Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
NdioNdio mnavyojidanganyaga kuwa hayana tofauti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioNdio mnavyojidanganyaga kuwa hayana tofauti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Muonekano tuu papuchi utofautiana sembuse utamu
Ohooo hapo ss ni shughuli nzito. Lakini ni maelewano tu ndy yanayotakiwa.Wengine hawataki mchakamchaka kila siku
Shukrani mkuu, umenena vyema.Dawa pekee ukishaingia kwenye ndoa ni kumuogopa Mungu kwa kurudia tena mambo ya zinaa, hakika ukiomba atakuongoza! Kwanini uzini na tayari upo kwenye ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamnunulia mkeo gari analiwa na fundi gerej kisa kamsaidia kumbadilishia spear tairiKuchepuka kwa mwanaume ni kitu kisichozuilika, ila nawasii ndugu zangu tuchepuke lakini tuhakikishe wake zetu na watoto wako, wako kwenye mazingira mazuri. Mfano, mfanyie yafuatayo mkeo:-
Ukifanya hayo yote lazima mkeo ataendelea kukuheshimu hata kama atagundua unachepuka; tofauti na hapo ni kukaribisha umasikini juu ya umasikini.
- Mpe biashara amiliki
- Mjengee nyumba ya gorofa kama uwezo unao
- Mnunulie usafiri mkubwa, kuanzia cc4000
Muhimu sn kubadili ladha,kwanini uchepuke?
Ukisikia maafa huwa yanatokeaje...ndio katika mazingira hayoUnamnunulia mkeo gari analiwa na fundi gerej kisa kamsaidia kumbadilishia spear tairi
Sent using Jamii Forums mobile app
wanawake akili zenu mnavowazaga....eti ghorofa kisa heshima..😎Kuchepuka kwa mwanaume ni kitu kisichozuilika, ila nawasii ndugu zangu tuchepuke lakini tuhakikishe wake zetu na watoto wako, wako kwenye mazingira mazuri. Mfano, mfanyie yafuatayo mkeo:-
Ukifanya hayo yote lazima mkeo ataendelea kukuheshimu hata kama atagundua unachepuka; tofauti na hapo ni kukaribisha umasikini juu ya umasikini.
- Mpe biashara amiliki
- Mjengee nyumba ya gorofa kama uwezo unao
- Mnunulie usafiri mkubwa, kuanzia cc4000
Usiji fanye hauwajui hawa wake zetu wakishakuwa kwenye ndoa wanajiona wamemaliza anajipangia kugongwa kutwa mara moja au week mara mbili inawezakana vp mwanaume unayefanya mazoezi kula vizuri ugonge kwa week mara moja
Huyo kidogo ana hoja ya msingi wengine wanakuambia wanachoka hata ukimpeleka mkuku anajitoa kwenye mapambanoWengine husema kizaz kinashuka,ukipiga mashine unaumiza
Sahihi mkuuSio akili yake inawezekana kapewa limbwata na mchepuko
Hakuna kitu kinachukiza km mtu anajua wajibu wake alafu anasubiri kukumbushwa ni upuuzi uliopitilizaUmbembeleze yeye hajui majukumu yake? Mambo kama hayo ya kusubiri mwanamme aseme "nataka kupea utawezana" ndio yanayosabisha watu waende nje.
SanaKweli mkuu,wa nje huwa wanasaidia kupunguza stress sana
Unajidanganya bure labda hauna nguvu ww, yaani ugonge kwa mchepuko ushindwe kugonga ndani haliyakuwa huyo wa ndani mwenyewe anataka kugongwa jnne na alhamisi tuu tena goli moja kwa sikuMarahaba Ankoo,kwema?
Ukiyabeba majukumu ya kifamilia kama baba halisi (namaanisha mwanaume) kuchepuka ni ngumu sana maana hata kwa mke ndani performance ina shuka sana.
Kuna muda hata kamoja kanagoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Fanya research kwa vitendo utaona majibu yakeMarahaba Ankoo,kwema?
Ukiyabeba majukumu ya kifamilia kama baba halisi (namaanisha mwanaume) kuchepuka ni ngumu sana maana hata kwa mke ndani performance ina shuka sana.
Kuna muda hata kamoja kanagoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ss unatuita wavulana acha kebei mkuu