Elia F Michael,
Hicho ndo kiingereza cha ZItto? Kumbe ana mengi ya kujifunza badala ya umbea anaohangikia. Poor english language command! Sijui akizungumza hali ikoje! Kila siku ni kuzomea magufuli kumbe na wao ni hoi!
Angalia sababu anazozieleza sasa! Mara gender, mara Kabendela, mara mikutano ya siasa. Hakuna hata sehemu moja anapotetea watu kukosa maji na umeme! Anaomba mkopo usitishwe kwa sababu tu ya mambo ya kisiasa, siyo maendeleo duni ya wananchi. Rubbish!
..inawezekana masuala ya gender, uhuru wa vyombo vya habari, na demokrasia, yakawa siyo muhimu kwetu.
..lakini masuala hayo ni muhimu kwa wafanya maamuzi wa WB ambao ndio walengwa wa barua ya Mh.Zitto Kabwe.
..nadhani njia sahihi ktk hili ni serikali kuwahakikishia WB kuwa hoja za Zitto na wanaharakati zitashughulikiwa na kupatiwa ufumbuzi wa haraka.