Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kuchepuka kwa mwanaume ni kitu kisichozuilika, ila nawasii ndugu zangu tuchepuke lakini tuhakikishe wake zetu na watoto wako, wako kwenye mazingira mazuri. Mfano, mfanyie yafuatayo mkeo:-
- Mpe biashara amiliki
- Mjengee nyumba ya gorofa kama uwezo unao
- Mnunulie usafiri mkubwa, kuanzia cc4000