizia 250k monthly..bado sikati tamaa and i see this very big picture ahead of me though kazi sio rahis has linapokuja suala la kujitengenezea pesa yako mwenyewe kwa kumshawish mtu akupe hiyo pesa in return for solving their problems or improving their lives / works/buznes...
Imagine am 32 years...But i have this COURAGE kwamba things always worka the best for those who BELIEVE in what they do..Believe in their abilities but mostly believe in God in what they do (optional)..na ni waz naona baada ya miaka michache nita collect more than what i collected kwenye ile deal ya miez 6 nilofanya as i explained above..

work hard ..work smart..never giveupp...do not entertain "lezafea"
 
Mkuu... hauko peke yako. Wapo vijana wengi tu wana hiyo hali na wengine wamekata tamaa na kujiingiza kwenye tabia hatarishi ama wengine kujidhuru.

Shukuru MUNGU kwa kuwa una akili timamu mpaka umeona hiyo hali siyo ya kawaida. Mimi kuna mtu namfahamu tangu ana 2011 anajitahidi kutoboa lakini hivi ninavyoongea yupo mkoani amehama dar amejianzishia maisha simple tu mkoani, ana familia na ana furaha. Huyu ninayemtaja hapa ameshaandika proposal kibao, alifungua kampuni, ameshaenda ofisi nyingi hapa dar akitafuta tender, ameshaingia mabalozi kibao kutafuta fursa za kupata grant afanye kazi au hata aende nje ya nchi. Huyu amewahi hadi kupeleka proposal ikulu akitafutafuta maisha.

Hawa wapuuzi wanaotutuma halafu wanatupa shilingi elfu 20 ya nauli pamoja na lunch hata mm nimekutana nao. Wapo wengi tu hapa mjini. Nimewahi kuandika proposal kwa makubaliano ya laki 4 lakini nilichezewa mchezo nikaambulia elfu 50 tu. Nimewahi kutengeneza website sikumbulia kitu. Jamaa aliionyesha kwa wadau aliotaka waone hyo website alipopata anachotaka akaitelekeza ikiwa sijaikabidhi (yaani nikiwa sijampa credentials za login).

Ili uamini hauko pabaya, mimi nimekuzd kidogo umri ila sijafka 35.
Sina mke, au mchumba au mwanamke ambaye ninaona tunaweza kujenga maisha pamoja. Wanasumbua tu.
Sina kiwanja.
Sina mradi wowote wa maana kusema unaniingizia kipato cha maana.
Nina mshahara wa mhindi ambao naona unanilemeza niendelee kuishi kwenye mwamvuli wa wazazi wangu. Nawaza niwaache kazi yao.

Cha kufanya, change direction. Nina maana,
Tafuta watu wapya, wenye uchungu na maisha kama wewe na ambao hawataishia kukutmia tu. Nina maana, hyo idea yako ya app ifanye na like-minded people ambao mtasogea pamoja huku mkitafuta support ya kuifanye iwe implemented.

Usiache shughuli za hapa na pale, mfano kutengeneza website. Cha kufanya, be organized. Kuwa na ofisi, kuwa na documentation, fanya branding, halafu jitangaze. Kazi na malipo yake yanakuja according to how you present yourself.

Ondoa watu ambao ni mzigo kwenye maisha yako. Marafiki wasio na machango chanya, mahusiano, mazoea yoyote yasiyo na tija achana nayo. Take control of your life.

Nisikuchoche sana bado yapo mengi sijaandika hapa ila kikubwa jipe moyo bado muda upo, kwa ushauri zaidi karibu sana inbox.
Daaah!!! Umetema madini tu, Safi sana na hayo ndiyo mawazo ambayo Kama vijana tunatakiwa kushirikishana.
Halafu mtu Kama wewe bado upo nje ya system, inasikitishaaa!!!
 
Mkuu... hauko peke yako. Wapo vijana wengi tu wana hiyo hali na wengine wamekata tamaa na kujiingiza kwenye tabia hatarishi ama wengine kujidhuru.

Shukuru MUNGU kwa kuwa una akili timamu mpaka umeona hiyo hali siyo ya kawaida. Mimi kuna mtu namfahamu tangu ana 2011 anajitahidi kutoboa lakini hivi ninavyoongea yupo mkoani amehama dar amejianzishia maisha simple tu mkoani, ana familia na ana furaha. Huyu ninayemtaja hapa ameshaandika proposal kibao, alifungua kampuni, ameshaenda ofisi nyingi hapa dar akitafuta tender, ameshaingia mabalozi kibao kutafuta fursa za kupata grant afanye kazi au hata aende nje ya nchi. Huyu amewahi hadi kupeleka proposal ikulu akitafutafuta maisha.

Hawa wapuuzi wanaotutuma halafu wanatupa shilingi elfu 20 ya nauli pamoja na lunch hata mm nimekutana nao. Wapo wengi tu hapa mjini. Nimewahi kuandika proposal kwa makubaliano ya laki 4 lakini nilichezewa mchezo nikaambulia elfu 50 tu. Nimewahi kutengeneza website sikumbulia kitu. Jamaa aliionyesha kwa wadau aliotaka waone hyo website alipopata anachotaka akaitelekeza ikiwa sijaikabidhi (yaani nikiwa sijampa credentials za login).

Ili uamini hauko pabaya, mimi nimekuzd kidogo umri ila sijafka 35.
Sina mke, au mchumba au mwanamke ambaye ninaona tunaweza kujenga maisha pamoja. Wanasumbua tu.
Sina kiwanja.
Sina mradi wowote wa maana kusema unaniingizia kipato cha maana.
Nina mshahara wa mhindi ambao naona unanilemeza niendelee kuishi kwenye mwamvuli wa wazazi wangu. Nawaza niwaache kazi yao.

Cha kufanya, change direction. Nina maana,
Tafuta watu wapya, wenye uchungu na maisha kama wewe na ambao hawataishia kukutmia tu. Nina maana, hyo idea yako ya app ifanye na like-minded people ambao mtasogea pamoja huku mkitafuta support ya kuifanye iwe implemented.

Usiache shughuli za hapa na pale, mfano kutengeneza website. Cha kufanya, be organized. Kuwa na ofisi, kuwa na documentation, fanya branding, halafu jitangaze. Kazi na malipo yake yanakuja according to how you present yourself.

Ondoa watu ambao ni mzigo kwenye maisha yako. Marafiki wasio na machango chanya, mahusiano, mazoea yoyote yasiyo na tija achana nayo. Take control of your life.

Nisikuchoche sana bado yapo mengi sijaandika hapa ila kikubwa jipe moyo bado muda upo, kwa ushauri zaidi karibu sana inbox.
Thankx brathor umeeleza uwalisia kabisa.. yaan umeongea ktu from experience kabisa..
 
Usiogope mdogo angu.Hiki ndio nimekua niki hold kwenye mind yangu.Hujui utatobolea wap cha msingi chagua jambo moja focus kweny hilo kwa mipango na mikakati huku ukiomba sana Mungu.Unaweza ona jamaa zako wamekupiga gap kimaendelepo (age mates wako) ila mitikas yako ikaja ikajibu kwa "exponential rate" kias kwamba ndan ya mwaka mmoja ukafanya mambo ambayo ume delay kufanya kwa miaka mi 5.
Nakuambia haya kwa experience yangu kabisa yan wala simuongelei mtu hapa.
Nilishakaa sina mwelekeo kwa mwaka m1 kipindi flan ila nikafumania deal ya miez 6 ambayo iliniingizia pesa ambayo sikuwah ipata kwa miaka miwili nilipokua nafanya kazi.

Now at 32 by age, nikaamua sasa acha nianze kujipambania kutengeneza stream yangu ya pesa ya kwangu mimi kama mimi (kwa kutumia skills na proffeaion yangu). Nikiwa sipati kitu hata 10tsh yan nikajipa muda and I started constructing my lifetime project.Ikafikia hatua flan nimeiingiza sokon nikaanza kutafuta wateja..kwa miez 4 ya kwanza nikapata mteja mmoja ananilipa 40k kwa mwez....nikaendelea hivyo hivyo huku nikijifunza skills hasa marketing n sales kushawish wateja waiamin service yangu..kwa kifupi mpaka sasa kaz inaniingizia 250k monthly..bado sikati tamaa and i see this very big picture ahead of me though kazi sio rahis has linapokuja suala la kujitengenezea pesa yako mwenyewe kwa kumshawish mtu akupe hiyo pesa in return for solving their problems or improving their lives / works/buznes...
Imagine am 32 years...But i have this COURAGE kwamba things always worka the best for those who BELIEVE in what they do..Believe in their abilities but mostly believe in God in what they do (optional)..na ni waz naona baada ya miaka michache nita collect more than what i collected kwenye ile deal ya miez 6 nilofanya as i explained above..

work hard ..work smart..never giveupp...do not entertain "lezafea"
Sure
 
Habari zenu binadam wenzangu, wanajamii wenzangu, natumai ni wazima wote.

Swali linalo nisumbua na kunitesa hadi sasa ni kwanini nipo kwenye mfumo wa kuchelewa chelewa sipati jbu.

Umri wa mwanadamu wa kuishi ni miaka 60 tu, na mimi miaka 30 sasa ni Nusu ya umri wa binadam kuishi duniani ila sioni nilichofanya hadi sasa najiona nimechelewa.

Mfano halisi ,baadhi ya sehemu nilizochelewa

Mzee wangu alinipa matumaini makubwa sana ya kusapoti life pindi mafao yatakapo toka(pensheni) ila mafao yake yalipoingia tu akanipiga chini na kunifukuza home kabisa bila sababu za msingi (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Nina miaka 30, ila nina miezi mitatu tu hadi sasa ya kupanga sijawahi kupanga, NIMECHELEWA

Sijawahi kuajiriwa hata siku 1. Ila nimewahi kufanya kazi chuo kikuu ya kurekebisha na kutengeneza vifaa vya maabara mfano kutengeneza test tube, kuripea burrets zilizovunjika kwa muda wa miaka 3 pale chuo kikuu (UDSM) bila malipo. (30yrs now), NIMECHELEWA

Nina majonzi ya kutengeneza app tokea nna miaka 25 ninajfunza tu ninajfunza Ila hazijanipa muelekeo wowote. (30yrs now) NIMECHELEWA

Napenda sana kufanya project zangu mwenyewe lkn Kila nikipanga mipango haitimii kwa wakati, inachelewa sana sana na haijatimia hadi sasa. (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Ndugu Wameanza kunitamkia live, mbele ya sura yangu nioe wameniona ..NIMECHELEWA

Marafiki zangu wote wana watoto kasoro mimi tu, (30yrs now) NIMECHELEWA

Hadi sasa sina mpenzi wakusema huyu nifanye nae life hahaha. (30yrs now) NIMECHELEWA

Miaka 14 imepita tokea nimalize form 4, sioni jambo la msingi nililofanya (30yrs now) NIMECHELEWA

Pesa yangu siielewi inaingia kimazabe zabe, niliwatengenezea watu wawili website, mmoja ni mtu maarufu tu star mkubwa mwenye kanisa lake town hapa ila aliishia kuniahidi tu, mwisho wa siku niliambulia elfu 20 yake kutoka kwenye makubaliano ya 600,000sh nayo alinipa kwa sababu alijistukia kupoteza muda wangu.

Mwingine ametoka kunipa elfu 30 wakati alitakiwa kunipa 500,000 sh na story kibao za kuninyima haki yangu. Miaka 30 nafanya dili dhaifu kama hizi kweli NIMECHELEWA

Almost kila siku tokea mwaka huu uingie nawaza kusafisha nyota ila mwez wa kumi sasa

-------NIMECHELEWA------

Ok huku kuchelewa nakuona sio kwa kawaida

Yoyote Aseme kitu kinaweza kuwa mwanga wa safari yangu.
Mkuu mimi sitaki kuwa mnafiki,kiuhalisia umechelewa na unazidi kuchelewa na sio peke yako ambae unapitia hiyo hali.

Hiyo misemo tu ya life linaanzia 40,sijui Biden kapata uraisi akowa na 78 years na kitu wanachosidwa kukuweka wazi ni kwamba je hao wakiwa na umri kama wako wa sasa je walikua na hali kama yako kimaisha?
Jibu ni hapana,so si rahisi kuvuka hali kama yako ya sasa ikiwa hata kesho yako hujui unaamkaje.
 
Sijaona ukilaumu umechelewa kufa maana wapo wanaokufa chini ya 30yrs.

Jifunze kushukuru kwa yote kuna watu wa umri wako hawana ulivyo navyo wewe na bado Wana matumaini.

Kwa miaka 30 bado kijana kabisa na muda wa kutimiza yote hayo bado upo.

Sijaona sehemu ulipo chelewa ni suala la muda tu mambo yatakuwa powa.
Watu wengi tumekua tukisahau kwamba hata uzima tulio nao ni zawadi tosha toka kwa Mwenyezi Mungu.
 
Kwenye maisha hamna kuchelewa wala kuwahi na kila jambo na majira na wakati wake ka ilivo maandiko, so usihuzunike panga mikakati ya kuvuka kwenda hatua nyingine imagine miaka hyo 30 ni wangapi hawapo duniani ka wewe.

Imagine trump kapata Urais na miaka 70s while Obama alipata Urais kwenye umri wa 50s ka sikosei, Joe biden alijaribu mara nyingi ila amekuja kupata Uraisi mda sahihi kwake huku umri ukiwa mkubwa kabisa.

So usi regret njoo na new strategy za kukuvusha mengine huchelewa kwenye maisha Ili kujifunza na tu grow kwanza ku handle situation. Pia waweza pata mafanikio ghafla lakini ukafariki mapema, tushukuru kwa kila jambo jamani
Hilo la kutochelewa lina maana pana sana.
Mwaka fulani nilihitim kidato cha 4 na ndugu yangu mmoja hivi, tulipohitimu mm nikaenda advance na yule ndugu yangu hakufanikiwa kufaulu akaingia katika mishe mishe, ndani ya hizo mishe mishe akawin sana kimtindo, namaanisha akawa na chenji kwenye account, akajenga nyumba japo hakuweka finishing then akawa na wazo anunue costa ya biashara.


Siku moja akasema atahakikisha anajitahid kufanya vitu vya msingi ili mm nikimaliza chuo nimkute mbali sana, asee kwel vile ninavyorud home hata nauli sina yeye ndo anakuja kunichek, ananichukua kwa pikipiki yake yale makubwa honda na kunizungusha hapa na pale.

Kusema ukwel yale maneno na matokeo yake yalikuwa yananiumiza kichwa sana hadi naona elimu ninayokoma nayo napoteza muda, ila nikajipa moyo kwamba ngoja nimalize kisha niingie kitaa labda mambo yatakuwa sawa.

Anyway nikamaliza chuo nikaanza mishe mishe.

Baada ya miaka 3 baadae jamaa mambo yakaanza kuwa sio, yani hata buku ngumu kuiona. Hapo mishe plus ka ajira vikaanza kuonesha matunda kwa upande wangu.
Kwa kifupi nikaja nikawa vizuri zaidi alipokuwa.

1. Nilipenda vile tulikuwa tunafanya vitu kwa kuwaziana yani niwe mbele zaidi ya mtu fulani, huu ushindani mm huwa naupenda sababu unaleta hamasa na kukupa mood utafute zaidi.

2. Nimetaka kukupa funzo ww mkuu, unayeona leo yuko vzr zaid yako endelea kutafuta zaidi itafika mahala unampita kabisa na unakuwa mbele ya usukani.

Cha muhimu weka juhudi katika kutafuta, weka malengo ya mwaka, mwka na nusu miaka 2. Kisha huo muda ukifika fanya tathmin uone umefika wap na ulifeli wap na usahihishe wapi.

Umri wako ni umri wa kuchukua maamuzi magumu ta kukubadilisha, ila ukweli mwingine mbaya ukivuka huo umri hapo mbele kidogo unafuatia umri wa kuogopa risk, kupuuza vitu, kuogopa kushtakiwa, kufa n.k

Hapo mbele ndio pana umri wa kusema zile kauli

a). Wewe si wakongwe miaka mingi hilo swala haliwezekani na hutaliweza

b). Wewe hiyo hela bora upeleke kanisan usubirie maajabu (magics)

c). Ww unataka kufanya hicho, unajua makato ya serikali, unajua serikali itakufilisi n.k

Mafanikio mema kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu binadam wenzangu, wanajamii wenzangu, natumai ni wazima wote.

Swali linalo nisumbua na kunitesa hadi sasa ni kwanini nipo kwenye mfumo wa kuchelewa chelewa sipati jbu.

Umri wa mwanadamu wa kuishi ni miaka 60 tu, na mimi miaka 30 sasa ni Nusu ya umri wa binadam kuishi duniani ila sioni nilichofanya hadi sasa najiona nimechelewa.

Mfano halisi ,baadhi ya sehemu nilizochelewa

Mzee wangu alinipa matumaini makubwa sana ya kusapoti life pindi mafao yatakapo toka(pensheni) ila mafao yake yalipoingia tu akanipiga chini na kunifukuza home kabisa bila sababu za msingi (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Nina miaka 30, ila nina miezi mitatu tu hadi sasa ya kupanga sijawahi kupanga, NIMECHELEWA

Sijawahi kuajiriwa hata siku 1. Ila nimewahi kufanya kazi chuo kikuu ya kurekebisha na kutengeneza vifaa vya maabara mfano kutengeneza test tube, kuripea burrets zilizovunjika kwa muda wa miaka 3 pale chuo kikuu (UDSM) bila malipo. (30yrs now), NIMECHELEWA

Nina majonzi ya kutengeneza app tokea nna miaka 25 ninajfunza tu ninajfunza Ila hazijanipa muelekeo wowote. (30yrs now) NIMECHELEWA

Napenda sana kufanya project zangu mwenyewe lkn Kila nikipanga mipango haitimii kwa wakati, inachelewa sana sana na haijatimia hadi sasa. (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Ndugu Wameanza kunitamkia live, mbele ya sura yangu nioe wameniona ..NIMECHELEWA

Marafiki zangu wote wana watoto kasoro mimi tu, (30yrs now) NIMECHELEWA

Hadi sasa sina mpenzi wakusema huyu nifanye nae life hahaha. (30yrs now) NIMECHELEWA

Miaka 14 imepita tokea nimalize form 4, sioni jambo la msingi nililofanya (30yrs now) NIMECHELEWA

Pesa yangu siielewi inaingia kimazabe zabe, niliwatengenezea watu wawili website, mmoja ni mtu maarufu tu star mkubwa mwenye kanisa lake town hapa ila aliishia kuniahidi tu, mwisho wa siku niliambulia elfu 20 yake kutoka kwenye makubaliano ya 600,000sh nayo alinipa kwa sababu alijistukia kupoteza muda wangu.

Mwingine ametoka kunipa elfu 30 wakati alitakiwa kunipa 500,000 sh na story kibao za kuninyima haki yangu. Miaka 30 nafanya dili dhaifu kama hizi kweli NIMECHELEWA

Almost kila siku tokea mwaka huu uingie nawaza kusafisha nyota ila mwez wa kumi sasa

-------NIMECHELEWA------

Ok huku kuchelewa nakuona sio kwa kawaida

Yoyote Aseme kitu kinaweza kuwa mwanga wa safari yangu.
Mzee mpili katoboa ana 70+ sasa umechelewa nn? YESU anakaa kwao na anakula kwa baba na
alipokuja Kujitegemea dunian waja wakamletea zengwe akaona isiwe tabu akarudi kwao na anamiaka zaidi ya 2000, we ndo kwanza una 30 hujachelewa popoma kaza
 
Hilo la kutochelewa lina maana pana sana.
Mwaka fulani nilihitim kidato cha 4 na ndugu yangu mmoja hivi, tulipohitimu mm nikaenda advance na yule ndugu yangu hakufanikiwa kufaulu akaingia katika mishe mishe, ndani ya hizo mishe mishe akawin sana kimtindo, namaanisha akawa na chenji kwenye account, akajenga nyumba japo hakuweka finishing then akawa na wazo anunue costa ya biashara.


Siku moja akasema atahakikisha anajitahid kufanya vitu vya msingi ili mm nikimaliza chuo nimkute mbali sana, asee kwel vile ninavyorud home hata nauli sina yeye ndo anakuja kunichek, ananichukua kwa pikipiki yake yale makubwa honda na kunizungusha hapa na pale.

Kusema ukwel yale maneno na matokeo yake yalikuwa yananiumiza kichwa sana hadi naona elimu ninayokoma nayo napoteza muda, ila nikajipa moyo kwamba ngoja nimalize kisha niingie kitaa labda mambo yatakuwa sawa.

Anyway nikamaliza chuo nikaanza mishe mishe.

Baada ya miaka 3 baadae jamaa mambo yakaanza kuwa sio, yani hata buku ngumu kuiona. Hapo mishe plus ka ajira vikaanza kuonesha matunda kwa upande wangu.
Kwa kifupi nikaja nikawa vizuri zaidi alipokuwa.

1. Nilipenda vile tulikuwa tunafanya vitu kwa kuwaziana yani niwe mbele zaidi ya mtu fulani, huu ushindani mm huwa naupenda sababu unaleta hamasa na kukupa mood utafute zaidi.

2. Nimetaka kukupa funzo ww mkuu, unayeona leo yuko vzr zaid yako endelea kutafuta zaidi itafika mahala unampita kabisa na unakuwa mbele ya usukani.

Cha muhimu weka juhudi katika kutafuta, weka malengo ya mwaka, mwka na nusu miaka 2. Kisha huo muda ukifika fanya tathmin uone umefika wap na ulifeli wap na usahihishe wapi.

Umri wako ni umri wa kuchukua maamuzi magumu ta kukubadilisha, ila ukweli mwingine mbaya ukivuka huo umri hapo mbele kidogo unafuatia umri wa kuogopa risk, kupuuza vitu, kuogopa kushtakiwa, kufa n.k

Hapo mbele ndio pana umri wa kusema zile kauli

a). Wewe si wakongwe miaka mingi hilo swala haliwezekani na hutaliweza

b). Wewe hiyo hela bora upeleke kanisan usubirie maajabu (magics)

c). Ww unataka kufanya hicho, unajua makato ya serikali, unajua serikali itakufilisi n.k

Mafanikio mema kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kaka umeongea vzuri
 
Hakuna kitu kuchelewa na kuishi mpaka 60 unaweza ishi 80 au 90
 
Habari zenu binadam wenzangu, wanajamii wenzangu, natumai ni wazima wote.

Swali linalo nisumbua na kunitesa hadi sasa ni kwanini nipo kwenye mfumo wa kuchelewa chelewa sipati jbu.

Umri wa mwanadamu wa kuishi ni miaka 60 tu, na mimi miaka 30 sasa ni Nusu ya umri wa binadam kuishi duniani ila sioni nilichofanya hadi sasa najiona nimechelewa.

Mfano halisi ,baadhi ya sehemu nilizochelewa

Mzee wangu alinipa matumaini makubwa sana ya kusapoti life pindi mafao yatakapo toka(pensheni) ila mafao yake yalipoingia tu akanipiga chini na kunifukuza home kabisa bila sababu za msingi (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Nina miaka 30, ila nina miezi mitatu tu hadi sasa ya kupanga sijawahi kupanga, NIMECHELEWA

Sijawahi kuajiriwa hata siku 1. Ila nimewahi kufanya kazi chuo kikuu ya kurekebisha na kutengeneza vifaa vya maabara mfano kutengeneza test tube, kuripea burrets zilizovunjika kwa muda wa miaka 3 pale chuo kikuu (UDSM) bila malipo. (30yrs now), NIMECHELEWA

Nina majonzi ya kutengeneza app tokea nna miaka 25 ninajfunza tu ninajfunza Ila hazijanipa muelekeo wowote. (30yrs now) NIMECHELEWA

Napenda sana kufanya project zangu mwenyewe lkn Kila nikipanga mipango haitimii kwa wakati, inachelewa sana sana na haijatimia hadi sasa. (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Ndugu Wameanza kunitamkia live, mbele ya sura yangu nioe wameniona ..NIMECHELEWA

Marafiki zangu wote wana watoto kasoro mimi tu, (30yrs now) NIMECHELEWA

Hadi sasa sina mpenzi wakusema huyu nifanye nae life hahaha. (30yrs now) NIMECHELEWA

Miaka 14 imepita tokea nimalize form 4, sioni jambo la msingi nililofanya (30yrs now) NIMECHELEWA

Pesa yangu siielewi inaingia kimazabe zabe, niliwatengenezea watu wawili website, mmoja ni mtu maarufu tu star mkubwa mwenye kanisa lake town hapa ila aliishia kuniahidi tu, mwisho wa siku niliambulia elfu 20 yake kutoka kwenye makubaliano ya 600,000sh nayo alinipa kwa sababu alijistukia kupoteza muda wangu.

Mwingine ametoka kunipa elfu 30 wakati alitakiwa kunipa 500,000 sh na story kibao za kuninyima haki yangu. Miaka 30 nafanya dili dhaifu kama hizi kweli NIMECHELEWA

Almost kila siku tokea mwaka huu uingie nawaza kusafisha nyota ila mwez wa kumi sasa

-------NIMECHELEWA------

Ok huku kuchelewa nakuona sio kwa kawaida

Yoyote Aseme kitu kinaweza kuwa mwanga wa safari yangu.
Majibu yako humu!
 
Zawaya maisha ya kwanza ni kuishi , mungu amekupa uhai na afya yako sasa unaishi.

La pili , jiamin utoke nyumbn ukaanzishe kaz zako ndogo ndogo hope ndio sehemu ya kuanzia

Never lose Hope.
 
Miaka mitatu uliyopoteza hapo ud ungeenda kubeba zege ungepata zaidi ya milioni 2..


Hata hivyo hujachelewa bado
Ni kweli ila kuna baadhi ya matukio katika maisha huwezi ukayazuia .. kwa sababu yanakuwa yana dalili ya kubeba hatma ya maisha yako kama yakienda kama inavyo takiwa ila yakipinda tu unajikuta umepoteza direction ya maisha k
 
Ni kweli ila kuna baadhi ya matukio katika maisha huwezi ukayazuia .. kwa sababu yanakuwa yana dalili ya kubeba hatma ya maisha yako kama yakienda kama inavyo takiwa ila yakipinda tu unajikuta umepoteza direction ya maisha k
Kwel kabisa
 
Back
Top Bottom