Kuchimba mchanga wa bahari kama madini kunaleta wasiwasi wa kimazingira

Kuchimba mchanga wa bahari kama madini kunaleta wasiwasi wa kimazingira

Ukifungua wahuni wanapiga tu
Sasa ukifungia then uwapi watu wako mbinu za kufungua yafaa nini,si bora wachukue tu Ili wapate nguvu ya kutupa misaada.
Mchina kajenga reli ya tazara bure baada ya kuipata ramani ya malikale USA ya Mjerumani sehemu alizoficha mali akala mali hadi Zambia,USA kustukia dili nae akaja na wazo la kujenga bomba la mafuta TAZAMA mwambao kwa reli ya Tazara akala mali nae hadi imewatokea mapigano sehemu za Mbeya kugombea mali Kati ya kina nio na wazungu enzi za ujenzi wa miradi hio kuna sehemu reli na bomba linakutana.
Serikali si iwaruhusu Wajerumani waje wazichukue mali zao walizoacha enzi za vita vya pili vya dunia tugawane nusu kwa nusu.Maana hazina tija zimekaa tu ardhini na hatuna mbinu za kuzitoa.
 
Mkuu mambo kama zinaitaji utalaamu kivibishia , usifikirie tu mzungu kuja kuwekeza kwenye mchanga wa aina yoyote hapana.

Iko ivo Tanzania tuna turufu ya madini za aina mbalimbali kulinga na matumizi zake.
1.precious mineral ( madini ya dhamani)
2.Gamestone mineral (madini ya kito)
3. Sandstone mineral (madini ya vyuo)
4.Metalic mineral ( madini ya metal)

Sasa turudi kwenye hoja yako dhaifu. Kwamba wazungu wanafukwe nyingi za bahari ni sawa, lakini je! Zina madini kama za kwetu jibu ni hapana. Hapa nchini
Mikoa yote ya ukanda wa pwani yaani coastal regional . Zinasifa za kuwa na madini hayo ya sandstone kwa ajili ya matumizi ya kutengenezea glasses , gypsum material.
Hapo tunacho takiwa sasa ni kuwekwe kwa mikataba na sera nzuri ili nchi isipigwe na wachache tuu.
Ndo ume. sema nini Sasa? . Shida yetu Tanzania a ni mitaala yetu ya shule kukosa somo la critical thinking,na professional thinking. Hayo madini hapo baharini Yana uhusiano mkubwa sana na maisha ya viumbe majini na ulinzi wa nchi kavu dhidi ya Maji ya bahari. Ukiyaondoa hapo yalipo maisha ya viumbe hayatabaki kama yalivyo Sasa. Lakini baya zaidi ni kuongeza speed ya Maji ya bahari kuimeza nchi kavu,huo mchanga na miamba ndio kinachoyazuia maji yasije nchi kavu kwa speed. Hii ndio maana mungu na asili imeyaweka madini hayo hapo yalipo. Ni ujinga ku justify kuyachimba eti kwakuwa ulaya hayapo. Weak reasoning. Kuyaondoa hapo ni sawa na kuyatengenezea njia Maji yaje nchi kavu kwa urahisi. Tuache ujinga,wazee wetu walituachia nchi hii ikiwa safi kabisa. Umangungo wa viongozi wetu utaiharibu nchi.
 
Baharini kuna madini mengi Sana kuliko nchi kavu, tungepata viongozi wanaofikiri,tungeingiza technology tuyachimbe yawafae wananchi.
Ni aibu sana miaka 60 ya UHURU umri wa kustaafu eti hadi sasa watz wanaishi kwenye vijumba vya nyasi na udongo karne hii,Ina maana hata tu kugeuza udongo tu kuwa tofali, vigae hatuwezi?
Shame Sana kwa serikali ya ccm.
 
Wanakuja kuchimba mchanga au wanachimba dhahabu, kumbuka baharini dhahabu imejaa tele imepelekwa na maji toka mitoni
We umetufumbua macho mkuu, wenye nchi wanajua , wanakula wenyewe , ila watanzania tunapigwa,
" Chama kina wenyewe",
 
Uwazi kwenye mikataba ndio changamoto, mikataba haijadiliwi na wawakilishi wetu bungeni( ata kama hatujawachagua).

Hapo hatujui tunanufaika vipi na mkataba ni wa muda gani
 
We umetufumbua macho mkuu, wenye nchi wanajua , wanakula wenyewe , ila watanzania tunapigwa,
" Chama kina wenyewe",
Ukisikia mkataba wa Siri jua tumeliwa.Yaani Mzungu atoke aje achimbe mchanga wa kujengea afrika? Hata ukimuona mgeni analima ana mashamba analima vijijini kwa jicho la tatu alimi anachomaanisha,kilimo ni njia rahisi ya kuficha lengo kusudio Siri anayo mlimaji.
Mzungu atoke ulaya aje kulima nyanya,sijui vitunguu bongo halafu yupo porini.
 
Ndo ume. sema nini Sasa? . Shida yetu Tanzania a ni mitaala yetu ya shule kukosa somo la critical thinking,na professional thinking. Hayo madini hapo baharini Yana uhusiano mkubwa sana na maisha ya viumbe majini na ulinzi wa nchi kavu dhidi ya Maji ya bahari. Ukiyaondoa hapo yalipo maisha ya viumbe hayatabaki kama yalivyo Sasa. Lakini baya zaidi ni kuongeza speed ya Maji ya bahari kuimeza nchi kavu,huo mchanga na miamba ndio kinachoyazuia maji yasije nchi kavu kwa speed. Hii ndio maana mungu na asili imeyaweka madini hayo hapo yalipo. Ni ujinga ku justify kuyachimba eti kwakuwa ulaya hayapo. Weak reasoning. Kuyaondoa hapo ni sawa na kuyatengenezea njia Maji yaje nchi kavu kwa urahisi. Tuache ujinga,wazee wetu walituachia nchi hii ikiwa safi kabisa. Umangungo wa viongozi wetu utaiharibu nchi.
Mkuu fact yako iko vizuri kwenye upanda wako wa ecologia... ila kumbuka tukisema tuangalie hoja ya mazingira! je tusifanye economic development..kwa kuhofia issue za environmental impact. make kila project ina kuwa na impact kubwa kwenye issue zima ya environment.
Ni lazima tuangalie potential benefits, kwanza then ndo tuangalie ecologia

Mfano mdgo kwani unapo ishi wewe ahuja- interrupt ecologia ya hapo, kwa kujenga na kwa kufanya- movement mbalimbali.

The big deals ni kuandaa good policy and memorandum of understanding kwa wanchi..
 
Ndo ume. sema nini Sasa? . Shida yetu Tanzania a ni mitaala yetu ya shule kukosa somo la critical thinking,na professional thinking. Hayo madini hapo baharini Yana uhusiano mkubwa sana na maisha ya viumbe majini na ulinzi wa nchi kavu dhidi ya Maji ya bahari. Ukiyaondoa hapo yalipo maisha ya viumbe hayatabaki kama yalivyo Sasa. Lakini baya zaidi ni kuongeza speed ya Maji ya bahari kuimeza nchi kavu,huo mchanga na miamba ndio kinachoyazuia maji yasije nchi kavu kwa speed. Hii ndio maana mungu na asili imeyaweka madini hayo hapo yalipo. Ni ujinga ku justify kuyachimba eti kwakuwa ulaya hayapo. Weak reasoning. Kuyaondoa hapo ni sawa na kuyatengenezea njia Maji yaje nchi kavu kwa urahisi. Tuache ujinga,wazee wetu walituachia nchi hii ikiwa safi kabisa. Umangungo wa viongozi wetu utaiharibu nchi.
Naunga mkono hoja, uchambuz wa kitaalam kabisa huu
 
Mkuu fact yako iko vizuri kwenye upanda wako wa ecologia... ila kumbuka tukisema tuangalie hoja ya mazingira! je tusifanye economic development..kwa kuhofia issue za environmental impact. make kila project ina kuwa na impact kubwa kwenye issue zima ya environment.
Ni lazima tuangalie potential benefits, kwanza then ndo tuangalie ecologia

Mfano mdgo kwani unapo ishi wewe ahuja- interrupt ecologia ya hapo, kwa kujenga na kwa kufanya- movement mbalimbali.

The big deals ni kuandaa good policy and memorandum of understanding kwa wanchi..
Mkuu unahamu na environmental impact?
 
Wazungu wana bahari kubwa kuliko waafrika, na mchanga wa bahari uko kwenye fukwe na ndani ya maji Bahraini. Swali ni kwanini wazungu waje kuchimba mchanga huo TANZANIA? Je, huu mchanga wanaotaka kuchimba kwetu haupatikani kwenye nchi nyingine Africa, Asia, ulaya au marekani ila Kigamboni tu?

Ndugu zangu kuchimba mchanga kwenye fukwe za bahari kunasababisha makubwa yafuatayo:
1. Kunatanua ukubwa wa bahari kuelekea nchi kavu. Inafahamika kuwa theluthi mbili (2/3) ya dunia yote imefunikwa na Maji, na 1/3 tu ndio nchi kavu, hivyo kuchimba mchanga kwenye fukwe kunazidi kuipunguza nchi kavu. Wazungu wanaifunika bahari (reclamation) sisi tunaifunua bahari.

2. Kuharibu fukwe za kupunzikia watu wetu siku zijazo: fukwe nzuri zilizoendelezwa zinazalisha pesa, ajira na furaha kuliko pesa na hasara tutakayopata kwa kuzibomoa kuchimba mchanga kama madini.

3. Ecology kuharibika: mimea na viumbe vitauawa na Kuhamia sehemu nyingine ya dunia.

4. Kugeuzwa wajinga: Wazungu wanahifadhi kwao kuvutie na kuharibu fukwe zetu.

5. Mafuriko: tunakaribisha mafuriko mabaya sana kwa watu wetu.

Jamani na mimi naungana na wale wote wenye wasiwasi na uwekezaji wa aina hii, tufikirie mbali sana wakati tons and tons tans and tons tons And tons Za mchanga huo utakapoondolewa kwenye fukwe hiyo itakuwa Je? Tuache umangungo katika zama hizi za mwanga. Ni heri tubaki maskini kuliko uwekezaji wa aina hii.
Mleta mada madini yatakayochimbwa Kigamboni ni NIKEL inayotumika kutengeneza betri sio mchanga wa bahari. Samia alitoa mfano mchanga wa bahari kwamba anasikia ni madini.
 
Baharini kuna madini mengi Sana kuliko nchi kavu, tungepata viongozi wanaofikiri,tungeingiza technology tuyachimbe yawafae wananchi.
Ni aibu sana miaka 60 ya UHURU umri wa kustaafu eti hadi sasa watz wanaishi kwenye vijumba vya nyasi na udongo karne hii,Ina maana hata tu kugeuza udongo tu kuwa tofali, vigae hatuwezi?
Shame Sana kwa serikali ya ccm.
import technology, tengeneza bidhaa ziwafaidishe wananchi, zikiwa nyingi wauzie wazungu kama wanashida nazo, hivi tutaendelea kuwa watumwa wa akili mpaka lini, this is the best solution.

bahati mbaya watu wenye akili kama zako niwachache sana tz yetu hii, na bahati mbaya viongozi waliopo walishaidharau teknolojia, si ajabu kumkuta waziri hajui hata kutumia simu vizuri au pc, sasa mtu kama huyo ukimpa maono ya kuwa tunaweza kuchimba wenyewe na kutengeneza viwanda vya kuzitumia raslimali hizo atakuona mchonganishi
 
Mkuu mambo kama zinaitaji utalaamu kivibishia , usifikirie tu mzungu kuja kuwekeza kwenye mchanga wa aina yoyote hapana.

Iko ivo Tanzania tuna turufu ya madini za aina mbalimbali kulinga na matumizi zake.
1.precious mineral ( madini ya thamani)
2.Gamestone mineral (madini ya kito)
3. Sandstone mineral (madini ya vyuo)
4.Metalic mineral ( madini ya metal)

Sasa turudi kwenye hoja yako dhaifu. Kwamba wazungu wanafukwe nyingi za bahari ni sawa, lakini je! Zina madini kama za kwetu jibu ni hapana. Hapa nchini
Mikoa yote ya ukanda wa pwani yaani coastal regional . Zinasifa za kuwa na madini hayo ya sandstone kwa ajili ya matumizi ya kutengenezea glasses , gypsum material.
Hapo tunacho takiwa sasa ni kuwekwe kwa mikataba na sera nzuri ili nchi isipigwe na wachache tuu.
REKEBISHA
1.PRECIOUS
2.NON -PRECIOUS
3.GEMSTONE
4.METALLIC

hyo sandstone imo kwenye kundi la non _precious
 
Zama hizi sio Za kulia lia tena ukipata fursa piga tu.
 
Mzee ruksa alikubali kila kitu, chifu sasa anarudi kule kule! Magu akuwa kiongozi sahihi, ila ili asingekubali, kwa kuwa wakazi hawataki hata kama mmeingia mkataba, basi vunjeni! Kwa uelewa wangu mara zote serikali uharibu mazingira kwa kusafirisha magogo, kujenga miradi mbalimbali, na sasa kuhamisha mchanga hii ni balaa, nipo pamoja na diwani.
Unapoona kasoro ya kila marais wetu sikuelewi. Gombea Pengine uwe wewe rais sahihi
 
Mleta mada madini yatakayochimbwa Kigamboni ni NIKEL inayotumika kutengeneza betri sio mchanga wa bahari. Samia alitoa mfano mchanga wa bahari kwamba anasikia ni madini.
Wacha utani,
Mleta mada madini yatakayochimbwa Kigamboni ni NIKEL inayotumika kutengeneza betri sio mchanga wa bahari. Samia alitoa mfano mchanga wa bahari kwamba anasikia ni madin
 
ukiwa na njaa utauza kila kitu, sasa mchanga wa bahari ndiyo upi? na nasikia mchanga huu hauchimbwi kwenye fukwe kama wengi mnavyodhani hapana, ni km kadhaa toka fukwe.

Hii project ina usiri usiri na ndiyo maana diwani akawaambia wananchi waugomee hadi waambiwe manufaa ni yapi ili waupokee katika maeneo yao.
 
Back
Top Bottom