Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama afya iko njema,hitaji linakuwa ni mara kwa maraKujiendekeza tu
Kila la kheriKama afya iko njema,hitaji linakuwa ni mara kwa mara
Kuchepuka kwa mwanamke ni Kitu kisichozuilika pia!
Khe ndio mnaleta mabalaa majumbani kwenu, Kuna mwanasheria wa wilaya x huko aliwekwa karantini na familia yake yote sababu tu kimada wake alikutwa na corona.... Ikabidi kimada aulizwe alikutana na nani katika mizunguko yake si akataja kalala na mwanasheria wa wilaya.... Ikabidi jamaa awekwe karantini na familia... Nilimuonea huruma mke wake maskini upuuzi wa mumewe ukampeleka yeye karantini..... Mtulie wanaume hayo mashimo hayana tofautiiiiiii eeeeeeh
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda umpatie shemeji yetu kila wakati baada ya kila dakika 5 kituKila la kheri
We Unaweza?Labda umpatie shemeji yetu kila wakati baada ya kila dakika 5 kitu
Ndio maana tunachepuka ili kupata hizo hudumaWe Unaweza?
HongeraNdio maana tunachepuka ili kupata hizo huduma
Inatoka moyo kweli hiyo?Hongera
TumboniInatoka moyo kweli hiyo?
ha ha ha ha ingekuwa si korona ungekuja kupata moto baridiTumboni
Kirahisi ivyo?🙄ha ha ha ha ingekuwa si korona ungekuja kupata moto baridi
Kwani kuna ugumu gani?Kirahisi ivyo?🙄
Ngoja nilaleKwani kuna ugumu gani?
Ok lala salamaNgoja nilale