Kuchimba mchanga wa bahari kama madini kunaleta wasiwasi wa kimazingira

Kuchimba mchanga wa bahari kama madini kunaleta wasiwasi wa kimazingira

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Wazungu wana bahari kubwa kuliko waafrika, na mchanga wa bahari uko kwenye fukwe na ndani ya maji Bahraini. Swali ni kwanini wazungu waje kuchimba mchanga huo TANZANIA? Je, huu mchanga wanaotaka kuchimba kwetu haupatikani kwenye nchi nyingine Africa, Asia, ulaya au marekani ila Kigamboni tu?

Ndugu zangu kuchimba mchanga kwenye fukwe za bahari kunasababisha makubwa yafuatayo:
1. Kunatanua ukubwa wa bahari kuelekea nchi kavu. Inafahamika kuwa theluthi mbili (2/3) ya dunia yote imefunikwa na Maji, na 1/3 tu ndio nchi kavu, hivyo kuchimba mchanga kwenye fukwe kunazidi kuipunguza nchi kavu. Wazungu wanaifunika bahari (reclamation) sisi tunaifunua bahari.

2. Kuharibu fukwe za kupunzikia watu wetu siku zijazo: fukwe nzuri zilizoendelezwa zinazalisha pesa, ajira na furaha kuliko pesa na hasara tutakayopata kwa kuzibomoa kuchimba mchanga kama madini.

3. Ecology kuharibika: mimea na viumbe vitauawa na Kuhamia sehemu nyingine ya dunia.

4. Kugeuzwa wajinga: Wazungu wanahifadhi kwao kuvutie na kuharibu fukwe zetu.

5. Mafuriko: tunakaribisha mafuriko mabaya sana kwa watu wetu.

Jamani na mimi naungana na wale wote wenye wasiwasi na uwekezaji wa aina hii, tufikirie mbali sana wakati tons and tons tans and tons tons And tons Za mchanga huo utakapoondolewa kwenye fukwe hiyo itakuwa Je? Tuache umangungo katika zama hizi za mwanga. Ni heri tubaki maskini kuliko uwekezaji wa aina hii.
 
Tunarudi pale pale mikataba yetu ya madini inatakiwa iwe wazi na ijulikane inahusu mambo yapi. Kwa kimya kilichopo kila atakakuwa fundi wa kuongea ataonekana anafikra sahihi kumbe potofu. Jambo zuri tuelewe huo mkataba unahusu mambo yape na mipaka yake ni ipi.
 
... mleta mada hebu fafanua tafadhali; kuna mchanga unachimbwa Kigamboni? Kwa matumizi ya hapa hapa au unasafirishwa? Uchimbaji umeanza lini? Kampuni gani? Ya wapi?
 
Mzee ruksa alikubali kila kitu, chifu sasa anarudi kule kule! Magu akuwa kiongozi sahihi, ila ili asingekubali, kwa kuwa wakazi hawataki hata kama mmeingia mkataba, basi vunjeni! Kwa uelewa wangu mara zote serikali uharibu mazingira kwa kusafirisha magogo, kujenga miradi mbalimbali, na sasa kuhamisha mchanga hii ni balaa, nipo pamoja na diwani.
 
Wazungu wana bahari kubwa kuliko waafrika, na mchanga wa bahari uko kwenye fukwe na ndani ya maji Bahraini. Swali ni kwanini wazungu waje kuchimba mchanga huo TANZANIA? Je, huu mchanga wanaotaka kuchimba kwetu haupatikani kwenye nchi nyingine Africa, Asia, ulaya au marekani ila Kigamboni tu?

Ndugu zangu kuchimba mchanga kwenye fukwe za bahari kunasababisha makubwa yafuatayo:
1. Kunatanua ukubwa wa bahari kuelekea nchi kavu. Inafahamika kuwa theluthi mbili (2/3) ya dunia yote imefunikwa na Maji, na 1/3 tu ndio nchi kavu, hivyo kuchimba mchanga kwenye fukwe kunazidi kuipunguza nchi kavu. Wazungu wanaifunika bahari (reclamation) sisi tunaifunua bahari.

2. Kuharibu fukwe za kupunzikia watu wetu siku zijazo: fukwe nzuri zilizoendelezwa zinazalisha pesa, ajira na furaha kuliko pesa na hasara tutakayopata kwa kuzibomoa kuchimba mchanga kama madini.

3. Ecology kuharibika: mimea na viumbe vitauawa na Kuhamia sehemu nyingine ya dunia.

4. Kugeuzwa wajinga: Wazungu wanahifadhi kwao kuvutie na kuharibu fukwe zetu.

5. Mafuriko: tunakaribisha mafuriko mabaya sana kwa watu wetu.

Jamani na mimi naungana na wale wote wenye wasiwasi na uwekezaji wa aina hii, tufikirie mbali sana wakati tons and tons tans and tons tons And tons Za mchanga huo utakapoondolewa kwenye fukwe hiyo itakuwa Je? Tuache umangungo katika zama hizi za mwanga. Ni heri tubaki maskini kuliko uwekezaji wa aina hii.
Mkuu mambo kama zinaitaji utalaamu kivibishia , usifikirie tu mzungu kuja kuwekeza kwenye mchanga wa aina yoyote hapana.

Iko ivo Tanzania tuna turufu ya madini za aina mbalimbali kulinga na matumizi zake.
1.precious mineral ( madini ya thamani)
2.Gamestone mineral (madini ya kito)
3. Sandstone mineral (madini ya vyuo)
4.Metalic mineral ( madini ya metal)

Sasa turudi kwenye hoja yako dhaifu. Kwamba wazungu wanafukwe nyingi za bahari ni sawa, lakini je! Zina madini kama za kwetu jibu ni hapana. Hapa nchini
Mikoa yote ya ukanda wa pwani yaani coastal regional . Zinasifa za kuwa na madini hayo ya sandstone kwa ajili ya matumizi ya kutengenezea glasses , gypsum material.
Hapo tunacho takiwa sasa ni kuwekwe kwa mikataba na sera nzuri ili nchi isipigwe na wachache tuu.
 
... mleta mada hebu fafanua tafadhali; kuna mchanga unachimbwa Kigamboni? Kwa matumizi ya hapa hapa au unasafirishwa? Uchimbaji umeanza lini? Kampuni gani? Ya wapi?
He, we uko wapi, kampuni ya kigeni wazungu wanachimba huo mchanga watengeze tons and tons za marumaru za bei mbaya na kusafirisha
 
Mkuu mambo kama zinaitaji utalaamu kivibishia , usifikirie tu mzungu kuja kuwekeza kwenye mchanga wa aina yoyote hapana.

Iko ivo Tanzania tuna turufu ya madini za aina mbalimbali kulinga na matumizi zake.
1.precious mineral ( madini ya dhamani)
2.Gamestone mineral (madini ya kito)
3. Sandstone mineral (madini ya vyuo)
4.Metalic mineral ( madini ya metal)

Sasa turudi kwenye hoja yako dhaifu. Kwamba wazungu wanafukwe nyingi za bahari ni sawa, lakini je! Zina madini kama za kwetu jibu ni hapana. Hapa nchini
Mikoa yote ya ukanda wa pwani yaani coastal regional . Zinasifa za kuwa na madini hayo ya sandstone kwa ajili ya matumizi ya kutengenezea glasses , gypsum material.
Hapo tunacho takiwa sasa ni kuwekwe kwa mikataba na sera nzuri ili nchi isipigwe na wachache tuu.
'dhamani' ndo nini mkuu?
 
Wanakuja kuchimba mchanga au wanachimba dhahabu, kumbuka baharini dhahabu imejaa tele imepelekwa na maji toka mitoni
 
Ideally madini yanachimbwa sana baharini, its easy kwa sababu yapo mengi zaidi,

Na kwa ukanda wa madini uliopo TZ, seems tutakuwa na madini mengi sana, so hakuna uchimbaji mkubwa baharini ni mostly kuokoteza yaliyopo juu juu tu.

Ila wakiosema wanakuja kuokoteza madini mtawaringi kama nyererer alivowaringia ndo maana wanasema kuchimba madini
 
Nakuunga mkono mia kwa mia, hizo fukwe ndo zinashikilia bahari na kutokana na mabadiliko ya tabia nchi maeneo ya nchi kavu yameanza kumezwa na bahari na hii imetishia baadhi ya visiwa kutoweka kwenye uso wa dunia.
 
Back
Top Bottom