The Most Winner
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 733
- 960
Mkuu hayo ni Matatizo yako tu sio Kila mtu yupo hivyo ukishindwa wengine tunaweza usi generalize sema wewe ndo uwezi kustahimili bila mchepuko haya ikitokea ukazaa so ndo chanzo cha Matatizo hapo.
nn chanzo cha watoto wa mitaani?,Magonjwa HIV/AIDS? ukipata wakati wa kuchepuka?, na jitaidi ufahamu kuwa Ndoa sahihi ni Maisha ya Kiroho na sio Maisha ya Kimwili
Welcome pujo. Useme machache.
nn chanzo cha watoto wa mitaani?,Magonjwa HIV/AIDS? ukipata wakati wa kuchepuka?, na jitaidi ufahamu kuwa Ndoa sahihi ni Maisha ya Kiroho na sio Maisha ya Kimwili
Welcome pujo. Useme machache.