Kuchelewa kwangu kunanitisha sana

Kuchelewa kwangu kunanitisha sana

Pole sana mkuu, ulivyokuwa unaandika nikahisi unaniandika mimi kabsa maana ulichondika ndyo Maisha yangu mimi na umri wangu ni hvyo hvyo.

Sina mchumba, sina kazi, sina asset yeyote Ila bado sijakata tamaa. Wadogo zangu wanafamilia zao na watoto Ila mimi naamini kuwa wao ni tofauti na mimi.

Pamoja na nilivyo siachi kupanga yajayo.

See you at the top
 
Mkuu inaonekana una uthubutu sana wa kujaribu mambo na hicho ndicho kitu cha msingi.
Katika maisha hakuna aliyewahi au aliyechelewa ni uthubutu na maisha ni bahati ma nasibu ipo siku utalamba Dume.
 
kwenye maisha hakuna kuwahi wala kuchelewa,kila jambo ni kwa muda wake na Mungu ndio hujua jambo gani na atupe kwa muda upi.

Hao unaowafanyia kazi uwe unaandikishana nao au kabla ya kuwafanyia kazi wawe wanakulipa 50% ya gharama na ukimaliza kazi zao wanamalizia 50% iliyobaki.

Mfano mmoja ni Biden amekua Rais wa USA akiwa na umri wa miaka 78

Babu wa Loliondo alitoboa uzeeni,
Mzee mpili kapata umaarufu uzeeni
Pierre liquid katoboa uzeeni...

Enjoy ur life bro,usisubiri kukamilisha jambo fulani ndio uwe na furaha,uhai wenyewe ni zawadi tosha kabisa,

Good luck Brother.
Huu msemo wa hakuna kuchelewa..... Acha tu. Inauma Sana kuona mtu ipo 30+ hakuna asset ya kutegemea. Upoupo tu, dili hazishikiki
 
Mkuu nakushauri uoe, maybe nyota yako haitaki kufikia lengo alone. Ukioa akili itakuwa na ubunifu zaid ya kulalama,
 
Huu msemo wa hakuna kuchelewa..... Acha tu. Inauma Sana kuona mtu ipo 30+ hakuna asset ya kutegemea. Upoupo tu, dili hazishikiki
Umeona eeeenh ... kuna ktu knanong'oneza kabisa kuna mambo hayako sawa haiwezekan Kijana 30 bado unaona malue lue..
 
Mkuu inaonekana una uthubutu sana wa kujaribu mambo na hicho ndicho kitu cha msingi.
Katika maisha hakuna aliyewahi au aliyechelewa ni uthubutu na maisha ni bahati ma nasibu ipo siku utalamba Dume.
Amina... mkuu nashukuru
 
Mkuu nakushauri uoe, maybe nyota yako haitaki kufikia lengo alone. Ukioa akili itakuwa na ubunifu zaid ya kulalama,
Unaanzaje kuoa wakat hata ww pesa ya kula haikutosh... kwang mm haiko sawa.. mkuu.. mtoto wa watu yuko ndan na ww hujui pesa unaenda kuipata wap ... kuna mda uwoga n akili ya kujpanga
 
Habari zenu binadam wenzangu, wanajamii wenzangu, natumai ni wazima wote.

Swali linalo nisumbua na kunitesa hadi sasa ni kwanini nipo kwenye mfumo wa kuchelewa chelewa sipati jbu.

Umri wa mwanadamu wa kuishi ni miaka 60 tu, na mimi miaka 30 sasa ni Nusu ya umri wa binadam kuishi duniani ila sioni nilichofanya hadi sasa najiona nimechelewa.

Mfano halisi ,baadhi ya sehemu nilizochelewa

Mzee wangu alinipa matumaini makubwa sana ya kusapoti life pindi mafao yatakapo toka(pensheni) ila mafao yake yalipoingia tu akanipiga chini na kunifukuza home kabisa bila sababu za msingi (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Nina miaka 30, ila nina miezi mitatu tu hadi sasa ya kupanga sijawahi kupanga, NIMECHELEWA

Sijawahi kuajiriwa hata siku 1. Ila nimewahi kufanya kazi chuo kikuu ya kurekebisha na kutengeneza vifaa vya maabara mfano kutengeneza test tube, kuripea burrets zilizovunjika kwa muda wa miaka 3 pale chuo kikuu (UDSM) bila malipo. (30yrs now), NIMECHELEWA

Nina majonzi ya kutengeneza app tokea nna miaka 25 ninajfunza tu ninajfunza Ila hazijanipa muelekeo wowote. (30yrs now) NIMECHELEWA

Napenda sana kufanya project zangu mwenyewe lkn Kila nikipanga mipango haitimii kwa wakati, inachelewa sana sana na haijatimia hadi sasa. (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Ndugu Wameanza kunitamkia live, mbele ya sura yangu nioe wameniona ..NIMECHELEWA

Marafiki zangu wote wana watoto kasoro mimi tu, (30yrs now) NIMECHELEWA

Hadi sasa sina mpenzi wakusema huyu nifanye nae life hahaha. (30yrs now) NIMECHELEWA

Miaka 14 imepita tokea nimalize form 4, sioni jambo la msingi nililofanya (30yrs now) NIMECHELEWA

Pesa yangu siielewi inaingia kimazabe zabe, niliwatengenezea watu wawili website, mmoja ni mtu maarufu tu star mkubwa mwenye kanisa lake town hapa ila aliishia kuniahidi tu, mwisho wa siku niliambulia elfu 20 yake kutoka kwenye makubaliano ya 600,000sh nayo alinipa kwa sababu alijistukia kupoteza muda wangu.

Mwingine ametoka kunipa elfu 30 wakati alitakiwa kunipa 500,000 sh na story kibao za kuninyima haki yangu. Miaka 30 nafanya dili dhaifu kama hizi kweli NIMECHELEWA

Almost kila siku tokea mwaka huu uingie nawaza kusafisha nyota ila mwez wa kumi sasa

-------NIMECHELEWA------

Ok huku kuchelewa nakuona sio kwa kawaida

Yoyote Aseme kitu kinaweza kuwa mwanga wa safari yangu.
Laizer katoboa miaka 52
 
Pole sana mkuu, ulivyokuwa unaandika nikahisi unaniandika mimi kabsa maana ulichondika ndyo Maisha yangu mimi na umri wangu ni hvyo hvyo.

Sina mchumba, sina kazi, sina asset yeyote Ila bado sijakata tamaa. Wadogo zangu wanafamilia zao na watoto Ila mimi naamini kuwa wao ni tofauti na mimi.

Pamoja na nilivyo siachi kupanga yajayo.

See you at the top
Tupeane pole mkuu... na tuendelea kusoma mashauli ya wenzetu naamin tutapata mwanga ...
 
kwenye maisha hakuna kuwahi wala kuchelewa,kila jambo ni kwa muda wake na Mungu ndio hujua jambo gani na atupe kwa muda upi.

Hao unaowafanyia kazi uwe unaandikishana nao au kabla ya kuwafanyia kazi wawe wanakulipa 50% ya gharama na ukimaliza kazi zao wanamalizia 50% iliyobaki.

Mfano mmoja ni Biden amekua Rais wa USA akiwa na umri wa miaka 78

Babu wa Loliondo alitoboa uzeeni,
Mzee mpili kapata umaarufu uzeeni
Pierre liquid katoboa uzeeni...

Enjoy ur life bro,usisubiri kukamilisha jambo fulani ndio uwe na furaha,uhai wenyewe ni zawadi tosha kabisa,

Good luck Brother.
Ujumbe mzito kwake, ni dhambi kukata tamaa kabla hujafa, uhai ni utajiri tosha, kikubwa ni kuongeza juhudi mambo yatakua poa tu.
 
Kiongozi kitu cha kwanza shukuru Mungu kwa pumzi uliyopewa.., usione umechelewa Mungu ni mwaminifu hutoa fungu kwa wakati sahihi, si vyema kutoa mifano hii ila ni uhalisia
i. wangapi wametoka mbali na wenza wao pindi muda wa kuoa ulipofika wakapoteza wenza wao?
ii. wangapi walikua na familia zao lakini ghafla zimepotea kwa sababu mbalimbali na wamejikuta wanaanza upya..

Kamwe usijilinganishe na wengine kumbuka watu wana connection, wamerithi toka kwenye kampuni za wazazi ndugu na kadhalika.. angalia wewe kama wewe unajiandaa vipi na maisha yajayo.. je watoto wako wapitie maisha kama yako? watembee na bahasha mkononi nk? andaa mazingira rafiki.. kwako na kizazi chako.. kuhusu kutoboa ni suala la muda tu weka nia kwenye kidogo ulichonacho jenga urafiki zaidi na jamii ilokuzunguka usiangalie kwenye mafanikio ya haraka sana anza mdogo mdogo ipo siku itabaki kuwa historia... kuna misemo mingi sana "life begins at 35, life begins at 45 whatever..."

Akili za kuambiwa changanya na zako, mwombe sana Mungu wako ipo siku mkuu ipo siku..
Umenena vzuri kaka
 
Habari zenu binadam wenzangu, wanajamii wenzangu, natumai ni wazima wote.

Swali linalo nisumbua na kunitesa hadi sasa ni kwanini nipo kwenye mfumo wa kuchelewa chelewa sipati jbu.

Umri wa mwanadamu wa kuishi ni miaka 60 tu, na mimi miaka 30 sasa ni Nusu ya umri wa binadam kuishi duniani ila sioni nilichofanya hadi sasa najiona nimechelewa.

Mfano halisi ,baadhi ya sehemu nilizochelewa

Mzee wangu alinipa matumaini makubwa sana ya kusapoti life pindi mafao yatakapo toka(pensheni) ila mafao yake yalipoingia tu akanipiga chini na kunifukuza home kabisa bila sababu za msingi (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Nina miaka 30, ila nina miezi mitatu tu hadi sasa ya kupanga sijawahi kupanga, NIMECHELEWA

Sijawahi kuajiriwa hata siku 1. Ila nimewahi kufanya kazi chuo kikuu ya kurekebisha na kutengeneza vifaa vya maabara mfano kutengeneza test tube, kuripea burrets zilizovunjika kwa muda wa miaka 3 pale chuo kikuu (UDSM) bila malipo. (30yrs now), NIMECHELEWA

Nina majonzi ya kutengeneza app tokea nna miaka 25 ninajfunza tu ninajfunza Ila hazijanipa muelekeo wowote. (30yrs now) NIMECHELEWA

Napenda sana kufanya project zangu mwenyewe lkn Kila nikipanga mipango haitimii kwa wakati, inachelewa sana sana na haijatimia hadi sasa. (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Ndugu Wameanza kunitamkia live, mbele ya sura yangu nioe wameniona ..NIMECHELEWA

Marafiki zangu wote wana watoto kasoro mimi tu, (30yrs now) NIMECHELEWA

Hadi sasa sina mpenzi wakusema huyu nifanye nae life hahaha. (30yrs now) NIMECHELEWA

Miaka 14 imepita tokea nimalize form 4, sioni jambo la msingi nililofanya (30yrs now) NIMECHELEWA

Pesa yangu siielewi inaingia kimazabe zabe, niliwatengenezea watu wawili website, mmoja ni mtu maarufu tu star mkubwa mwenye kanisa lake town hapa ila aliishia kuniahidi tu, mwisho wa siku niliambulia elfu 20 yake kutoka kwenye makubaliano ya 600,000sh nayo alinipa kwa sababu alijistukia kupoteza muda wangu.

Mwingine ametoka kunipa elfu 30 wakati alitakiwa kunipa 500,000 sh na story kibao za kuninyima haki yangu. Miaka 30 nafanya dili dhaifu kama hizi kweli NIMECHELEWA

Almost kila siku tokea mwaka huu uingie nawaza kusafisha nyota ila mwez wa kumi sasa

-------NIMECHELEWA------

Ok huku kuchelewa nakuona sio kwa kawaida

Yoyote Aseme kitu kinaweza kuwa mwanga wa safari yangu.
Hakuna msiba usiokuwa na mwinzie

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
yaani kwa kifupi UMECHELEWA punguani wahed wewe, umekaa kwenu unasubiri mafao ya dingi yako? Hovyo kabisa
 
Watoto wanaokufa kila siku hospitaini wamefikisha miaka 60?!
Kifo ni another story ,sijawah ona post ya mfu humu ndani..

Mungu ni samehe ..kama nakufuru ila nashukuru ni mzima sasa ndan ya uzima wang ni kwer kunausahihi wa maisha ninayoishi au hakuna tofaut na hao wafu .. astakufulah ...

Sidhan kama n sahihi mtu wa miaka 30 kumpa value ya mtoto under 18...

Kla miaka inamajukum yake... na yanatakiwa kukamilishwa

Umri wa kucheza mpira wa makalatasi ushapita

Sasa nko 30 ila shida sina sifa..
 
Tatizo jamaa anakata tamaa mapema

Hapa juzi kati nilikuwa Nina kazi mgumu sana ya kuifanya muda haunitoshi,nachoks kazi yenyewe silipwi na lazima niifanye yaani must

Nilikuwa nalala saa 8 usiku na kuamka saa 11 kuendesha kibaruani

Kazi ilipaswa itimie ndani ya mwezi mmoja nimepewa deadline

Kuna kipindi hapo kati nikasema "aaah mi bwana siifanyi waaamue watakalo"

Nilikaa wiki nzima sijagusa PC nalala tu wiki inayofata nikaendelea na hio

Just imagine nikamaliza on time safi kabisa

Jamaa wakaikubali kazi

Juzi nawaza sasa Kama ningeipiga chini si ningeoneka mzembe sana

Kumbe ukikata tamaa huwezi fanikisha kitu chochote katika hii dunia

KOMAAA unajua KOMAAA aisee ukianza kitu usiishie njiani hasa kama kuna tija umeiona

Hii ndio falsafa yangu siku hizi ni kukomaa mwanzo mwisho
Nmekuelewa sana mkuu
 
Back
Top Bottom