Kuchelewa kwangu kunanitisha sana

Kuchelewa kwangu kunanitisha sana

Unaanzaje kuoa wakat hata ww pesa ya kula haikutosh... kwang mm haiko sawa.. mkuu.. mtoto wa watu yuko ndan na ww hujui pesa unaenda kuipata wap ... kuna mda uwoga n akili ya kujpanga
UsiendekeA uwoga

Endekeza vipaumbele vyako ni vipi

Mfano mimi format yangu lazima nifanye Jambo moja Kisha lingine

Siwezi rukia rukia mambo halafu yaje yaishie njiani

Fanya moja kwa wakati mmoja Kisha hamia lingine

Safari huanzisha nyingine utafanikiwa sana na marufuku kuishia njiani
 
Kosa kubwa tunafanya wabongo ni muda wote kutafuta maisha badala ya kuishi, ukiamuwa kuishi maisha ni burudani tu.
Dah umeandika point yenye mashiko mno most of the time Watanzania tunatafta maisha na kusahau kuishi na ku enjoy life, most tunafikiria kuwa maisha ni kuwa na hela,majumbo n.k kumbe ukipata hichi utataka kitu kingine, maisha ni haya haya tuishi na tufurahi as if kesho haipo tena kwetu, kipindi niko jobless nilikuwa najiambia nikipata kazi nzuri nitakuwa na furaha baada ya kuipata zikatokea changamoto nyingine.
N. B tukumbuke kuishi na kufurahia maisha kuliko kukimbizana na material things na kusahau kuishi
 
Mtu kama wewe upate nafasi sehemu nyeti zenye upenyo wa kupiga, miaka mitatu tu utasikia ana ghorofa huko salasala, sijui Mbezi...

Take your time, sisi watu wazima tumekuzidi sana lakini bado huwezi kuhesabu mafanikio yoyote.
 
Dah umeandika point yenye mashiko mno most of the time Watanzania tunatafta maisha na kusahau kuishi na ku enjoy life, most tunafikiria kuwa maisha ni kuwa na hela,majumbo n.k kumbe ukipata hichi utataka kitu kingine, maisha ni haya haya tuishi na tufurahi as if kesho haipo tena kwetu, kipindi niko jobless nilikuwa najiambia nikipata kazi nzuri nitakuwa na furaha baada ya kuipata zikatokea changamoto nyingine.
N. B tukumbuke kuishi na kufurahia maisha kuliko kukimbizana na material things na kusahau kuishi
Hapo ndio ugomvi wangu na wife ulipo, sitaki kuwa mtumwa wa maisha nahitaji kurelax,

Nyumba nzuri ya kuishi ipo, asset kiasi chake watoto wanakula ada ndefu mashuleni kwao still bado mtu anataka akuingize kwenye mambo ya kujenga usawa huu hapana kwakweli.

Hawa watoto wa sasa kama unaivest peea nyingi kwenye elimu yao na isije kuwasaidia basi hata ukijitesa kuwaachia asset nyingi hazitowasaidia kamwe, sanasana wataishia kuuza tu.
 
Hakuna kitu kinaitwa kuchelewa au kuwahi wewe kijana...

Ni kwamba tu umekuwa ukikutana na watu, au vitu, au mazingira ambayo bado hayajawa sahihi kwa mafanikio yako...
 
Na ukicheza utagonga 40 huna hata godoro [emoji1][emoji1]
Kifupi haupo peke yako, enjoymaisha yako na kile kidogo ulichonacho ukianza kujifananisha na wengine ni mwanzo wa kufa kwa stress.
Kwa Tanzania watu waliotafuta pesa kiuhalali, huwezi kutobowa ukiwa under 40.

Kuna mzee wangu ni mhadhiri wa Udsm nyumba anayoishi ni ya ghorofa la kisasa lakini amelijenga kwa miaka 20 mpaka kukamilika, ujana wake wote ameishi kwenye nyumba za chuo mpaka amemaliza ghorofa lake ndio kahama nyumba ya chuo.
 
Bado hujachelewa acha kucompare maisha yako na wengine we pambana ,pia tafuta mwanamke oa utakua siras na maisha
 
Hapo ndio ugomvi wangu na wife ulipo, sitaki kuwa mtumwa wa maisha nahitaji kurelax,

Nyumba nzuri ya kuishi ipo, asset kiasi chake watoto wanakula ada ndefu mashuleni kwao still bado mtu anataka akuingize kwenye mambo ya kujenga usawa huu hapana kwakweli.

Hawa watoto wa sasa kama unaivest peea nyingi kwenye elimu yao na isije kuwasaidia basi hata ukijitesa kuwaachia asset nyingi hazitowasaidia kamwe, sanasana wataishia kuuza tu.
Wife wako hajui purpose ya life kuwa ni ku enjoy life tayari mnapo pakulala na mna watoto mnasomesha plus investment kadhaa why stressing much rather than enjoying life?
Mkumbuke kuishi na kuwa Leo ni njema kuliko kesho usiyo ijua
 
SI Bora ungenitengenezea Mimi app nikupe hata laki Moja duh ila asee yaani amekupa 20000,30000 tu halafu Ni ma star...wakati mm kapuku ningekuwezesha nyingi Zaidi pole Sana ndo maana naonaga Bora mtu ufanye kazi na maskini kuliko na matajiri maana Wana dharau hawalipi madeni

Miaka 30 mbona huna tofauti na Mimi 28.

Sina mke
Sina mtoto
Sina mchumba

Bht nzuri tu Mimi Nimefanikiwa kuingia Serikali mwaka huu pole tusikate tamaa, tutafute mademu wa vijijini ndo rahisi kuwazalisha Hawa wa mjini cum a Nina zao
Ndio una mpango wa kugombea na ubunge,pambana
 
A
Habari zenu binadam wenzangu, wanajamii wenzangu, natumai ni wazima wote.

Swali linalo nisumbua na kunitesa hadi sasa ni kwanini nipo kwenye mfumo wa kuchelewa chelewa sipati jbu.

Umri wa mwanadamu wa kuishi ni miaka 60 tu, na mimi miaka 30 sasa ni Nusu ya umri wa binadam kuishi duniani ila sioni nilichofanya hadi sasa najiona nimechelewa.

Mfano halisi ,baadhi ya sehemu nilizochelewa

Mzee wangu alinipa matumaini makubwa sana ya kusapoti life pindi mafao yatakapo toka(pensheni) ila mafao yake yalipoingia tu akanipiga chini na kunifukuza home kabisa bila sababu za msingi (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Nina miaka 30, ila nina miezi mitatu tu hadi sasa ya kupanga sijawahi kupanga, NIMECHELEWA

Sijawahi kuajiriwa hata siku 1. Ila nimewahi kufanya kazi chuo kikuu ya kurekebisha na kutengeneza vifaa vya maabara mfano kutengeneza test tube, kuripea burrets zilizovunjika kwa muda wa miaka 3 pale chuo kikuu (UDSM) bila malipo. (30yrs now), NIMECHELEWA

Nina majonzi ya kutengeneza app tokea nna miaka 25 ninajfunza tu ninajfunza Ila hazijanipa muelekeo wowote. (30yrs now) NIMECHELEWA

Napenda sana kufanya project zangu mwenyewe lkn Kila nikipanga mipango haitimii kwa wakati, inachelewa sana sana na haijatimia hadi sasa. (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Ndugu Wameanza kunitamkia live, mbele ya sura yangu nioe wameniona ..NIMECHELEWA

Marafiki zangu wote wana watoto kasoro mimi tu, (30yrs now) NIMECHELEWA

Hadi sasa sina mpenzi wakusema huyu nifanye nae life hahaha. (30yrs now) NIMECHELEWA

Miaka 14 imepita tokea nimalize form 4, sioni jambo la msingi nililofanya (30yrs now) NIMECHELEWA

Pesa yangu siielewi inaingia kimazabe zabe, niliwatengenezea watu wawili website, mmoja ni mtu maarufu tu star mkubwa mwenye kanisa lake town hapa ila aliishia kuniahidi tu, mwisho wa siku niliambulia elfu 20 yake kutoka kwenye makubaliano ya 600,000sh nayo alinipa kwa sababu alijistukia kupoteza muda wangu.

Mwingine ametoka kunipa elfu 30 wakati alitakiwa kunipa 500,000 sh na story kibao za kuninyima haki yangu. Miaka 30 nafanya dili dhaifu kama hizi kweli NIMECHELEWA

Almost kila siku tokea mwaka huu uingie nawaza kusafisha nyota ila mwez wa kumi sasa

-------NIMECHELEWA------

Ok huku kuchelewa nakuona sio kwa kawaida

Yoyote Aseme kitu kinaweza kuwa mwanga wa safari yangu.
All in all UMECHELEWA
 
Wife wako hajui purpose ya life kuwa ni ku enjoy life tayari mnapo pakulala na mna watoto mnasomesha plus investment kadhaa why stressing much rather than enjoying life?
Mkumbuke kuishi na kuwa Leo ni njema kuliko kesho usiyo ijua
Watu wengi wanacomplicate sana maisha, halafu hapohapo kuna mpumbavu anapata ujasili wa kusema huna akili eti!! [emoji1][emoji1]

Umaskini wa akili ni kitu kibaya sana kuliko mali, ukicheck mfumo wa wenzentu mshahara wanalipa kila ijumaa kwa sababu wanaamini unastahili kuwa na weekend nzuri, ndio chimbuko la msemo wa have a nice weekend unapewa check yako au bahasha na ukirudi jumatatu ni blue Monday mnaanza upya.

Katika style ya namna hii huwezi kuwa msindikizaji kwenye maisha, unaenjoy life every weekend.
 
Pambana bongo life n ngumu sana mm aliekua ananipa ushauri ye mwenyewe alijinyonga nikabak mm niliekata tamaa kwahiyo maisha hayanaga mwenyewe yakiamua kukuchenjia yanakuchezeshea bakora ujana wako wote na kukuacha uyafaidi uzeeni, au uyafaidi ujanani na uteseke uzeeni au yakucharaze bakora mwanzo mwisho japo wapo wanaoishi vizuri mwanzo mwisho haya yote kaandaliwa mwanadamu ndo maana mwsho wa siku kuna kifo kwa wote pale ndo usawa unarudi ila dunian hakuna usawa Cha msingi tufanye kaz kwa bidii na tumuombe Mungu.
Asipokuelewa hapa basi hata kaa aelewe, cha msingi asikate tamaa,kuna watu wanasema life start at 40
 
HUJACHELEWA,

Ni nani aliyekwambia, "UMECHELEWA"?

Hatua ya kwanza ya mafanikio ni kutoka nyumbani.

Aliyekuumba ana "MAKUSUDIO" makubwa juu ya yako kwa kuanza maisha wakati huu.

KUTOKA 4:2 "BWANA akamwambia Musa, Ni nini hiyo uliyonayo mkononi? Musa, Akamwambia, Ni "FIMBO" "?

Wewe una nini mkononi mwako kama "FIMBO" kwa sasa?

Ulichonacho mkononi mwako kitumie kama "FIMBO" kwa sasa. HAPO NDIYO MAHALI PA KUANZIA KWAKO.

Je, Kwangu mimi ipi ilikuwa "FIMBO" yangu wakati naanza maisha? MAEMBE.

Sikuwa na KAZI, AJIRA, wala SHUGHULI iwayo yoyote wakati namaliza shule.

Nikatoka nyumbani nikachume "MAEMBE" kwenye miti nikajaza ndoo kubwa (ya lita 20) ili niende kuyauza kwa wakulima.

Pale nilipochuma MAEMBE kuna jirani mmoja wa kike akaniomba EMBE MOJA wakati naondoka.

SWALI, Jirani yule, ana MIEMBE zaidi ya KUMI (10) ya MAEMBE tena yako karibu, "kwa nini aliniomba EMBE moja tu wakati yamejaa pale pale kwake?"

Akachukua EMBE moja akala, akaniuliza, "Kuna kazi nikikuunganishia utaweza kuifanya"?
Ikawaje?
 
Habari zenu binadam wenzangu, wanajamii wenzangu, natumai ni wazima wote.

Swali linalo nisumbua na kunitesa hadi sasa ni kwanini nipo kwenye mfumo wa kuchelewa chelewa sipati jbu.

Umri wa mwanadamu wa kuishi ni miaka 60 tu, na mimi miaka 30 sasa ni Nusu ya umri wa binadam kuishi duniani ila sioni nilichofanya hadi sasa najiona nimechelewa.

Mfano halisi ,baadhi ya sehemu nilizochelewa

Mzee wangu alinipa matumaini makubwa sana ya kusapoti life pindi mafao yatakapo toka(pensheni) ila mafao yake yalipoingia tu akanipiga chini na kunifukuza home kabisa bila sababu za msingi (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Nina miaka 30, ila nina miezi mitatu tu hadi sasa ya kupanga sijawahi kupanga, NIMECHELEWA

Sijawahi kuajiriwa hata siku 1. Ila nimewahi kufanya kazi chuo kikuu ya kurekebisha na kutengeneza vifaa vya maabara mfano kutengeneza test tube, kuripea burrets zilizovunjika kwa muda wa miaka 3 pale chuo kikuu (UDSM) bila malipo. (30yrs now), NIMECHELEWA

Nina majonzi ya kutengeneza app tokea nna miaka 25 ninajfunza tu ninajfunza Ila hazijanipa muelekeo wowote. (30yrs now) NIMECHELEWA

Napenda sana kufanya project zangu mwenyewe lkn Kila nikipanga mipango haitimii kwa wakati, inachelewa sana sana na haijatimia hadi sasa. (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Ndugu Wameanza kunitamkia live, mbele ya sura yangu nioe wameniona ..NIMECHELEWA

Marafiki zangu wote wana watoto kasoro mimi tu, (30yrs now) NIMECHELEWA

Hadi sasa sina mpenzi wakusema huyu nifanye nae life hahaha. (30yrs now) NIMECHELEWA

Miaka 14 imepita tokea nimalize form 4, sioni jambo la msingi nililofanya (30yrs now) NIMECHELEWA

Pesa yangu siielewi inaingia kimazabe zabe, niliwatengenezea watu wawili website, mmoja ni mtu maarufu tu star mkubwa mwenye kanisa lake town hapa ila aliishia kuniahidi tu, mwisho wa siku niliambulia elfu 20 yake kutoka kwenye makubaliano ya 600,000sh nayo alinipa kwa sababu alijistukia kupoteza muda wangu.

Mwingine ametoka kunipa elfu 30 wakati alitakiwa kunipa 500,000 sh na story kibao za kuninyima haki yangu. Miaka 30 nafanya dili dhaifu kama hizi kweli NIMECHELEWA

Almost kila siku tokea mwaka huu uingie nawaza kusafisha nyota ila mwez wa kumi sasa

-------NIMECHELEWA------

Ok huku kuchelewa nakuona sio kwa kawaida

Yoyote Aseme kitu kinaweza kuwa mwanga wa safari yangu.
Nimechelewa tu kuandika hii article ila umesahau kuniambia.baro na muda wa mafanikio mfupi.pambana
 
Watu wengi wanacomplicate sana maisha, halafu hapohapo kuna mpumbavu anapata ujasili wa kusema huna akili eti!! [emoji1][emoji1]

Umaskini wa akili ni kitu kibaya sana kuliko mali, ukicheck mfumo wa wenzentu mshahara wanalipa kila ijumaa kwa sababu wanaamini unastahili kuwa na weekend nzuri, ndio chimbuko la msemo wa have a nice weekend unapewa check yako au bahasha na ukirudi jumatatu ni blue Monday mnaanza upya.

Katika style ya namna hii huwezi kuwa msindikizaji kwenye maisha, unaenjoy life every weekend.
I agree with you sema mifumo tu ya life huku hata utendaji wa kazi na masilahi hayaeleweki sana
 
Back
Top Bottom