Kucheleweshwa kwa Mkopo World Bank: Tumkemee Zitto Kabwe kwa pamoja

Kucheleweshwa kwa Mkopo World Bank: Tumkemee Zitto Kabwe kwa pamoja

Watu wenye njaa na uchu wa madaraka hatukuwahi kuwa na akili ya ziada - siku zote tumeelekeza matamanio ya madaraka ili kukidhi mahitaji ya kifamilia.

God and time
 
Elia F Michael,

Tuache theory tuongee fact kidogo. Juzi nimepeleka mwanangu kidato cha kwanza, ktk maongezi yetu juu ya changamoto zinazowakabili wa sasa wanapewa ruzuku ya tshs 600,000. kwa shule yenye wanafunnzi 2400, manake kila mwanafunzi anapata 250.
 
Sasa yeye kama kaiomba Benki Kuu ya Dunia kuahirisha kuipa Tanzania Dollar Milion 500 za Mkopo, wewe kama unaona hakufanya vizuri, husituambie sisi humu JF.

Kama unajiamini, na unaona unauwezo, basi waandikie Benki ya Dunia kukanusha habari hizo, na uwaambie Zitto kasema uongo, hivyo watoe huo msaada/mkopo.
Sasa baada ya kuandika na zuio ndo amepata faida gani? Sisi Watanzania tunaipeleka nchi yetu motoni sisi sisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwandishi ni mfurukutwa na mkereketwa umejaa nyongo na chuki binafsi dhidi ya wenzako. Unatema cheche as if hizo pesa zinakuja moja kwa moja kustawisha familia yako binafsi.

Looh shame


Everyday is Saturday................😎
 
Elia F Michael,

Jamaa hiv mungu angehalalisha zinaa ingejuaje kwanza mnatakiwa mjue Zito apo anataka serekal iruhusu kuvunja amri ya mungu ya kwamba msizin ila Zito anataka serekal iruhusu hiv ni Nan asie jua kwamba mtoto asipo kemewa na kuachwa ataaribika Zito alitaka serekal iseme wazi kwamba mwanafunzi akibeba mimba akizaa arud shule unafikir ingekua na athar kias Gan ni Sawa itangazwe kwamba nyie fanyen mapenz tu dawa ya ukimw ipo unafikir dunia ingekua imefikia wap au ni mzaz Gan ambae anapenda mwanae atiwe mimba wakat bado ni mwanafunzi na zitto alitakiwa ajue kwamba katika malez ya mtoto huwez mwambia mwanangu ukifanya Ich takurekebisha alafu maisha yataendelea kwa sababu ilo ni kosa ila mzaz inatakiwa umwambie mwanao ukifanya Ich takuchapa ili kumuwekea woga ili asifanye na Ata akifanya iwe bahat mbaya sio kumuacha tu ukiruusu mtoto abebe mimba kwamba akisha zaa arud shule unafikir baada ya kua mzaz anaweza Tena kurud shule watu tunakaa mitaan tunaona akisha zaa mabint walio weng ndio bas Tena tusidanganyane.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni nani alisema hatasomesha wajawazito?Zitto amekosea wapi
 
Zitto again! Hivi ndivyo alivyo. Mwenye macho naambiwa tazama
 
Mh. Zitto Zuberi Kabwe aanze kuwekewa ulinzi imara, naona ya Mh. Tundu Lissu yanaweza kujirudia tena kupitia kauli ya kisingizio cha mapambano ya kiuchumi wasaliti ni lazima washughulikiwe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndio maana Snowden ameenda Russia. Maana US wanampenda sana
 
Siungi mkono kuzuiliwa mkopo, ila mwandishi hajajenga hoja za kuonrmesha Zito ni muongo na badala yake anaunga mkono hoja za Zito bila kujijua. Sina hakika kama ameelewa kilichoandikwa. Z
 
[QUOTE="Elia F Michael,

Kwani pesa za ndani hazitoshi?
 
watz mna matazo sana sijuw mnataka muuongozwaje tu,!!!yani mazur yote rais anafanya lakin mtu anabeza jaman hebu tufikilie sana juu ya swala ka la zito ni labkipuuz sana na mtu huyu ni wakuogopa ka ukoma kwa kwel.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyo rais ana miliki miradi gani ya kumpatia kipato cha kufanya ayo unayo yasema. Tupe elimu kidogo maana ata Forbes ya mwaka jana sijamuona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom