Kuchepuka gharama sana

Guest 30,000
Vinywaji na misosi 30,000
Usafiri 10,000
Kifuta jasho 30,000
Haraka haraka 100,000!
Wacha nibaki njia kuu hio 100,000 najaza friji mapochopocho kibao.
Dah ....ni uamuzi wa mtu binafsi tu kutokana na mipango ya bajeti yako..ama kuchepuka ama kujaza mapochopocho[emoji2][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160
 
Dah...inaonyesha hata haukuwa na bajeti ya kununua vitu vya sokoni....
Jifunze kupanga bajeti ya mahitaji yako...na uifuate[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160
 
Dah...inaonyesha hata haukuwa na bajeti ya kununua vitu vya sokoni....
Jifunze kupanga bajeti ya mahitaji yako...na uifuate[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160
Mahitaji huwa hayaishi hata uwe na bajeti
 
Dah ....ni uamuzi wa mtu binafsi tu kutokana na mipango ya bajeti yako..ama kuchepuka ama kujaza mapochopocho[emoji2][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160
Bajeti ya kuchepuka? Bajeti haijawahi kutosheleza kiasi cha kuhalalisha kuchepuka
 

Ukiwa mbinafsi katika mahusiano yako na mkeo lazima uwe na mawazo kama haya.
 
Kuchepuka ni zaidi ya Gharamaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani kama una wife akigundua nadhani utaelewa kuwa yeye nae genye anazoo[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Guest 30,000
Vinywaji na misosi 30,000
Usafiri 10,000
Kifuta jasho 30,000
Haraka haraka 100,000!
Wacha nibaki njia kuu hio 100,000 najaza friji mapochopocho kibao.
Wenzako wazoefu kuepuka gharama hizo za kila siku wanamnunulia nyumba na gari kabisa.
 
Bajeti ya kuchepuka? Bajeti haijawahi kutosheleza kiasi cha kuhalalisha kuchepuka
Dah. Chief..ndiyo maana nikasema ni uamuzi tu....kwa jinsi unavyoyaona na kuyapangilia mambo yako....[emoji41]

Sent using Beretta ARX 160
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…