Kuchepuka kwa mwanaume ni kitu kisichozuilika

Hakuna kitu kinachukiza km mtu anajua wajibu wake alafu anasubiri kukumbushwa ni upuuzi uliopitiliza
Dawa yake ni kusuza rungu nje tu ukiingia ndani na wewe unasubiri kukumbushwa na asipokumbusha itaenda hivyo hivyo mpaka akikumbuka wajibu wake!!
 
Pole
 
Umesema kweli kabisa,kika mwanaume kwa uwezo wake,amtimizie mkewe na mkewe aone dhahiri kuwa mumewe anamjali,sasa hapo akichepuka,mke hatafura sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…