Kuchelewa kwangu kunanitisha sana

Kuchelewa kwangu kunanitisha sana

Mbona husemi " mpaka sasa nimepoteza marafiki 4 kwa vifo vya ghafla lakini mimi bado nakula tu sifi, NIMECHELEWA".
ahahahahah
pole ndugu, dunia ni sehemu isiyo na usawa na ni sehemu ya kikatili sana.
 
Wewe pia inaonekana bado mdogo, huwajui wanawake.

Mwanamke anaweza kufurahi na kuchat fresh na watu baki akirudi home anambadirishia sura mwenza wake.

Ni vile tu Tanzania ndoa siyo swala la wanandoa wawili limekaa kiokoo zaidi, lakini tungekuwa free kama wazungu bila kuwaza watasemaje, watanifikiriaje, ndugu zangu nitawaambia nini, basi nakuhakikishia 50% ya ndoa zilizopo watu wangeshadivorce, ndoa nyingi ziko ICU, zinaendelea kuwepo kwa sababu batili tu wala hazina mashiko.
kuna ukweli inawekana kabagua sana ni mtu wa uchagni kuna siku mwenzie naye alisema sitaki watu wa nyumbani anataka eti mwanume mjanja wa dar😀😀😀
 
wewe bado kijana mdogo sana, piga kazi - utajiri huja kuanzia 45 +
 
Habari zenu binadam wenzangu, wanajamii wenzangu , natumai ni wazima wote....

Swali linalo nisumbua na kunitesa hadi sasa ni kwanini nipo kwenye mfumo wa kuchelewa chelewa sipati jbu.

Umri wa mwanadamu wa kuishi ni miaka 60 tu, na mimi miaka 30 sasa ni Nusu ya umri wa binadam kuishi duniani ila sioni nilichofanya hadi sasa najiona nimechelewa.

Mfano halisi ,baadhi ya sehemu nilizochelewa

Mzee wangu alinipa matumaini makubwa sana ya kusapoti life pindi mafao yatakapo toka(pensheni) ila mafao yake yalipoingia tu akanipiga chini na kunifukuza home kabisa bila sababu za msingi... (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Nina miaka 30, ila nina miezi mitatu tu hadi sasa ya kupanga sijawahi kupanga... NIMECHELEWA

Sijawahi kuajiriwa hata siku 1. Ila nimewahi kufanya kazi chuo kikuu ya kurekebisha na kutengeneza vifaa vya maabara mfano kutengeneza test tube, kuripea burrets zilizovunjika kwa muda wa miaka 3 pale chuo kikuu (UDSM) bila malipo. (30yrs now)NIMECHELEWA

Nina majonzi ya kutengeneza app tokea nna miaka 25 ninajfunza tu ninajfunza Ila hazijanipa muelekeo wowote .. (30yrs now) NIMECHELEWA

Napenda sana kufanya project zangu mwenyewe lkn Kila nikipanga mipango haitimii kwa wakati, inachelewa sana sana na haijatimia hadi sasa ..(30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Ndugu Wameanza kunitamkia live, mbele ya sura yangu nioe wameniona ..NIMECHELEWA

Marafiki zangu wote wana watoto kasoro mimi tu .. (30yrs now) NIMECHELEWA

Hadi sasa sina mpenzi wakusema huyu nifanye nae life hahaha.. (30yrs now) NIMECHELEWA

Miaka 14 imepita tokea nimalize form 4, sioni jambo la msingi nililofanya (30yrs now) NIMECHELEWA

Pesa yangu siielewi inaingia kimazabe zabe,
niliwatengenezea watu wawili website, mmoja ni mtu maarufu tu star mkubwa mwenye kanisa lake town hapa ila aliishia kuniahidi tu, mwisho wa siku niliambulia elfu 20 yake kutoka kwenye makubaliano ya 600,000sh nayo alinipa kwa sababu alijistukia kupoteza muda wangu

Mwingine ametoka kunipa elfu 30 wakati alitakiwa kunipa 500,000 sh na story kibao za kuninyima haki yangu.
Miaka 30 nafanya dili dhaifu kama hizi kweli NIMECHELEWA

Almost kila siku tokea mwaka huu uingie nawaza kusafisha nyota...ila mwez wa kumi sasa ..

-----------------NIMECHELEWA----------------

Ok huku kuchelewa nakuona sio kwa kawaida

Yoyote Aseme kitu kinaweza kuwa mwanga wa safari yangu...
Sidhani kama umechelewa, kawaida tuu. Kumbuka kutangulia sio kufika. Wakati wako haujafika tuu.
 
Kwenye maisha hamna kuchelewa wala kuwahi na kila jambo na majira na wakati wake ka ilivo maandiko, so usihuzunike panga mikakati ya kuvuka kwenda hatua nyingine imagine miaka hyo 30 ni wangapi hawapo duniani ka wewe.

Imagine trump kapata Urais na miaka 70s while Obama alipata Urais kwenye umri wa 50s ka sikosei, Joe biden alijaribu mara nyingi ila amekuja kupata Uraisi mda sahihi kwake huku umri ukiwa mkubwa kabisa.

So usi regret njoo na new strategy za kukuvusha mengine huchelewa kwenye maisha Ili kujifunza na tu grow kwanza ku handle situation. Pia waweza pata mafanikio ghafla lakini ukafariki mapema, tushukuru kwa kila jambo jamani
Obama alikuwa na 47
 
Habari zenu binadam wenzangu, wanajamii wenzangu , natumai ni wazima wote....

Swali linalo nisumbua na kunitesa hadi sasa ni kwanini nipo kwenye mfumo wa kuchelewa chelewa sipati jbu.

Umri wa mwanadamu wa kuishi ni miaka 60 tu, na mimi miaka 30 sasa ni Nusu ya umri wa binadam kuishi duniani ila sioni nilichofanya hadi sasa najiona nimechelewa.

Mfano halisi ,baadhi ya sehemu nilizochelewa

Mzee wangu alinipa matumaini makubwa sana ya kusapoti life pindi mafao yatakapo toka(pensheni) ila mafao yake yalipoingia tu akanipiga chini na kunifukuza home kabisa bila sababu za msingi... (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Nina miaka 30, ila nina miezi mitatu tu hadi sasa ya kupanga sijawahi kupanga... NIMECHELEWA

Sijawahi kuajiriwa hata siku 1. Ila nimewahi kufanya kazi chuo kikuu ya kurekebisha na kutengeneza vifaa vya maabara mfano kutengeneza test tube, kuripea burrets zilizovunjika kwa muda wa miaka 3 pale chuo kikuu (UDSM) bila malipo. (30yrs now)NIMECHELEWA

Nina majonzi ya kutengeneza app tokea nna miaka 25 ninajfunza tu ninajfunza Ila hazijanipa muelekeo wowote .. (30yrs now) NIMECHELEWA

Napenda sana kufanya project zangu mwenyewe lkn Kila nikipanga mipango haitimii kwa wakati, inachelewa sana sana na haijatimia hadi sasa ..(30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Ndugu Wameanza kunitamkia live, mbele ya sura yangu nioe wameniona ..NIMECHELEWA

Marafiki zangu wote wana watoto kasoro mimi tu .. (30yrs now) NIMECHELEWA

Hadi sasa sina mpenzi wakusema huyu nifanye nae life hahaha.. (30yrs now) NIMECHELEWA

Miaka 14 imepita tokea nimalize form 4, sioni jambo la msingi nililofanya (30yrs now) NIMECHELEWA

Pesa yangu siielewi inaingia kimazabe zabe,
niliwatengenezea watu wawili website, mmoja ni mtu maarufu tu star mkubwa mwenye kanisa lake town hapa ila aliishia kuniahidi tu, mwisho wa siku niliambulia elfu 20 yake kutoka kwenye makubaliano ya 600,000sh nayo alinipa kwa sababu alijistukia kupoteza muda wangu

Mwingine ametoka kunipa elfu 30 wakati alitakiwa kunipa 500,000 sh na story kibao za kuninyima haki yangu.
Miaka 30 nafanya dili dhaifu kama hizi kweli NIMECHELEWA

Almost kila siku tokea mwaka huu uingie nawaza kusafisha nyota...ila mwez wa kumi sasa ..

-----------------NIMECHELEWA----------------

Ok huku kuchelewa nakuona sio kwa kawaida

Yoyote Aseme kitu kinaweza kuwa mwanga wa safari yangu...
Life begins at 40 dogo.. don't sweat the small stuff
 
Kwenye maisha hamna kuchelewa wala kuwahi na kila jambo na majira na wakati wake ka ilivo maandiko, so usihuzunike panga mikakati ya kuvuka kwenda hatua nyingine imagine miaka hyo 30 ni wangapi hawapo duniani ka wewe.

Imagine trump kapata Urais na miaka 70s while Obama alipata Urais kwenye umri wa 50s ka sikosei, Joe biden alijaribu mara nyingi ila amekuja kupata Uraisi mda sahihi kwake huku umri ukiwa mkubwa kabisa.

So usi regret njoo na new strategy za kukuvusha mengine huchelewa kwenye maisha Ili kujifunza na tu grow kwanza ku handle situation. Pia waweza pata mafanikio ghafla lakini ukafariki mapema, tushukuru kwa kila jambo jamani
Wakati Obama ana miaka 60 ni rais mstaa aliehudumu vipindi viwili

Biden ana miaka 78 ndio kwanza first years

Jamaa anaona kachelewa sana

Kwakifupi ana pressure kutoka na maisha ya watu

Peer pressure

Aachane na maisha ya watu just minding his business.

Halafu asiwe mtu wa kukata tamaa mapema

Popote kwenye haki ya aipiganie ikiwezekana akichafue

Asiwe mnyonge akufa kifala
 
@cariha kipenzi tolea mifano wabongo wenzako wazungu sio wenzetu kabisaa [emoji16][emoji16][emoji16]
Mifano ya kibongo Iko kwa watu ninao wafahamu ila nikiwatolea mfano itakuwa ngumu kueleweka kina trump, Biden wanajulikana na kila mtu so ni easier watu kuelewa, pia hata ukiamua kufanya vitu Kwa ku force na kuwa desperate kama mda sahihi haujafika hautoboi wallah
 
Wakati Obama ana miaka 60 ni rais mstaa aliehudumu vipindi viwili

Biden ana miaka 78 ndio kwanza first years

Jamaa anaona kachelewa sana

Kwakifupi ana pressure kutoka na maisha ya watu

Peer pressure

Aachane na maisha ya watu just minding his business.

Halafu asiwe mtu wa kukata tamaa mapema

Popote kwenye haki ya aipiganie ikiwezekana akichafue

Asiwe mnyonge akufa kifala
I agree with you na Kuna watu ni wachapa kazi na wabunifu ila still wana struggle tu, so kujiona umechelewa ndio kujitia nuksi ya kuzidi kuchelewa
 
Mifano ya kibongo Iko kwa watu ninao wafahamu ila nikiwatolea mfano itakuwa ngumu kueleweka kina trump, Biden wanajulikana na kila mtu so ni easier watu kuelewa, pia hata ukiamua kufanya vitu Kwa ku force na kuwa desperate kama mda sahihi haujafika hautoboi wallah
Kosa kubwa tunafanya wabongo ni muda wote kutafuta maisha badala ya kuishi, ukiamuwa kuishi maisha ni burudani tu.
 
Mkuu... hauko peke yako. Wapo vijana wengi tu wana hiyo hali na wengine wamekata tamaa na kujiingiza kwenye tabia hatarishi ama wengine kujidhuru.

Shukuru MUNGU kwa kuwa una akili timamu mpaka umeona hiyo hali siyo ya kawaida. Mimi kuna mtu namfahamu tangu ana 2011 anajitahidi kutoboa lakini hivi ninavyoongea yupo mkoani amehama dar amejianzishia maisha simple tu mkoani, ana familia na ana furaha. Huyu ninayemtaja hapa ameshaandika proposal kibao, alifungua kampuni, ameshaenda ofisi nyingi hapa dar akitafuta tender, ameshaingia mabalozi kibao kutafuta fursa za kupata grant afanye kazi au hata aende nje ya nchi. Huyu amewahi hadi kupeleka proposal ikulu akitafutafuta maisha.

Hawa wapuuzi wanaotutuma halafu wanatupa shilingi elfu 20 ya nauli pamoja na lunch hata mm nimekutana nao. Wapo wengi tu hapa mjini. Nimewahi kuandika proposal kwa makubaliano ya laki 4 lakini nilichezewa mchezo nikaambulia elfu 50 tu. Nimewahi kutengeneza website sikumbulia kitu. Jamaa aliionyesha kwa wadau aliotaka waone hyo website alipopata anachotaka akaitelekeza ikiwa sijaikabidhi (yaani nikiwa sijampa credentials za login).

Ili uamini hauko pabaya, mimi nimekuzd kidogo umri ila sijafka 35.
Sina mke, au mchumba au mwanamke ambaye ninaona tunaweza kujenga maisha pamoja. Wanasumbua tu.
Sina kiwanja.
Sina mradi wowote wa maana kusema unaniingizia kipato cha maana.
Nina mshahara wa mhindi ambao naona unanilemeza niendelee kuishi kwenye mwamvuli wa wazazi wangu. Nawaza niwaache kazi yao.

Cha kufanya, change direction. Nina maana,
Tafuta watu wapya, wenye uchungu na maisha kama wewe na ambao hawataishia kukutmia tu. Nina maana, hyo idea yako ya app ifanye na like-minded people ambao mtasogea pamoja huku mkitafuta support ya kuifanye iwe implemented.

Usiache shughuli za hapa na pale, mfano kutengeneza website. Cha kufanya, be organized. Kuwa na ofisi, kuwa na documentation, fanya branding, halafu jitangaze. Kazi na malipo yake yanakuja according to how you present yourself.

Ondoa watu ambao ni mzigo kwenye maisha yako. Marafiki wasio na machango chanya, mahusiano, mazoea yoyote yasiyo na tija achana nayo. Take control of your life.

Nisikuchoche sana bado yapo mengi sijaandika hapa ila kikubwa jipe moyo bado muda upo, kwa ushauri zaidi karibu sana inbox.
Tatizo jamaa anakata tamaa mapema

Hapa juzi kati nilikuwa Nina kazi mgumu sana ya kuifanya muda haunitoshi,nachoks kazi yenyewe silipwi na lazima niifanye yaani must

Nilikuwa nalala saa 8 usiku na kuamka saa 11 kuendesha kibaruani

Kazi ilipaswa itimie ndani ya mwezi mmoja nimepewa deadline

Kuna kipindi hapo kati nikasema "aaah mi bwana siifanyi waaamue watakalo"

Nilikaa wiki nzima sijagusa PC nalala tu wiki inayofata nikaendelea na hio

Just imagine nikamaliza on time safi kabisa

Jamaa wakaikubali kazi

Juzi nawaza sasa Kama ningeipiga chini si ningeoneka mzembe sana

Kumbe ukikata tamaa huwezi fanikisha kitu chochote katika hii dunia

KOMAAA unajua KOMAAA aisee ukianza kitu usiishie njiani hasa kama kuna tija umeiona

Hii ndio falsafa yangu siku hizi ni kukomaa mwanzo mwisho
 
Kama kuna mtu amekuambua bhas naomba nisisitize. Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi. Kwahiyo hujachelewa mwaya. Wakati wako tu, bado.
 
Tatizo jamaa anakata tamaa mapema

Hapa juzi kati nilikuwa Nina kazi mgumu sana ya kuifanya muda haunitoshi,nachoks kazi yenyewe silipwi na lazima niifanye yaani must

Nilikuwa nalala saa 8 usiku na kuamka saa 11 kuendesha kibaruani

Kazi ilipaswa itimie ndani ya mwezi mmoja nimepewa deadline

Kuna kipindi hapo kati nikasema "aaah mi bwana siifanyi waaamue watakalo"

Nilikaa wiki nzima sijagusa PC nalala tu wiki inayofata nikaendelea na hio

Just imagine nikamaliza on time safi kabisa

Jamaa wakaikubali kazi

Juzi nawaza sasa Kama ningeipiga chini si ningeoneka mzembe sana

Kumbe ukikata tamaa huwezi fanikisha kitu chochote katika hii dunia

KOMAAA unajua KOMAAA aisee ukianza kitu usiishie njiani hasa kama kuna tija umeiona

Hii ndio falsafa yangu siku hizi ni kukomaa mwanzo mwisho
Haya ndio maneno. Ukikata tamaa ama ukisema haiwezkani bhas inabaki hivyo hivyo.

Mm nimeshahangaika sana kutafuta maisha ingawa sijafka napotaka lakini nimekuwa stronger, brighter and better.

Big up brother hatuna namna zaidi ya kukomaa.

Tuko pamoja
 
Habari zenu binadam wenzangu, wanajamii wenzangu, natumai ni wazima wote.

Swali linalo nisumbua na kunitesa hadi sasa ni kwanini nipo kwenye mfumo wa kuchelewa chelewa sipati jbu.

Umri wa mwanadamu wa kuishi ni miaka 60 tu, na mimi miaka 30 sasa ni Nusu ya umri wa binadam kuishi duniani ila sioni nilichofanya hadi sasa najiona nimechelewa.

Mfano halisi ,baadhi ya sehemu nilizochelewa

Mzee wangu alinipa matumaini makubwa sana ya kusapoti life pindi mafao yatakapo toka(pensheni) ila mafao yake yalipoingia tu akanipiga chini na kunifukuza home kabisa bila sababu za msingi (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Nina miaka 30, ila nina miezi mitatu tu hadi sasa ya kupanga sijawahi kupanga, NIMECHELEWA

Sijawahi kuajiriwa hata siku 1. Ila nimewahi kufanya kazi chuo kikuu ya kurekebisha na kutengeneza vifaa vya maabara mfano kutengeneza test tube, kuripea burrets zilizovunjika kwa muda wa miaka 3 pale chuo kikuu (UDSM) bila malipo. (30yrs now), NIMECHELEWA

Nina majonzi ya kutengeneza app tokea nna miaka 25 ninajfunza tu ninajfunza Ila hazijanipa muelekeo wowote. (30yrs now) NIMECHELEWA

Napenda sana kufanya project zangu mwenyewe lkn Kila nikipanga mipango haitimii kwa wakati, inachelewa sana sana na haijatimia hadi sasa. (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Ndugu Wameanza kunitamkia live, mbele ya sura yangu nioe wameniona ..NIMECHELEWA

Marafiki zangu wote wana watoto kasoro mimi tu, (30yrs now) NIMECHELEWA

Hadi sasa sina mpenzi wakusema huyu nifanye nae life hahaha. (30yrs now) NIMECHELEWA

Miaka 14 imepita tokea nimalize form 4, sioni jambo la msingi nililofanya (30yrs now) NIMECHELEWA

Pesa yangu siielewi inaingia kimazabe zabe, niliwatengenezea watu wawili website, mmoja ni mtu maarufu tu star mkubwa mwenye kanisa lake town hapa ila aliishia kuniahidi tu, mwisho wa siku niliambulia elfu 20 yake kutoka kwenye makubaliano ya 600,000sh nayo alinipa kwa sababu alijistukia kupoteza muda wangu.

Mwingine ametoka kunipa elfu 30 wakati alitakiwa kunipa 500,000 sh na story kibao za kuninyima haki yangu. Miaka 30 nafanya dili dhaifu kama hizi kweli NIMECHELEWA

Almost kila siku tokea mwaka huu uingie nawaza kusafisha nyota ila mwez wa kumi sasa

-------NIMECHELEWA------

Ok huku kuchelewa nakuona sio kwa kawaida

Yoyote Aseme kitu kinaweza kuwa mwanga wa safari yangu.
yesu mwenyewe alianza kazi aliyoagizwa alipofikisha miaka 30 miaka hiyo mingine yote alikuwa anabuy time tu...hapo wewe ndo unaanza buddy jipange upyaaa sasa...
 
Habari zenu binadam wenzangu, wanajamii wenzangu, natumai ni wazima wote.

Swali linalo nisumbua na kunitesa hadi sasa ni kwanini nipo kwenye mfumo wa kuchelewa chelewa sipati jbu.

Umri wa mwanadamu wa kuishi ni miaka 60 tu, na mimi miaka 30 sasa ni Nusu ya umri wa binadam kuishi duniani ila sioni nilichofanya hadi sasa najiona nimechelewa.

Mfano halisi ,baadhi ya sehemu nilizochelewa

Mzee wangu alinipa matumaini makubwa sana ya kusapoti life pindi mafao yatakapo toka(pensheni) ila mafao yake yalipoingia tu akanipiga chini na kunifukuza home kabisa bila sababu za msingi (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Nina miaka 30, ila nina miezi mitatu tu hadi sasa ya kupanga sijawahi kupanga, NIMECHELEWA

Sijawahi kuajiriwa hata siku 1. Ila nimewahi kufanya kazi chuo kikuu ya kurekebisha na kutengeneza vifaa vya maabara mfano kutengeneza test tube, kuripea burrets zilizovunjika kwa muda wa miaka 3 pale chuo kikuu (UDSM) bila malipo. (30yrs now), NIMECHELEWA

Nina majonzi ya kutengeneza app tokea nna miaka 25 ninajfunza tu ninajfunza Ila hazijanipa muelekeo wowote. (30yrs now) NIMECHELEWA

Napenda sana kufanya project zangu mwenyewe lkn Kila nikipanga mipango haitimii kwa wakati, inachelewa sana sana na haijatimia hadi sasa. (30yrs now) NIMECHELEWA

Sasa Ndugu Wameanza kunitamkia live, mbele ya sura yangu nioe wameniona ..NIMECHELEWA

Marafiki zangu wote wana watoto kasoro mimi tu, (30yrs now) NIMECHELEWA

Hadi sasa sina mpenzi wakusema huyu nifanye nae life hahaha. (30yrs now) NIMECHELEWA

Miaka 14 imepita tokea nimalize form 4, sioni jambo la msingi nililofanya (30yrs now) NIMECHELEWA

Pesa yangu siielewi inaingia kimazabe zabe, niliwatengenezea watu wawili website, mmoja ni mtu maarufu tu star mkubwa mwenye kanisa lake town hapa ila aliishia kuniahidi tu, mwisho wa siku niliambulia elfu 20 yake kutoka kwenye makubaliano ya 600,000sh nayo alinipa kwa sababu alijistukia kupoteza muda wangu.

Mwingine ametoka kunipa elfu 30 wakati alitakiwa kunipa 500,000 sh na story kibao za kuninyima haki yangu. Miaka 30 nafanya dili dhaifu kama hizi kweli NIMECHELEWA

Almost kila siku tokea mwaka huu uingie nawaza kusafisha nyota ila mwez wa kumi sasa

-------NIMECHELEWA------

Ok huku kuchelewa nakuona sio kwa kawaida

Yoyote Aseme kitu kinaweza kuwa mwanga wa safari yangu.
Kiongozi kitu cha kwanza shukuru Mungu kwa pumzi uliyopewa.., usione umechelewa Mungu ni mwaminifu hutoa fungu kwa wakati sahihi, si vyema kutoa mifano hii ila ni uhalisia
i. wangapi wametoka mbali na wenza wao pindi muda wa kuoa ulipofika wakapoteza wenza wao?
ii. wangapi walikua na familia zao lakini ghafla zimepotea kwa sababu mbalimbali na wamejikuta wanaanza upya..

Kamwe usijilinganishe na wengine kumbuka watu wana connection, wamerithi toka kwenye kampuni za wazazi ndugu na kadhalika.. angalia wewe kama wewe unajiandaa vipi na maisha yajayo.. je watoto wako wapitie maisha kama yako? watembee na bahasha mkononi nk? andaa mazingira rafiki.. kwako na kizazi chako.. kuhusu kutoboa ni suala la muda tu weka nia kwenye kidogo ulichonacho jenga urafiki zaidi na jamii ilokuzunguka usiangalie kwenye mafanikio ya haraka sana anza mdogo mdogo ipo siku itabaki kuwa historia... kuna misemo mingi sana "life begins at 35, life begins at 45 whatever..."

Akili za kuambiwa changanya na zako, mwombe sana Mungu wako ipo siku mkuu ipo siku..
 
Haya ndio maneno. Ukikata tamaa ama ukisema haiwezkani bhas inabaki hivyo hivyo.

Mm nimeshahangaika sana kutafuta maisha ingawa sijafka napotaka lakini nimekuwa stronger, brighter and better.

Big up brother hatuna namna zaidi ya kukomaa.

Tuko pamoja
Komaa mpaka kielweke

Kukata tamaa mwiko
 
Back
Top Bottom