Kucheleweshwa kwa Mkopo World Bank: Tumkemee Zitto Kabwe kwa pamoja

Kucheleweshwa kwa Mkopo World Bank: Tumkemee Zitto Kabwe kwa pamoja

Mdogo wangua Elia umejitahidi kuokoteza hoja ili uonekane upo na unakipigania chama chako kipya.
Ukweli ni kuwa watanzania sio wajinga hasa hawa wanaoshinda Jamii forums.

Kila Mwana Jamii forums anayo video ya Rais akionya kuwa hakuana binti atakaepata mimba aendelee na shule.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Elia unapata wapi mamlaka ya kumsemea Mh Rais,hotuba yake mbona ipo mtandao Wa YOUTUBE?

Unaweza kumjibu Zitto Kabwe kwa hoja zingine,sio kukanusha alichokisema Rais Magufuli .



Sent using Jamii Forums mobile app
 
badala kujiuliza MEKO atarudi lini kwao
Mbona anashinda huko?
Hata Christmas alikuwa huko muda mrefu hadi Mzee wa pembe za Ndovu akadai anaogopa kurudi Dar.
Alikuwa hajui ile ni namba nyingine - Haiogopi mtu.
Barrick wenyewe wamenywea.
ACACIA na kibaraka wao Tundu wamebaki wameduwaa.
Hakuna cha MIGA wala kudaiwa mabilioni. badala yake ni mwendo wa 16% na fiftyfifty.
USALITI mbaya!
 
Sina chakuchangia kwa ulichoandika,
yangu ni haya Umehamia ccm baada ya kuona huwezi kuishinda which is a Wise decision kwa mtaka madaraka yeyote awamu hii, sasa nilichotazamia ni uwe na mtazamo either wakiccm (kiitikadi) or ujitahidi kuleta mabadiliko ndani ya ccm. Kinyume chake umekuwa msemaji wa ccm sasa unapayuka wenye ccm yao hawakuelewi wapinzani wanakuona kituko unadhidi kujiaibisha kila ukiongea shame on you
 
Sina chakuchangia kwa ulichoandika,
yangu ni haya Umehamia ccm baada ya kuona huwezi kuishinda which is a Wise decision kwa mtaka madaraka yeyote awamu hii, sasa nilichotazamia ni uwe na mtazamo either wakiccm (kiitikadi) or ujitahidi kuleta mabadiliko ndani ya ccm. Kinyume chake umekuwa msemaji wa ccm sasa unapayuka wenye ccm yao hawakuelewi wapinzani wanakuona kituko unadhidi kujiaibisha kila ukiongea shame on you
 
1.Miaka ya 2005 zito alipambana sana kuhusu mikataba ya midini hadi wakina karamagi wakatolewa. Baadaye akaula kuwa mwenyekiti wa Pac pamoja na Cheyo akipewa kamati ya laac. Baadaye kipindi cha makinda hizi kamati ya cheyo na zito ziliungana lakini bado uenyekiti akapewa Zito. Nani yupo nyuma yake.

2. Zito alituhumiwa na wenzake chadema kuwahujumu na kuwasaliti japo sikuamini lakini kipindi hiko kuliibuka urafiki mkubwa kati ya Zito na Zoka (boss wa kitengo masuala ya siasa)..Zito na Jk(urafiki wa siri). Zito na Makinda. Zito na Dau. Zito na Msechu. Zito na January Makamba..zito na mwigulu..Wale wote ambao Waliokuwa wanampigania zito walilamba vyeo serikalini. Kuna kijana km Mwampamba..Juliana Shonza.. KITILA. Mama Anna wa kilimanjaro wote wapo serikalini. Je zito ni nani?

3. Mapema baada ya Rais kuapishwa Zito alimsifia sana Rais. Gafla Zito akabadilika. Mwaka 2017 Zito alikuwa mtu wa kwanza kutweet suala la ndege kushikiliwa Canada..Lisu akaitisha press akiwa na Zito..majanga yakampata Lisu. Lisu alikuwa kila siku akihudhuria mahakamani kwa kumkosoa bwana mkubwa. Zito ameisema sana Serikali hii kuwa ni ya washamba..mara gangstar..Siri zote za serikali anatupa yeye..mfano ndege kukamatwa south..canada..kesi ya mkulima..n.k but lini Zito umeona akisumbuliwa. Je zito ni nani?

4. Leo tumeona barua ambayo Zito na watu kadhaa wameandika barua World bank kuhusu tanzania kunyimwa msaada wa billion 500 kusaidia masuala ya elimu..umeona response ya mkuu wa nchi amesema tuwapuuzeni tu hao.
Ingekuwa ndiyo Lisu kaandika pangechimbika...Je Zito ni nani?

Kwa upande wangu Zito ni mtoto wao na wanampromote kutuaminisha sisi na wale wa nje kuna demokrasia Tanzania. Na 2020 Zito ndiyo atakuwa Kub bungeni..kule zanzibar atapata wabunge wengi plus yeye huku bara italazimishwa chadema watangazwe wachache ili wasimpiku Zito. Hii moviea chadema wanajua ndiyo maana wanasita sana kushirikiana na Zito 2020. Ebu angalia kosa la viongozi wa chadema ni kuhamasisha wafuasi wao kudai fomu za wakala kwenye uchaguzi wa kinondoni. Mbowe na matiko walikaa four months mahabusu..na bado kesi inaendelea.
Leo Zito hajawahi kuguswa.

Zito ni mwenzao na puppet tu. Yes yupo smart lakini ni wa kwao.
 
2020 Zito ndiyo atakuwa Kub bungeni..kule zanzibar atapata wabunge wengi plus yeye huku bara
Huu ndio ukweli wenyewe wa 2020!.

Tukubali tukatae, JPM ni JIWE la ukweli, ni Mwamba, ni Jabali, hivyo kwa upinzani wa Tanzania huku Bara, kuna watu wawili tuu ndio wanaweza kupambana na JPM kwenye urais na JPM akapata angalau joto joto la uchaguzi, hawa ni Tundu Lissu na Zitto Zuberi Kabwe.

Kwa vile mpaka sasa hakuna uhakika wa Tundu Lissu kurejea nchini kuja kumkabili JPM kwenye urais, hivyo Zitto ndie mgombea pekee aliyebakia anayeweza kuleta impact kwenye urais.

ZZK asipokuwa mgombea wa upinzani kwa mwaka huu kumkabili JPM wa CCM, then ZZK ndie Mbunge pekee atakaye penya kwenye kasi ya JPM na kurejea Bungeni.

Kwa huku bara, tunakwenda kwenye Bunge la chama kimoja, ZZK ndie KUB, kupitia wabunge wa ACT watakao penyea Zanzibar, haswa kutoka Pemba na yale majimbo yao wawili ya Zanzibar.

Kwa huku Tanzania Bara, ZZK ndie mpinzani pekee atakayevuka kisulisuli cha CCM 2020


P
 
1.Miaka ya 2005 zito alipambana sana kuhusu mikataba ya midini hadi wakina karamagi wakatolewa. Baadaye akaula kuwa mwenyekiti wa Pac pamoja na Cheyo akipewa kamati ya laac. Baadaye kipindi cha makinda hizi kamati ya cheyo na zito ziliungana lakini bado uenyekiti akapewa Zito. Nani yupo nyuma yake.

2. Zito alituhumiwa na wenzake chadema kuwahujumu na kuwasaliti japo sikuamini lakini kipindi hiko kuliibuka urafiki mkubwa kati ya Zito na Zoka (boss wa kitengo masuala ya siasa)..Zito na Jk(urafiki wa siri). Zito na Makinda. Zito na Dau. Zito na Msechu. Zito na January Makamba..zito na mwigulu..Wale wote ambao Waliokuwa wanampigania zito walilamba vyeo serikalini. Kuna kijana km Mwampamba..Juliana Shonza.. KITILA. Mama Anna wa kilimanjaro wote wapo serikalini. Je zito ni nani?

3. Mapema baada ya Rais kuapishwa Zito alimsifia sana Rais. Gafla Zito akabadilika. Mwaka 2017 Zito alikuwa mtu wa kwanza kutweet suala la ndege kushikiliwa Canada..Lisu akaitisha press akiwa na Zito..majanga yakampata Lisu. Lisu alikuwa kila siku akihudhuria mahakamani kwa kumkosoa bwana mkubwa. Zito ameisema sana Serikali hii kuwa ni ya washamba..mara gangstar..Siri zote za serikali anatupa yeye..mfano ndege kukamatwa south..canada..kesi ya mkulima..n.k but lini Zito umeona akisumbuliwa. Je zito ni nani?

4. Leo tumeona barua ambayo Zito na watu kadhaa wameandika barua World bank kuhusu tanzania kunyimwa msaada wa billion 500 kusaidia masuala ya elimu..umeona response ya mkuu wa nchi amesema tuwapuuzeni tu hao.
Ingekuwa ndiyo Lisu kaandika pangechimbika...Je Zito ni nani?

Kwa upande wangu Zito ni mtoto wao na wanampromote kutuaminisha sisi na wale wa nje kuna demokrasia Tanzania. Na 2020 Zito ndiyo atakuwa Kub bungeni..kule zanzibar atapata wabunge wengi plus yeye huku bara italazimishwa chadema watangazwe wachache ili wasimpiku Zito. Hii moviea chadema wanajua ndiyo maana wanasita sana kushirikiana na Zito 2020. Ebu angalia kosa la viongozi wa chadema ni kuhamasisha wafuasi wao kudai fomu za wakala kwenye uchaguzi wa kinondoni. Mbowe na matiko walikaa four months mahabusu..na bado kesi inaendelea.
Leo Zito hajawahi kuguswa.

Kinachofanyika ni kumuunda mkosoaji na unaweza kumcontrol. Zito ni mwenzao

Jf nyuzi km hizi siyo za kufuta..hazina shida.
Siku zooooooooooooooooote Zitto atakuwa Msaliti, haaminiki, CCM na majina yooooteee.

Isipokuwa MAJEMBE wazalendo, wapigania HAKI ambao siku zote hawajawahi kukosolewa wala kukosea.

Hao siyo wengine ni EDWARD LOWASSA *( Alirudi CCM na kumsifu Magufuli anapiga kazi wakati KUB Mbowe akiwa mahabusu kwa kifo cha Akwilina ) pamoja na Sumaye ( Huyu siongei sana.
 
Unamaoni gani kuhusu Zito kuwa nyoka
Zitto sio nyoka bali ni strategist

P
 
Huu ndio ukweli wenyewe wa 2020!.

Tukubali tukatae, JPM ni JIWE la ukweli, ni Mwamba, ni Jabali, hivyo kwa upinzani wa Tanzania huku Bara, kuna watu wawili tuu ndio wanaweza kupambana na JPM kwenye urais na JPM akapata angalau joto joto la uchaguzi, hawa ni Tundu Lissu na Zitto Zuberi Kabwe.

Kwa vile mpaka sasa hakuna uhakika wa Tundu Lissu kurejea nchini kuja kumkabili JPM kwenye urais, hivyo Zitto ndie mgombea pekee aliyebakia anayeweza kuleta impact kwenye urais.

ZZK asipokuwa mgombea wa upinzani kwa mwaka huu kumkabili JPM wa CCM, then ZZK ndie Mbunge pekee atakaye penya kwenye kasi ya JPM na kurejea Bungeni.

Kwa huku bara, tunakwenda kwenye Bunge la chama kimoja, ZZK ndie KUB, kupitia wabunge wa ACT watakao penyea Zanzibar, haswa kutoka Pemba na yale majimbo yao wawili ya Zanzibar.

Kwa huku Tanzania Bara, ZZK ndie mpinzani pekee atakayevuka kisulisuli cha CCM 2020


P

Kwanini Zito hapati misuksuko km wapinzani wengine
 
Kwanini Zito hapati misuksuko km wapinzani wengine
Zitto anajua kujenga hoja ambazo zina nguvu ya hoja wakati wanasiasa wengine wao wanajenga hoja za nguvu.

Ili kumfahamu Zitto, wewe mwenyewe lazima uwe na uwezo wa kutofautisha "hoja za nguvu" na "nguvu za hoja".

Mfano mzuri ni kwenye hoja hii

Humu Zitto ameweka statements kibao za uchochezi, lakini mwisho akamalizia kwa kuweka kitu kinaitwa caveat, ukimshitaki serikali itaumia.

Kila kitu ambacho Zitto anaipinga serikali, anapinga kwa hoja ambazo hizo hoja zina nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu.
P
 
Back
Top Bottom